Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,368
Watu mnajua kucheza mpira mdomoni haswa
Ni uzembe tu wa Costa, lilikuwa goli la pili lile
Watu mnajua kucheza mpira mdomoni haswa
Habari wakuu. Mechi yetu ya jana ilikuwa na makosa madogo madogo ambayo imetukost kwa kiasi fulani. Mfano wachezaji wetu walikuwa wanapoteza mipira kirahisi. Pia Costa hakuwa katika mudi ya mchezo hata alivyo pewa penati tayri alikwisha panic so ikapelekea kuukosa kwa urahisi sana.
All in all draw ni advantage kwetu na pia itaturudisha katika hali ya ushindani pale darajani tutakapo kutana na vijana wa wenger. Meanwhile bado tupo mbele kwa points 9 clear. Niwatakieni asubuhi njema na kazi njem #comeonechelsea#
match sikuicheki thus why nikahisi hazard alikuwepoHazard alikuwa benchi tayari.
Labda angepiga D. Luiz ila naye mguu wake wa kulia haukuwa poa.
Alibaki Pedro ambaye ndo kwanza alikuwa ameingia...
Simamia maneno yako,, shamelessChelsea AKIPATA hata sare leo Anfield NAJIUZURU kushughulika na lolote kwenye soka
Nasema tena Soton sio Chelsea na MAJOGOO hayakucheza ktk kiwango chake na team pungufu!
Coutihno hakuwa fit,Mane na matip hakuwacheza kabisa na Kipa hakucheza
Nasema tena walio anza na Wolves leo anayenza ni mmoja tu Firmo
2-0 easy kabisa!Msikimbie hapa
vp kakaSio kama tutashinda leo, Leo Chelsea anashinda kwa goli sio chini ya mbili

umeshamtafuta?Nitakutafta baada YA mechi kuisha ili uthibitishe kauli yako hatufanyi mzaha tunaposaka ubingwa
Mimi nimeshangilia draw? Au wewe ambae nilikuwa nikiache point 13?Mmeshangilia sana draw!
Mbona sasa hujaniacha hizpo points 13?Mimi nimeshangilia draw? Au wewe ambae nilikuwa nikiache point 13?
Hahaha wew kweli maskini jeuriMbona sasa hujaniacha hizpo points 13?
Au hukupenda ziwe points 13?
Wewe ulipenda iwe hivyo?Mbona sasa hujaniacha hizpo points 13?
Au hukupenda ziwe points 13?
Halafu mbona wajishulisha kwenye soka vipi?Mbona sasa hujaniacha hizpo points 13?
Au hukupenda ziwe points 13?
Mkuu Ntuzu, nilipoona anayepiga penati ni Diego moyo ulipata shock kidogo! Nilitamani apige David Luiz.
Nitakutafta baada YA mechi kuisha ili uthibitishe kauli yako hatufanyi mzaha tunaposaka ubingwa
Liverpool inayocheza na saton sio liverpool inayocheza na Chelsea ...
HahahahahaGoodbye ivanovic.
Siku ya kwanza namtambua ivanovic ilikuwa ni champions league, mechi kati yetu na liverpool. Alifunga magoli mawili murua ya vichwa yaliyotusaidia kuibuka washindi wa goli 3-1 katika mchezo huo.
Pia nayakumbuka magoli yake muhimu dhidi ya AS napoli na europa final dhidi ya benfica. The rest is history.
...Utani kidogo: hivi ni kweli alikuwa ndo "tamu" ya aliyekuwa daktati wetu eva carneiro?...
aisee Dr alikua muzuri sizani km ni rahisi kwa mwanamme yoyote kusema NOMkuu, magoli matatu katika mechi ngapi?Ila timu yetu naona ina tatizo sana katika mipira ya cross na majirani zetu wameanza kupewa matumain kwamba wakita kutufunga watumie cross magol 3 yote y mwaka huu ni kwa njia ya cross
Ni majibu mazuri timu haiwezi kutoruhusu magoli 100%.Mkuu, magoli matatu katika mechi ngapi?
Hizo mechi nyingine ambazo magoli hayakufungwa hakukuwa na cross zilizopigwa?
Anyway Conte haachi kufanyia kazi any point of weakness anayoiona kwenye kila mechi tunayocheza!
Kuna msemo anaopenda kuusema kwamba: We keep on improving!