Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Ahsante sana Mkuu Kunguru Mjanja
Hizi sub nzuri sana tulielemewa upande wa Alonso mbaya kabisa
Hizi sub nzuri sana tulielemewa upande wa Alonso mbaya kabisa
Hizi sub nzuri sana tulielemewa upande wa Alonso mbaya kabisa
zile tambo za ubingwa naona zimeisha now unawza kutufunga, trust me liverfool ndo best loser msim huuMmetangulia kwa baiskeli ya mbao
Jumanne ijayo Anfield nakupiga
Week hiyo hiyo Arsenal anakupiga
Zitabaki points 4 ambazo utaziachia tu
Kwa perfomence mbovu ya leo ya kusaidiwa na refa huwezi kuwa bingwa
Najua Jumanne mnajua kabisa kama mnachapwa!Mnayaogopa sana MAJOGOO!!
Refaa amemsaidia nani......aiseee.Mmetangulia kwa baiskeli ya mbao
Jumanne ijayo Anfield nakupiga
Week hiyo hiyo Arsenal anakupiga
Zitabaki points 4 ambazo utaziachia tu
Kwa perfomence mbovu ya leo ya kusaidiwa na refa huwezi kuwa bingwa
Najua Jumanne mnajua kabisa kama mnachapwa!Mnayaogopa sana MAJOGOO!!
Mimi nakubali nilikuwa chini ya kiwango, ila kusaidiwa na refa nakataa. Ila nimeshinda, sijui wewe ambaye ulikuwa na kiwango bora umeshinda ngap?Mmetangulia kwa baiskeli ya mbao
Jumanne ijayo Anfield nakupiga
Week hiyo hiyo Arsenal anakupiga
Zitabaki points 4 ambazo utaziachia tu
Kwa perfomence mbovu ya leo ya kusaidiwa na refa huwezi kuwa bingwa
Najua Jumanne mnajua kabisa kama mnachapwa!Mnayaogopa sana MAJOGOO!!
Mmetangulia kwa baiskeli ya mbao
Jumanne ijayo Anfield nakupiga
Week hiyo hiyo Arsenal anakupiga
Zitabaki points 4 ambazo utaziachia tu
Kwa perfomence mbovu ya leo ya kusaidiwa na refa huwezi kuwa bingwa
Najua Jumanne mnajua kabisa kama mnachapwa!Mnayaogopa sana MAJOGOO!!
Ndg Chelsea hata akipoteza gemu za big 6 anapoteza 12 pts ila point 36 zilizo baki haponi MTU hiyo ndio tofauti ya Chelsea na timu nyingine wakati wengine wakijikwaa kwa droo sisi tunasepa na team ndogo mpaka kinaeleweka Kati ya pt 36 tutachukua 26 na kuwa bingwa.hesabu hii ni rahisiMmetangulia kwa baiskeli ya mbao
Jumanne ijayo Anfield nakupiga
Week hiyo hiyo Arsenal anakupiga
Zitabaki points 4 ambazo utaziachia tu
Kwa perfomence mbovu ya leo ya kusaidiwa na refa huwezi kuwa bingwa
Najua Jumanne mnajua kabisa kama mnachapwa!Mnayaogopa sana MAJOGOO!!
Ahaahaha yalishanyonyolewa na Swansea kazi yetu kupika na kula tu.Mmetangulia kwa baiskeli ya mbao
Jumanne ijayo Anfield nakupiga
Week hiyo hiyo Arsenal anakupiga
Zitabaki points 4 ambazo utaziachia tu
Kwa perfomence mbovu ya leo ya kusaidiwa na refa huwezi kuwa bingwa
Najua Jumanne mnajua kabisa kama mnachapwa!Mnayaogopa sana MAJOGOO!!
Hata ww unajuaAhaahaha yalishanyonyolewa na Swansea kazi yetu kupika na kula tu.
Ni kweli kabisa maana Chelsea ni lazima ashinde.Hata ww unajua
CHELSEA hawezi pata hata sare Anfield!
Ndio twajua sare hatupati maana tunashinda. Ndio matokeo yetu hayoHata ww unajua
CHELSEA hawezi pata hata sare Anfield!