Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Barua ya John Obi Mikel kwa WanaChelsea.
86181fe5d981ce5d15d99024d376fed6.jpg
 
Some words from Antonio Conte in today's conference

Addressing the media on a crisp afternoon at our Cobham training ground, Conte also spoke in detail about a couple of his young players, Kurt Zouma and Michy Batshuayi. Zouma will return on Sunday having not featured for the first team since suffering a cruciate ligament injury last February.

‘ Zouma will start, he is ready to start,’ Conte reported.

Batshuayi is another who will be hoping to impress the boss.

‘I have a good opportunity in this game to see Michy from the start, and this is important,’ Conte said of the Belgian.
 
Some words from Antonio Conte in today's conference

Addressing the media on a crisp afternoon at our Cobham training ground, Conte also spoke in detail about a couple of his young players, Kurt Zouma and Michy Batshuayi. Zouma will return on Sunday having not featured for the first team since suffering a cruciate ligament injury last February.

‘ Zouma will start, he is ready to start,’ Conte reported.

Batshuayi is another who will be hoping to impress the boss.

‘I have a good opportunity in this game to see Michy from the start, and this is important,’ Conte said of the Belgian.
Nafikiri ni wakati sasa Azpilicueter akapumzika... Ule ufupi wake ni shida wakati mwingine... Tumeona magoli ya Delle ya kichwa km angekuwepo Zouma hapo au Luiz yasingefungwa hayo Magoli.


Cahill na Luiz walijitahidi sn kumzuia Kane lkn huyu Delle alileta shida
 
Nafikiri ni wakati sasa Azpilicueter akapumzika... Ule ufupi wake ni shida wakati mwingine... Tumeona magoli ya Delle ya kichwa km angekuwepo Zouma hapo au Luiz yasingefungwa hayo Magoli.


Cahill na Luiz walijitahidi sn kumzuia Kane lkn huyu Delle alileta shida
Kaka cahill alkua anahama sana sehem ya kati na kwend kkaba mpra ambayo haimhus anglia goli la kwnz walienda kkba wat wanne wakat ye altakiw arud kati mapema
 
Kaka cahill alkua anahama sana sehem ya kati na kwend kkaba mpra ambayo haimhus anglia goli la kwnz walienda kkba wat wanne wakat ye altakiw arud kati mapema
Lile halikua tatizo kwasababu lengo kubwa walikua wanazuia pass za kupenya ndio maana walienda wanne kumzuia Eriksen na huku Luiz akifanya marking kwa Kane lkn ghafla Eriksen akapiga mpira mrefu yaani pasi ndefu kwa Delle km nilivyosema hapo awali kua Spurs walikua wakitumia pass ndefu baada ya pass zao za upenyaji kuzuiliwa......


Shida ilikua ni kwa Azpilicueter na Moses na Spurs ata hizo cross walikuwa wanazicheza kwa kuvizia. Kabla mpira haujapigwa Kane na Delle wanakua ndani kabisa yaani hawana mazara then ina pigwa cross ya kuelekea rangoni wanaifata mbio na kukutana nayo.


Azpilicueter ndio shida kwasababu Moses alikua akimsaidia Azpilicueter huku akifanya marking kwa Rose. Ata Goli la kwanza linaonyesha hivi.
 
Nafikiri ni wakati sasa Azpilicueter akapumzika... Ule ufupi wake ni shida wakati mwingine... Tumeona magoli ya Delle ya kichwa km angekuwepo Zouma hapo au Luiz yasingefungwa hayo Magoli.


Cahill na Luiz walijitahidi sn kumzuia Kane lkn huyu Delle alileta shida
swadakta
 
Milner unamfananisha na trash Cahil
Milner ana bao 5 na assists 3
How many goals and assists trash Cahil have?
Uwezi linganisha interception , tackling ,clearance anazofanya cahil na milner kazi ya beki sio kufunga ku assist ingekuwa hivyo Terry anayo magoli jumla ya magoli mengi kuliko washambuliaji wa Liverpool ,mwisho mchezaji bora ndio ucheza team ya taifa nenda england milner ni chaguo la ngapi na cahil ni chaguo la ngapi.angalizo usiseme ndio maana England hawafiki popote
 
Uwezi linganisha interception , tackling ,clearance anazofanya cahil na milner kazi ya beki sio kufunga ku assist ingekuwa hivyo Terry anayo magoli jumla ya magoli mengi kuliko washambuliaji wa Liverpool ,mwisho mchezaji bora ndio ucheza team ya taifa nenda england milner ni chaguo la ngapi na cahil ni chaguo la ngapi.angalizo usiseme ndio maana England hawafiki popote

Milner alishatangaza kustaafu timu ya taifa. Hata alipoombwa abakie alikataa akisema anaelekeza nguvu kwenye klabu yake. Usimfananishe Milner na vitu vya kijinga.
 
Milner alishatangaza kustaafu timu ya taifa. Hata alipoombwa abakie alikataa akisema anaelekeza nguvu kwenye klabu yake. Usimfananishe Milner na vitu vya kijinga.
Hawezi kupata number sasa inafaida gani kuwa team ya taifa usicheze ,pembeni yuko Walker ,rose na katikati cahil na stone sasa acheze wapi anatakiwa kuwa bench katikati wako kina dier acheze wapi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom