Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

David de Gea
Antonio Valencia
Matteo Darmian
Phil Jones
Marcos Rojo
Paul Pogba
Michael Carrik
Ander Herrera
Henrick Mhykitaryan
Jesse Lingard
Zlatan Ibrahimovic
 
Ntuzu
Mentor
kalou
Ndiyo EPL ilivyo,haina haja ya kutufukuza wageni hapa bali mjipange mechi ijayo na Leicester!Lkn nawakumbusha kuwa mfumo wa Conte ulikuwa exposed na Stoke week jana na ndipo Spurs wameufanyia marekebisho zaidi!

Kama Conte HAJAJA na mfumo mpya week ijayo na Leicester mbele pale Sliman na Vardy tena kwao wanakufunga!Poleni sana ndiyo soka
Kuna kaukweli fulani hapo.
 
Kuna kaukweli fulani hapo.
Chelsea 2 games wamefungwa 4 goals
Hii ina maana mfumo wa Conte wa defensive mind game watu wameisha ijua password
Stoke na Spurs wametoa blue print kwa team zingine
Kila teams sasa zita copy and paste what Spurs did
Asipokuja na njia mbadala atapigwa kila game ahead
 
A
Sema kafunga penati 5,Milner hajawahi kufunga goal la open play.Milner anacheza fullback while Cahill ni centre back
Ana ASSISTS ngapi?
Mbona hili hamlizungumzii?
Milne ndiye beki wa pembeni EPL mwenye GOLI na ASSISTS nyingi KULIKO beki yyt wa teams 20 za EPL
Kumbuka penalty pia ni ufundi,Benteke kakosa penalty 3 so far!!
FACT!!
 
Ushauri kama ndugu zangu wa London tufuteni mbadala wa MATIC Itasaidia sana sababu akipatikana mbadala wake huai wa kante utaonekana na fanyeni ima mubadilishe upande wa alonso hapo ntawacount kma mabingwa wa London kinyume na hapo PUCHETINO AMETUFUMBUA MACHO WENGI SANA ENGLAND.

Hilo nimeshalisema ila uhakika ni kuwa kwa kikosi hiki hiki na mechi 18 zilizobaki za ligi tuna uwezo wa kuchukua kombe.

Hofu kubwa ni msimu ujao.
 
A

Ana ASSISTS ngapi?
Mbona hili hamlizungumzii?
Milne ndiye beki wa pembeni EPL mwenye GOLI na ASSISTS nyingi KULIKO beki yyt wa teams 20 za EPL
Kumbuka penalty pia ni ufundi,Benteke kakosa penalty 3 so far!!
FACT!!


Hizo assists alizipata akiwa anacheza position ipi?

Defensive prowess yake ikoje?
 
Hizo assists alizipata akiwa anacheza position ipi?

Defensive prowess yake ikoje?
Assists zote 3 wakati ni beki wa pembeni
Milner ni beki mzuri zaidi wa pembeni ktk EPL
Muulize Sterling au Hazard au Willian wanamjua
 
Assists zote 3 wakati ni beki wa pembeni
Milner ni beki mzuri zaidi wa pembeni ktk EPL
Muulize Sterling au Hazard au Willian wanamjua
Hazard/willian wanamjua kwa lipi??? Maybe kwa kupekechwa na hao watu.
 
Tunakuja kufungia kwako, nsipokufunga 3-0, i resign my decision to marry a 2nd wife.
 
Assists zote 3 wakati ni beki wa pembeni
Milner ni beki mzuri zaidi wa pembeni ktk EPL
Muulize Sterling au Hazard au Willian wanamjua
Milner ana assist 2 sawa na Blind,Bellerin,Baines,Alonso,Clyne,Rose sio 3 kazidiwa na mabeki wengi tu ukiacha hizo penati alizofunga hana lolote special
4-Kayle Walker
3-Charlie Daniels,Jose Holebas,Adam Smith
 
Milner ana assist 2 sawa na Blind,Bellerin,Baines,Alonso,Clyne,Rose sio 3 kazidiwa na mabeki wengi tu ukiacha hizo penati alizofunga hana lolote special
4-Kayle Walker
3-Charlie Daniels,Jose Holebas,Adam Smith
Bao 5 nani anazo?
Usiniambie lame excuse kuwa ni penalty wkt Benteke anakosa kila siku hizo hizo penalty
Bao 7 zimefungwa au zimesababishwa na Milner msimu huu
Nani beki ana stats hizi?
 
Bao 5 nani anazo?
Usiniambie lame excuse kuwa ni penalty wkt Benteke anakosa kila siku hizo hizo penalty
Bao 7 zimefungwa au zimesababishwa na Milner msimu huu
Nani beki ana stats hizi?
Sidhani kama kuna mchezaji aliyepiga penati nyingi zaidi ya Milner msimu huu,ukiacha hizo penati hana lolote ndio maana Liverpool ni mmoja ya timu iliyofungwa magoli mengi wapo mabeki wengi wenye jumla ya goals+asssist=5,6 na hawajafunga magoli ya penati
 
Hilo nimeshalisema ila uhakika ni kuwa kwa kikosi hiki hiki na mechi 18 zilizobaki za ligi tuna uwezo wa kuchukua kombe.

Hofu kubwa ni msimu ujao.
Kombe, kikombe au ndoo?
Ndoo mnaweza chukua, kombe sina uhakika.
Muulize Ntuzu ndoo zinapatikana wapi? Mkachukue huko.
 
c109edacaae64f6e2015c36cccb594b4.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom