Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hapo kwenye red, kwahiyo hao waliokwishafungwa kumbe walikua hawataki tu kuifunga Chelsea?! Yaani walikua wanaingia uwanjani ili wafungwe tuu?!
..wameona Jinsi ya kumfunga mkuu,a technique is all they needed Wee mwenyew si ulijua mtashinda??
 
The January 2017......

Huyu Victor Wanyama ametumwa fedha au ametumwa kazi....? Any way kazi na fedha zinapiganiana ila Wanyama anacheza utafikiri Tottenham Hotspur ipo moyoni mwake toka utoto...... Wanyama the best midfielder so far.

Wakati Chelsea akivunja na kuharibu record ya Tottenham ya kutokufungwa pale darajani, sehemu ya kiungo cha Chelsea kiliwekwa na kuwa chini ya ulinzi wa Wanyama na Dembele..... Vivyo hivyo Leo wakati Tottenham anavunja na kuharibu record ya Chelsea kutokufungwa hapa white hate Lane, kiungo cha Chelsea kiliendelea kuwa chini ya ulinzi wa Wanyama na Dembele. Ukiachia kukaba basi Dembele anakupa kitu cha pekee ambacho wanyama, kante na matic hawana... Personal skillful... Uwezo wa kudrive timu kwenda mbele na umiliki wa mpira ndicho kitu alichowazidi hawa viungo wengine wa kati.

3:4:3 against 3:4:3..... Hapa Moses na Alonso walizidiwa sana katika kukaba pia waliathiriwa sana na speed technical ya Walker na Rose kama wings back wenzao. Magoli yanatengenezewa upande wa Alonso then yamefungwa upande wa Moses.

Christian Ericksen huyu ni quite player ambaye kinachomfanya avae jezi sio kupiga chenga, sio kupiga dalizi, sio kukimbia na mpira..... Ubora wake katika final touch iwe ya dead balls au live balls ndicho kitu pekee kinachomfanya avae jezi na kuwa katika first eleven. Hazard ni tajiri wa pace, dribble, possession ila Leo haikuwa siku yake nzuri kwa matokeo maana Chelsea wanatengeneza nafasi tatu tu za hatari katika lango la Spurs.

Niliwahi kuandika kuwa anaye kimbizwa na Spurs kazi anayo ila anayemkimbiza Spurs pia ana kazi...... Spurs yupo vizuri sana labda tu mumuombee injuries. Kumbe ili umfunge Chelsea lazima upitemo(3:4:3) ahahahaha.

Timu zote zilizopo ndani top six Bado zinauwezo wa kushindania ubingwa kutokana na matokeo haya ya Leo.....

Tuendelee kulaumiana maana huu Msimu ni wa lawama.... Happy new yeah Anthony Conte happy new year best young talented player so far Delle Alli.

Tottenham Hotspur 2-0 Chelsea
Mkuu nimekuelewa
 
Antonio Conte contrasted Wednesday night’s defeat at Spurs with his team’s only other two league losses this season and sees a big difference.

Back in September the Blues lost 2-1 at home to Liverpool and 3-0 away at Arsenal, the result that prompted our boss to change the system and the players to embark on the winning league run. That lasted 13 matches until Dele Alli headed two goals at White Hart Lane without reply in our first game of 2017.

‘We are disappointed but also we must be pleased for our run as 13 wins in this league is not easy,’ Conte said. ‘Today we lost against a good team, a really strong team and don’t forget Tottenham fought last season for the title. Mauricio Pochettino has worked with his team for many years and they are improving, and they are one of the six teams that can fight to the end to win the title, or a place in the Champions League.

‘Now we have to restart, to continue to work and this defeat is totally different if you compare with our defeats in September, because at that moment we were not a team. Tonight we showed we are a strong team and this is important.’ Conte said the nature of the game showed his side were not below their normal level physically.

‘I saw a good game with great balance between two teams very strong,’ he said. ‘There was good intensity in the game. Tottenham and Chelsea created chances to score a goal but Tottenham scored in the best moment for them and the worst moment for us.

‘At the start of the second half we started very well and created chances to score but then we conceded the second goal. They were two similar goals but I was a footballer and that can happen in a game. We have to continue to work and improve and it is normal. This is a process and we started this process only five months ago and with time we can improve, and we will improve.’ Conte smiled at a suggestion he might now consider changing his formation, given the question had come after a defeat which followed so many wins.

He also played down the words between Diego Costa and Pedro when they did not combine as they wished on a counter attack, saying it was normal disappointment at wasting a good chance. ‘Every day we work on this system and try to give different solutions with or without the ball and we have found good balance,’ he added.

‘My priory is to come back to winning. We are working together only for five months and to see we are on top of the table with the same players as last season, we must be pleased with this.’

Conference Call: Defeated but still strong
 
Jana azpiuleta alikuwa anamwacha delle ally anaruka free header-SO SAD.
 
All good things must come to an end and tonight Tottenham put a stop to our record-breaking winning run.

Dele Alli did the damage with two similar headers either side of half-time, and for the first time since September the Blues couldn’t take one of the chances that fell our way, the most presentable nodded wide by Eden Hazard early in the second half. So the new year starts with defeat, but the Blues remain five points clear at the top of the table and can look to get back on the victory trail when our FA Cup campaign starts on Sunday.

Antonio Conte brought Nemanja Matic and Pedro back in to the starting XI, in place of Cesc Fabregas and Willian, meaning he set out with the same side that began the reverse fixture in November. For Tottenham, Kyle Walker, Jan Vertonghen and Mousa Dembele all returned. They lined up with wing-backs as expected.

Matic was the man behind the game’s first clear opening inside five minutes, lofting a high ball through to Hazard who had time and space to line up a shot. On his left, he dragged it wide, though Hugo Lloris did look concerned for a moment.

By the midway point of a half which had been full of tempo, if not quality, it was safe to say Tottenham had edged possession and territory. What they hadn’t done was threaten our goal, at least until Christian Eriksen fired a shot past Courtois’ dive and, thankfully, his right-hand post. Earlier, Pedro was booked for a late tackle, and then when he and Diego Costa led a counter-attack from a Tottenham corner, the pair got their wires crossed and exchanged words.

When the league’s topscorer had his first clear sight of goal with 35 minutes gone, not far outside the box, he shot well over. Courtois then had to stretch to stop Dier’s headerv reaching a more dangerous zone. Cahill was booked in the build-up to that chance for a cynical foul, and Victor Wanyama got the same punishment for bringing the breaking Hazard down on halfway a couple of minutes later. It looked like the teams would be heading to the dressing rooms scoreless, but in the first minute of stoppage time Tottenham took the lead when an unmarked Alli headed Eriksen’s inviting cross beyond Courtois. It was the first effort on target in the game.

The response immediately after the break was positive. Diego Costa called Hugo Lloris intov action for the first time with a fierce 20-yard drive, and then Marcos Alonso headed a half-cleared corner back into a dangerous zone. Hazard could only nod the skidding ball wide from close range. After Victor Moses had an appeal for a penalty waved away – it looked a foul but fractionally outside the box - Alli doubled the hosts’ advantage with a near carbon-copy of his opener.

Eriksen swung the cross over and again the England midfielder got between Cesar Azpilicueta and Moses to head past Courtois. It was his sixth goal in three games. With 25 minutes remaining, Conte introduced Willian for Alonso. Pedro switched to left wing-back, and Willian moved wide right to try and cause the kind of damage he dished out against Stoke.

Understandably, Tottenham started to sit back, invite pressure and try and play on the counter. Fabregas came on for Kante to add some extra creative spark to our work in the final third, but aside from a late David Luiz header that went over, the Blues struggled to break down a resolute rearguard. Despite the outcome the travelling support potentially on their last visit to a ground that has often served us well - sung until the final whistle and indeed after it, acknowledgment for the players’ and coaches' formidable efforts during a run that will be remembered for many years to come.

Chelsea (3-4-3): Courtois; Azpilicueta, David
Luiz, Cahill (c); Moses (Batshuayi 85), Kante
(Fabregas 79), Matic, Alonso (Willian 65);
Pedro, Diego Costa, Hazard.

Unused subs Begovic, Ivanovic, Zouma,
Chalobah.

Booked Pedro 18, Cahill 38

Tottenham (3-5-2): Lloris (c), Dier,
Alderweireld, Vertonghen, Walker, Dembele
(Winks 74), Wanyama, Eriksen, Rose, Alli
(Sissoko 86), Kane (Son 90+3).

Unused subs Vorm, Wimmer, Trippier, Davies.
Scorer Alli 45+1, 54

Booked Wanyama 40, Alli 45+2, Rose 87

Referee Martin Atkinson

Crowd 31,491
 
Kama tulivyokuja humu kutoa mawazo yetu basi mechi na Lecister ikimalizika tuje tena kuendelea na maoni na kuupeleka uzi platinum karibuni sana maana jukwaa hili misiba utokea( lose) Mara chache ila watu kuwa katika hali ya comma( droo) tulisha sahau.
Hiyo tofauti yetu na wenzetu ndio maana tunaongoza ligi at least tumefungwa yafuatayo yataongezeka
Kwanza, conte ataongeza mchezaji au wachezaji mmoja akiwa ni mtalamu wa set- pieces bado eneo hili chelsea linatuumiza tunapata fouls nyingi karibu na 18 yards kuliko team nyingine
Pili ,fear factor imepungua itawafanya wapinzani kufikiri Chelsea ni team ya kawaida hiyo itatupa nafasi ya kushinda mechi 10 mfululizo
Tatu wachezaji wetu wataongeza umakini uliokiwepo mwanzo
 
Mbinu zile zile Alonso na Mosses kuja nyuma kuchukua mpira then Kante na Matic kuwapokea na kumpa Hazard au Pedro zimeisha fanyiwa kazi!Copy and paste kwa kila team ya EPL itakayo ceza na Chelsea

Kama Spurs wala hawawafuati wakiwa nyuma kwao akina Mosses maana wakikutoka kule ndiyo nyie mnapungua na wao mbele wanaongezeka!Spurs walikuwa wanawasubiri kwao kwenye 18 ambapo Dembele na Wanyama wana wa overpower kwenye duel

Mna kazi kubwa sana kwa Liverpool January hii!Bado hamyaogopi Majogoo?
Kawaida ya Mpira 2014/15 walitufunnga hawa hawa 5-3 tarehe 1/jan mkaongea hivyo hivyo ikafika sehemu tukalingana kila kitu na Man City ila mwisho wa siku tukawa mabingwa.

Wewe soma mpira wa Chelsea utakavyo ila usidhani bahati ya mwenzako ni yako. Kikosi hicho hicho na mfumo huo huo nakufunga nao.
 
Wakuu poleni sn kwa kupoteza mchezo wetu wa jana....

Nimeona walio chini yetu wamefurahi sn na ghafla uzi umevamiwa na kukimbia sn



Km nilivuyo sema jana huu mchezo hautakua na presha sn kwetu ata km tutapoteza kutokana na timu km Arsenal liverpool kupata matokeo ambayo sio mazuri...


Mpira wa jana ulifanana kila kitu kwa timu zote mbili aina ya uchezaji, mfumo na ata mbinu... Na Spurs hawakua wazuri km walivyokuja darajani kwa round ya kwanza. Spurs wasicheze kwa woga huku wakijaribu kutumia mipira mirefu iliyokua ikipigwa na mabeki wao na Eriksen...

Chelsea waliweza kuwatuliza Spurs na Spurs wakawa ni wa kawaida kwasababu zile pasi za Spurs fupi fupi hazikuonekana kabisa lkn hawa Spurs walitegemea pasi ndefu na ndizo zilizotuumiza.

Nimeona watu wakiwasifia sn Wanyama na Dembele kwamba Walikamata kiungo chote. Hili si kweli. Jana kiungo cha kati cha Spurs kilicheza bila uhuru kabisa kwasababu walikua makini ktk kuimarisha ulinzi na kutumia njia yoyote ile kuwazuia chelsea. Na tumeona rafu kadhaa wamecheza hawa. Chelsea midfielder yao ilikua imerelax vzr na wao wakifanya Marking vzr na kukata passes zote zisifike kwa Kane Dele kitu ambacho kilifanya Kane asionekane uwanjani na kumfanya Eriksen ashuke chini kuchukua mipira ili kapiga pasi ndefu.

Nimeona pia watu wakisema Walker na Rose walicheza sn hili nalo si kweli. Hawa Jamaa walikua ni waoga sn kuja hovyo mbele kwasababu wanajua wakipanda mbele hovyo huko nyuma wataadhibiwa.

Chelsea tulilungukiwa ktk umaliziaji tu. Hapo ndio tulishindwa. Tulishindwa kutengeneza nafasi nzuri na ata hizo chache tulizopata hatukuzitumia vzr. Lkn mchezo wa jana ulikua ni wa kawaida sn na uliojawa mbinu nyingi na kuviziana tu....


So far timu bado iko vzr na bado tunaongoza ligi kwa points 5
Ntuzu wewe ni mchambuzi mzuri sana lakini leo niseme wazi kua niliacha kushuhudia game nyingi za Epl na kuamua kua mfuatiliaji mzuri sana wa conte na mfumo wake wa 1 3 4 3

Spurs wapo vizuri sana technically, sababu ni timu ya kwanza ambayo ilifanikiwa kuifunga chelsea kipindi cha kwanza kwa mfumo huu mpya

Nikiizungumzia game ya kwanza puchetino hakuwa na papara ya kufanya marking ndani ya kumi na nane walikua wakipigia nje kitu ambayo iliwapa presha chelsea na kuwafanya waofie japo conte alikuja kubadilisha mchezo kwa sub ya wiliian na fabregas kma unakum ukumbuka...

Nikizungumzia game ya jana puchetino yule wa kwanza alibadirika maana nae ilithibisha kama yeye nae ni muitariano sababu alikuja karibia kabisa na mfumo wa chelsea ambapo wanyama alikua na kazi ya kuvuruga mipango na wakati wings wa spurz walichokifanya kikubwa ni kuforce tokea pembeni kama wana hali ya kuingia na kumfanya moses na alonso kucheza kwa nidhamu wakiofia

Ilienda mbali conte akamuwekea ulinzi harry Kane ambe aliwekwa kama geresha pale kuwatahadharisha chelsea kitu ambacho puchetino aliktumia vizuri kabisa kuwaadhibu japo mlimkamia kane ambae hakuomekana

Spurs waliwazidi kimbinu kwa njia nyepesi sana (lakini ngumu sana) waliweza kupiga pasi zao fupi kwa nyakati flani wakiwaaminisha kua wanataka kumtumia harry kane kwa kupiga penetration pass na niliona marking na intercept za azplicueta na david luis kuizuia mipila isimfikie kabisa hapa walifanikiwa sababu tayari mliamini hpatakua na goli

Ericksen alisahaulika sana sababu tention kubwa ilitokea kwake pale anapotengeneza mashambulizi tu na hii ilikua advantage kwa spurs ata mipila mirefu waliopga mliamini haitakua na madhara sababu akili yenu ilikua imetawaliwa na H kane kumbe hakua na lolote aliwekwa asimame tu pale kuwatishia nyau na mlitishika

Ushauri kama ndugu zangu wa London tufuteni mbadala wa MATIC Itasaidia sana sababu akipatikana mbadala wake huai wa kante utaonekana na fanyeni ima mubadilishe upande wa alonso hapo ntawacount kma mabingwa wa London kinyume na hapo PUCHETINO AMETUFUMBUA MACHO WENGI SANA ENGLAND.
 
Ntuzu wewe ni mchambuzi mzuri sana lakini leo niseme wazi kua niliacha kushuhudia game nyingi za Epl na kuamua kua mfuatiliaji mzuri sana wa conte na mfumo wake wa 1 3 4 3

Spurs wapo vizuri sana technically, sababu ni timu ya kwanza ambayo ilifanikiwa kuifunga chelsea kipindi cha kwanza kwa mfumo huu mpya

Nikiizungumzia game ya kwanza puchetino hakuwa na papara ya kufanya marking ndani ya kumi na nane walikua wakipigia nje kitu ambayo iliwapa presha chelsea na kuwafanya waofie japo conte alikuja kubadilisha mchezo kwa sub ya wiliian na fabregas kma unakum ukumbuka...

Nikizungumzia game ya jana puchetino yule wa kwanza alibadirika maana nae ilithibisha kama yeye nae ni muitariano sababu alikuja karibia kabisa na mfumo wa chelsea ambapo wanyama alikua na kazi ya kuvuruga mipango na wakati wings wa spurz walichokifanya kikubwa ni kuforce tokea pembeni kama wana hali ya kuingia na kumfanya moses na alonso kucheza kwa nidhamu wakiofia

Ilienda mbali conte akamuwekea ulinzi harry Kane ambe aliwekwa kama geresha pale kuwatahadharisha chelsea kitu ambacho puchetino aliktumia vizuri kabisa kuwaadhibu japo mlimkamia kane ambae hakuomekana

Spurs waliwazidi kimbinu kwa njia nyepesi sana (lakini ngumu sana) waliweza kupiga pasi zao fupi kwa nyakati flani wakiwaaminisha kua wanataka kumtumia harry kane kwa kupiga penetration pass na niliona marking na intercept za azplicueta na david luis kuizuia mipila isimfikie kabisa hapa walifanikiwa sababu tayari mliamini hpatakua na goli

Ericksen alisahaulika sana sababu tention kubwa ilitokea kwake pale anapotengeneza mashambulizi tu na hii ilikua advantage kwa spurs ata mipila mirefu waliopga mliamini haitakua na madhara sababu akili yenu ilikua imetawaliwa na H kane kumbe hakua na lolote aliwekwa asimame tu pale kuwatishia nyau na mlitishika

Ushauri kama ndugu zangu wa London tufuteni mbadala wa MATIC Itasaidia sana sababu akipatikana mbadala wake huai wa kante utaonekana na fanyeni ima mubadilishe upande wa alonso hapo ntawacount kma mabingwa wa London kinyume na hapo PUCHETINO AMETUFUMBUA MACHO WENGI SANA ENGLAND.
Uko sahihi mkuu......

Ngoja niwajibike kidogo mkuu nitakuja kuongea kidogo hapa.... Maana mpira wa jana ulikua ni wa kimbinu sn.
 
13 games mmeshinda mfululizo ila mna gepu ya pt 5 tu?? Dah!!
Kweli avumaye baharini ni papa ila ........
Haijalishi umemuacha mwenzako kwa point ngapi, au umefunga mangapi. Ukiwa pale juu May unapewa kombe lako. Tunafanya tujuacho na tuwezacho sisi kukaa tulipo.
 
Wakuu poleni sn kwa kupoteza mchezo wetu wa jana....

Nimeona walio chini yetu wamefurahi sn na ghafla uzi umevamiwa na kukimbia sn



Km nilivuyo sema jana huu mchezo hautakua na presha sn kwetu ata km tutapoteza kutokana na timu km Arsenal liverpool kupata matokeo ambayo sio mazuri...


Mpira wa jana ulifanana kila kitu kwa timu zote mbili aina ya uchezaji, mfumo na ata mbinu... Na Spurs hawakua wazuri km walivyokuja darajani kwa round ya kwanza. Spurs wasicheze kwa woga huku wakijaribu kutumia mipira mirefu iliyokua ikipigwa na mabeki wao na Eriksen...

Chelsea waliweza kuwatuliza Spurs na Spurs wakawa ni wa kawaida kwasababu zile pasi za Spurs fupi fupi hazikuonekana kabisa lkn hawa Spurs walitegemea pasi ndefu na ndizo zilizotuumiza.

Nimeona watu wakiwasifia sn Wanyama na Dembele kwamba Walikamata kiungo chote. Hili si kweli. Jana kiungo cha kati cha Spurs kilicheza bila uhuru kabisa kwasababu walikua makini ktk kuimarisha ulinzi na kutumia njia yoyote ile kuwazuia chelsea. Na tumeona rafu kadhaa wamecheza hawa. Chelsea midfielder yao ilikua imerelax vzr na wao wakifanya Marking vzr na kukata passes zote zisifike kwa Kane Dele kitu ambacho kilifanya Kane asionekane uwanjani na kumfanya Eriksen ashuke chini kuchukua mipira ili kapiga pasi ndefu.

Nimeona pia watu wakisema Walker na Rose walicheza sn hili nalo si kweli. Hawa Jamaa walikua ni waoga sn kuja hovyo mbele kwasababu wanajua wakipanda mbele hovyo huko nyuma wataadhibiwa.

Chelsea tulilungukiwa ktk umaliziaji tu. Hapo ndio tulishindwa. Tulishindwa kutengeneza nafasi nzuri na ata hizo chache tulizopata hatukuzitumia vzr. Lkn mchezo wa jana ulikua ni wa kawaida sn na uliojawa mbinu nyingi na kuviziana tu....


So far timu bado iko vzr na bado tunaongoza ligi kwa points 5
Ndio maneno yenu mkifungwa
 
Inasemakana eti Chelsea alitaka sare lakini kitambaa hakikutosha

Rent boys rekodi ya kaka zenu ngumu kuvunjwa.
Sasa hivi ndo unakuja na haya maneno kama ulikuwa waamini hivyo toka mwanxo mbona hukuja na kuyasema hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom