Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Costa kafanya haraka sana kupiga hii penalty, angerelax na kutake deep breath kwanza.
Hata angefunga sisi tungesawazisha
Hii tunashinda
Costa kafanya haraka sana kupiga hii penalty, angerelax na kutake deep breath kwanza.
Cc: Invisible, Paw na Moderator wote...Chelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo
2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
Uhuni nyie hamuuwezi?Ninyi humu ndani mumshukuru refarii kuzidiwa ujanja na wachezaji wenu wale wahuni
Kiongozi wanabahati sn hawa. Ata hivyo chelsea kaonyesha mchezo wenye mbinu nyingi na ufundi mwingi sn...
Conte kiboko
Wachezaji hawakuelekezwa kumiliki mpira sn walielekezwa kutumia nafasi chache wafunge na wasifanye makosa na kukaba sana.Mpira ulikuwa hautulii miguuni kwetu na jamaa walikamia mno ila sio mbaya wanaotunyemelea wamekula kichapo na Spurs kala sare sie wale kileleni point 9 juu...Sasa Arsenal ajiandae kuchinjwa hii ratiba nzuri kweli
Ilibidi apige yeye kwasababu siku hizi penalty shooter wetu Hazard alikua ameahatoka nje.Kweli kaka, sema Costa kaiharibu game, hakuwa serious kabisa, mechi kama hizo ndio umuhimu wa Drogba ulipokuwa unaonekana
Hata Pedro angeanza au kuingia mapema ingekuwa different game.-Nathan ake akikomaa na kuuzoea mfumo wa chelsea alonso atapoteza namba bila shaka.
-Fabregas alitakiwa aingie mapema uwanjani, nahisi angeleta tofauti kubwa zaidi.
-laiti kama muumba angempa kante mwili wa chalobah, jamaa angekuwa ni invincible. This man is something else, hat down.
....Bring them assanal, KTBFFH...



!Hapo ndio huwa naanza kumuwaza Paulo Dybala km angekua anacheza iyo nafasi ya Costa.Kweli kaka, sema Costa kaiharibu game, hakuwa serious kabisa, mechi kama hizo ndio umuhimu wa Drogba ulipokuwa unaonekana
-Nathan ake akikomaa na kuuzoea mfumo wa chelsea alonso atapoteza namba bila shaka.
-Fabregas alitakiwa aingie mapema uwanjani, nahisi angeleta tofauti kubwa zaidi.
-laiti kama muumba angempa kante mwili wa chalobah, jamaa angekuwa ni invincible. This man is something else, hat down.
....Bring them assanal, KTBFFH...
Hata Pedro angeanza au kuingia mapema ingekuwa different game.
ni kweli mkuu next match at homeGame ilikua na plan A na B.
Plan A ni kumuanzisha Willian kwasababu ni mzuri pia Ktk ukabaji na hachoki kuliko Pedro.
Ni kumuweka Faby benchi kwasababu Sare ilikua inatubeba sisi. Kwahiyo kujilinda ndio ilikua kipaumbele chatu cha kwanza na ata tulipopata Goli tulilitunza.
Plan B ni kumuingiza Pedro na Faby ili kushambulia sn na kumiliki mpira na kucheza mpira wa kasi. Hii km tungefungwa mapema basi hawa wangeingia na pia ata tulipofika dk 75 Conte alipenda kuwashambulia lfc na kuwaingiza hao na lfc ikapotea.
So kulikua na plan ambazo zilikua zikiambatana na mbinu zilizotakiwa.
Mwisho wa siku kwa leo Conte ndio fundi wa mbinu kuliko Klopp
mpiga penart ni hazard sijui ilikuaje akapewa costa![]()
Simon Mignolet saves Diego Costa’s penalty in the second half at Anfield.