Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nani aumiliki uzi huu ili autendee haki?

Au tumpe Kunguru Mjanja ?

Invisible, kuna mtu hapa anaitumia Id ya Majagata, amenitukana matusi ya nguoni kilugha. Kisukuma na kifahamu. katika thread ya wafugaji 50 waliokombolwa katika hifadhi ya mbuga ya Selous. Ameandika **** za mama yangu mara nyingi na mikundu ya mama yangu. Huyo mama yangu amehusikaje katika marumbano yangu na yeye? Utaratibu ukoje? Hii isyo haki. Hawezi kunitukania mama yangu kwa masuala ya kwangu mimi. Huo si uungwana. Nimestahimili lakini nimeshindwa. anaandiak matusi makubwa kwa mama yangu bila hofu kwa kuwa anajua hamtaelewa..
 
N’Golo Kante: "We don’t think about making another run, it’s just game after game. We have a good team with good character."

N’Golo Kante: "Now we have to be focused for the next game in the cup and come back in the league with a win."
 
Hawezi kupata number sasa inafaida gani kuwa team ya taifa usicheze ,pembeni yuko Walker ,rose na katikati cahil na stone sasa acheze wapi anatakiwa kuwa bench katikati wako kina dier acheze wapi
Cahili anachezea team ya England na ndiyo maana wanatolewa na Iceland
Cahili nchi kama Germany hata team ya Taifa under 21 haanzi
Spain hata team ya Taifa under 19 jezi reserve hapewi
Milner anaanza England pembeni kwa sasa angeamua kubaki
Rose mzuri sana kwenye kushambulia,kukaba ziro
Usimlinganishe Milner na mambo ya kijinga please!
 
point ngapi tumekupita...????
mind the Gap..
e2b5e1ba38da188ca4c379866b7068b2.jpg
 
N’Golo Kante: "We don’t think about making another run, it’s just game after game. We have a good team with good character."

N’Golo Kante: "Now we have to be focused for the next game in the cup and come back in the league with a win."
fbb3a88d74ea4c6a08b0585324a2d2c1.jpg
 
Cahili anachezea team ya England na ndiyo maana wanatolewa na Iceland
Cahili nchi kama Germany hata team ya Taifa under 21 haanzi
Spain hata team ya Taifa under 19 jezi reserve hapewi
Milner anaanza England pembeni kwa sasa angeamua kubaki
Rose mzuri sana kwenye kushambulia,kukaba ziro
Usimlinganishe Milner na mambo ya kijinga please!
hivi ake alikufunga goli ngapi na hiyo beki yako uchwara
 
Conte asipokuja na mbinu mpya Leicester hata kama Sliman na Mahrez hawapo lkn anaweza kukufunga!
Sababu Vardy na Mussa wapo na Ranieri ata copy and paste kwa Spurs wlaichofanya leo na itakuwa easy zaidi kwao sababu beki zao zina nguvu kuliko Spurs
Umeongea non-sense, kaa ukijua hadi sasa beki line imara ni ya spurs kwenye top 5 European leagues so usilinganishe na ujinga wa leicester unaofungwa 2 goals na sunderland
 
Igweeeee wana chelsea. Leo line up inaweza kuwa ivi.....!!!. Nini maoni yako according to this line up
8acd5a94465cd0d7187667bf44506d33.jpg
 
Kikiwa hivyo sio mbaya actually ila loftus-cheek amenidisaapoint sana maana hana njaa kabisa ya mafanikio kama tulivyo kuwa tunatarajia labda ataingia sub tumuone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom