Ntuzu wewe ni mchambuzi mzuri sana lakini leo niseme wazi kua niliacha kushuhudia game nyingi za Epl na kuamua kua mfuatiliaji mzuri sana wa conte na mfumo wake wa 1 3 4 3
Spurs wapo vizuri sana technically, sababu ni timu ya kwanza ambayo ilifanikiwa kuifunga chelsea kipindi cha kwanza kwa mfumo huu mpya
Nikiizungumzia game ya kwanza puchetino hakuwa na papara ya kufanya marking ndani ya kumi na nane walikua wakipigia nje kitu ambayo iliwapa presha chelsea na kuwafanya waofie japo conte alikuja kubadilisha mchezo kwa sub ya wiliian na fabregas kma unakum ukumbuka...
Nikizungumzia game ya jana puchetino yule wa kwanza alibadirika maana nae ilithibisha kama yeye nae ni muitariano sababu alikuja karibia kabisa na mfumo wa chelsea ambapo wanyama alikua na kazi ya kuvuruga mipango na wakati wings wa spurz walichokifanya kikubwa ni kuforce tokea pembeni kama wana hali ya kuingia na kumfanya moses na alonso kucheza kwa nidhamu wakiofia
Ilienda mbali conte akamuwekea ulinzi harry Kane ambe aliwekwa kama geresha pale kuwatahadharisha chelsea kitu ambacho puchetino aliktumia vizuri kabisa kuwaadhibu japo mlimkamia kane ambae hakuomekana
Spurs waliwazidi kimbinu kwa njia nyepesi sana (lakini ngumu sana) waliweza kupiga pasi zao fupi kwa nyakati flani wakiwaaminisha kua wanataka kumtumia harry kane kwa kupiga penetration pass na niliona marking na intercept za azplicueta na david luis kuizuia mipila isimfikie kabisa hapa walifanikiwa sababu tayari mliamini hpatakua na goli
Ericksen alisahaulika sana sababu tention kubwa ilitokea kwake pale anapotengeneza mashambulizi tu na hii ilikua advantage kwa spurs ata mipila mirefu waliopga mliamini haitakua na madhara sababu akili yenu ilikua imetawaliwa na H kane kumbe hakua na lolote aliwekwa asimame tu pale kuwatishia nyau na mlitishika
Ushauri kama ndugu zangu wa London tufuteni mbadala wa MATIC Itasaidia sana sababu akipatikana mbadala wake huai wa kante utaonekana na fanyeni ima mubadilishe upande wa alonso hapo ntawacount kma mabingwa wa London kinyume na hapo PUCHETINO AMETUFUMBUA MACHO WENGI SANA ENGLAND.