Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo nimecheka sana. Hadi watu wakanishanga. Nilikuwa napitia magazeti vup bin Taa...nikakutana na habri inasema "Wenger amepata dawa ya Chelsea" nikaanza kujiuliza inamaana makocha wanamuwazaga chelsea tu badala ya kuwaza mechi inayofuata mfano tarehe 31 arsenal inakutanana na watford.....wao wanalala kuamka wanawaza chelsea haaaaa. Hawa ndiyo akina malafyale ngoja tuje tuwanyoe ili akili iwarudi.
1d9262e3d7bfa3262595c706f728d4c8.jpg
 
Leo nimecheka sana. Hadi watu wakanishanga. Nilikuwa napitia magazeti vup bin Taa...nikakutana na habri inasema "Wenger amepata dawa ya Chelsea" nikaanza kujiuliza inamaana makocha wanamuwazaga chelsea tu badala ya kuwaza mechi inayofuata mfano tarehe 31 arsenal inakutanana na watford.....wao wanalala kuamka wanawaza chelsea haaaaa. Hawa ndiyo akina malafyale ngoja tuje tuwanyoe ili akili iwarudi.
1d9262e3d7bfa3262595c706f728d4c8.jpg
Saasa hapo ujue Arsenal watapigwa na Watford, wakija darajani wanagongwa tena halafu Chelsea anatangazwa bingwa Februari zikiwa zimesalia mechi 14 ligi kuisha! Tehe he he he he eeeeee.....
 
Saasa hapo ujue Arsenal watapigwa na Watford, wakija darajani wanagongwa tena halafu Chelsea anatangazwa bingwa Februari zikiwa zimesalia mechi 14 ligi kuisha! Tehe he he he he eeeeee.....
Liver sawa ila kwa game ya chelsea na arsenal kama mzee wenger atafanya possession mtakua na wakati mgumu sana sabbu watafanikiwa maana itawatuliza sana arsenal kwenye njia na kuwapa tija ya kupata matokeo bomba.

Kama uliangalia hullcity walifanikiwa kutulia lakini walikua na ubovu wa kumalizia mfano hawakua na mtu wa kupiga pass za mwisho kitu ambacho kiko wazi

So arsenal wana advantage 1. possession itawabeba

2. Wana wapiga pasi za mwisho

3.wana watu wanaojua kufunga

4. Defensive wako vizuri sana

The only problem kwa arsenal ni midfield ndio naona inashida lakini sio kwa namna ambayo watu wanazani sababu bado back up ya timu ni kubwa as in coquline, Ramsey etc.

NB; Ila kwa ndugu zangu wa chelsea bado mnawakati mgumu sana haitakua game nyepesi kiivyo maana arsenal wana advantage ya kua katika hali ya mchezo, kitu ambacho ni threat kwa chelsea kwa sasa kumbuka shangwe baada ya kushinda game na Burnley so sio kiivyo
 
Liver sawa ila kwa game ya chelsea na arsenal kama mzee wenger atafanya possession mtakua na wakati mgumu sana sabbu watafanikiwa maana itawatuliza sana arsenal kwenye njia na kuwapa tija ya kupata matokeo bomba.

Kama uliangalia hullcity walifanikiwa kutulia lakini walikua na ubovu wa kumalizia mfano hawakua na mtu wa kupiga pass za mwisho kitu ambacho kiko wazi

So arsenal wana advantage 1. possession itawabeba

2. Wana wapiga pasi za mwisho

3.wana watu wanaojua kufunga

4. Defensive wako vizuri sana

The only problem kwa arsenal ni midfield ndio naona inashida lakini sio kwa namna ambayo watu wanazani sababu bado back up ya timu ni kubwa as in coquline, Ramsey etc.

NB; Ila kwa ndugu zangu wa chelsea bado mnawakati mgumu sana haitakua game nyepesi kiivyo maana arsenal wana advantage ya kua katika hali ya mchezo, kitu ambacho ni threat kwa chelsea kwa sasa kumbuka shangwe baada ya kushinda game na Burnley so sio kiivyo
Ndugu, kila timu ina wakati mgumu kipindi hiki cha lala salama!
1. Kuna wanaotafuta ubingwa
2. Kuna wanaotafuta nafasi ya kucheza UEFA ligi
3. Kuna wanaotaka kukwepa panga la kushuka daraja
Nina uhakika kwenye mechi 16 zilizobaki hakuna timu itakayonyakua pointi zote 48! Chelsea, Arsenal, Spurs, Liverpool, Man City, Man U, nk. wote wata-drop points!
Wata-drop pointi kwa nani, hapo sasa ni swala na kusubiri dakika 90 za mchezo ziishe!
 
Ndugu, kila timu ina wakati mgumu kipindi hiki cha lala salama!
1. Kuna wanaotafuta ubingwa
2. Kuna wanaotafuta nafasi ya kucheza UEFA ligi
3. Kuna wanaotaka kukwepa panga la kushuka daraja
Nina uhakika kwenye mechi 16 zilizobaki hakuna timu itakayonyakua pointi zote 48! Chelsea, Arsenal, Spurs, Liverpool, Man City, Man U, nk. wote wata-drop points!
Wata-drop pointi kwa nani, hapo sasa ni swala na kusubiri dakika 90 za mchezo ziishe!
timu yangu chelsea ninauhakika itavuna point 40 kati ya 48
 
Leo nimecheka sana. Hadi watu wakanishanga. Nilikuwa napitia magazeti vup bin Taa...nikakutana na habri inasema "Wenger amepata dawa ya Chelsea" nikaanza kujiuliza inamaana makocha wanamuwazaga chelsea tu badala ya kuwaza mechi inayofuata mfano tarehe 31 arsenal inakutanana na watford.....wao wanalala kuamka wanawaza chelsea haaaaa. Hawa ndiyo akina malafyale ngoja tuje tuwanyoe ili akili iwarudi.
1d9262e3d7bfa3262595c706f728d4c8.jpg
Alafu sasa siku hiyo hatokuwepo kwenye benchi la ufundi.
 
Liver sawa ila kwa game ya chelsea na arsenal kama mzee wenger atafanya possession mtakua na wakati mgumu sana sabbu watafanikiwa maana itawatuliza sana arsenal kwenye njia na kuwapa tija ya kupata matokeo bomba.

Kama uliangalia hullcity walifanikiwa kutulia lakini walikua na ubovu wa kumalizia mfano hawakua na mtu wa kupiga pass za mwisho kitu ambacho kiko wazi

So arsenal wana advantage 1. possession itawabeba

2. Wana wapiga pasi za mwisho

3.wana watu wanaojua kufunga

4. Defensive wako vizuri sana

The only problem kwa arsenal ni midfield ndio naona inashida lakini sio kwa namna ambayo watu wanazani sababu bado back up ya timu ni kubwa as in coquline, Ramsey etc.

NB; Ila kwa ndugu zangu wa chelsea bado mnawakati mgumu sana haitakua game nyepesi kiivyo maana arsenal wana advantage ya kua katika hali ya mchezo, kitu ambacho ni threat kwa chelsea kwa sasa kumbuka shangwe baada ya kushinda game na Burnley so sio kiivyo
Umetoa tathmini Ya Arsenal tuu lakini kwa upande wa chelsea umeshindwa sababu unazijua mwenyewe
 
Liver sawa ila kwa game ya chelsea na arsenal kama mzee wenger atafanya possession mtakua na wakati mgumu sana sabbu watafanikiwa maana itawatuliza sana arsenal kwenye njia na kuwapa tija ya kupata matokeo bomba.

Kama uliangalia hullcity walifanikiwa kutulia lakini walikua na ubovu wa kumalizia mfano hawakua na mtu wa kupiga pass za mwisho kitu ambacho kiko wazi

So arsenal wana advantage 1. possession itawabeba

2. Wana wapiga pasi za mwisho

3.wana watu wanaojua kufunga

4. Defensive wako vizuri sana

The only problem kwa arsenal ni midfield ndio naona inashida lakini sio kwa namna ambayo watu wanazani sababu bado back up ya timu ni kubwa as in coquline, Ramsey etc.

NB; Ila kwa ndugu zangu wa chelsea bado mnawakati mgumu sana haitakua game nyepesi kiivyo maana arsenal wana advantage ya kua katika hali ya mchezo, kitu ambacho ni threat kwa chelsea kwa sasa kumbuka shangwe baada ya kushinda game na Burnley so sio kiivyo
strength ya chese iko wapi
 
Liver sawa ila kwa game ya chelsea na arsenal kama mzee wenger atafanya possession mtakua na wakati mgumu sana sabbu watafanikiwa maana itawatuliza sana arsenal kwenye njia na kuwapa tija ya kupata matokeo bomba.

Kama uliangalia hullcity walifanikiwa kutulia lakini walikua na ubovu wa kumalizia mfano hawakua na mtu wa kupiga pass za mwisho kitu ambacho kiko wazi

So arsenal wana advantage 1. possession itawabeba

2. Wana wapiga pasi za mwisho

3.wana watu wanaojua kufunga

4. Defensive wako vizuri sana

The only problem kwa arsenal ni midfield ndio naona inashida lakini sio kwa namna ambayo watu wanazani sababu bado back up ya timu ni kubwa as in coquline, Ramsey etc.

NB; Ila kwa ndugu zangu wa chelsea bado mnawakati mgumu sana haitakua game nyepesi kiivyo maana arsenal wana advantage ya kua katika hali ya mchezo, kitu ambacho ni threat kwa chelsea kwa sasa kumbuka shangwe baada ya kushinda game na Burnley so sio kiivyo
Backline inayoongoza clean sheet imekuwa mbovu du nashindwa kushangaa
 
Liver sawa ila kwa game ya chelsea na arsenal kama mzee wenger atafanya possession mtakua na wakati mgumu sana sabbu watafanikiwa maana itawatuliza sana arsenal kwenye njia na kuwapa tija ya kupata matokeo bomba.

Kama uliangalia hullcity walifanikiwa kutulia lakini walikua na ubovu wa kumalizia mfano hawakua na mtu wa kupiga pass za mwisho kitu ambacho kiko wazi

So arsenal wana advantage 1. possession itawabeba

2. Wana wapiga pasi za mwisho

3.wana watu wanaojua kufunga

4. Defensive wako vizuri sana

The only problem kwa arsenal ni midfield ndio naona inashida lakini sio kwa namna ambayo watu wanazani sababu bado back up ya timu ni kubwa as in coquline, Ramsey etc.

NB; Ila kwa ndugu zangu wa chelsea bado mnawakati mgumu sana haitakua game nyepesi kiivyo maana arsenal wana advantage ya kua katika hali ya mchezo, kitu ambacho ni threat kwa chelsea kwa sasa kumbuka shangwe baada ya kushinda game na Burnley so sio kiivyo
Arsenal haitapewa nafasi ya kumiliki mpira kuliko chelsea. Tegemea kuona Arsenal ikiwa imepotea kabisa uwanjani. Maana chelsea kwa sasa ina uwezo wa kucheza mpira wa aina yoyote na kwa kasi yoyote kwasababu ina wachezaji wenye kufiti hali zote hizo...



Tukimaliza na liverpool nitakuja kuleta uchambuzi hapa wa game yetu na nyie gunners lkn kwanza sasaivi tuyaache hayo
 
Ndugu, kila timu ina wakati mgumu kipindi hiki cha lala salama!
1. Kuna wanaotafuta ubingwa
2. Kuna wanaotafuta nafasi ya kucheza UEFA ligi
3. Kuna wanaotaka kukwepa panga la kushuka daraja
Nina uhakika kwenye mechi 16 zilizobaki hakuna timu itakayonyakua pointi zote 48! Chelsea, Arsenal, Spurs, Liverpool, Man City, Man U, nk. wote wata-drop points!
Wata-drop pointi kwa nani, hapo sasa ni swala na kusubiri dakika 90 za mchezo ziishe!
Hapa umeongea reality kabisa. Haujaweka ushabiki....big up siyo kama wenzetu wale wanaosema leo lazima nishinde but akifika uwanjani wanaliwa kilaini kabisa.
 
Hapa umeongea reality kabisa. Haujaweka ushabiki....big up siyo kama wenzetu wale wanaosema leo lazima nishinde but akifika uwanjani wanaliwa kilaini kabisa.
Huyo anayeshinda ukimuuliza baada ya mechi kama ameshinda kirahisi, utaona anavyokunja uso kabla ya kukujibu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom