Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tottenham-Hotspur-v-Chelsea-Premier-League+%281%29.jpg
 
Hao walio chini yetu, ilikuwa inwauma sana kuona tunaenda kuvunja record na kukaa kileleni kwa tofauti ya point nane. Sasa tumefungwa wamepata vya kuongea.

This is Chelsea tumefungwa tutasimama tena.
Hakuna cha kusimama tena Kunguru Mjanja, ndio ujue Tairi Yokohama ndio imekwaa msumari. Itachukua muda kuikarabati, kuiwekea kiraka Tairi hiyo kutokana na kubana matumizi ya hapana kazi tu.

Uwezekano ni Man. United kuwakuta hapo mlipo.
 
Ntuzu
Mentor
kalou
Ndiyo EPL ilivyo,haina haja ya kutufukuza wageni hapa bali mjipange mechi ijayo na Leicester!Lkn nawakumbusha kuwa mfumo wa Conte ulikuwa exposed na Stoke week jana na ndipo Spurs wameufanyia marekebisho zaidi!

Kama Conte HAJAJA na mfumo mpya week ijayo na Leicester mbele pale Sliman na Vardy tena kwao wanakufunga!Poleni sana ndiyo soka
 
Hakuna cha kusima atena Kunguru Mjanja, ndio ujue Tairi Yokohama ndio imekwaa msumari. Itachukua muda kuikarabati, kuiwekea kiraka Tairi hiyo kutokana na kubana matumizi ya hapana kazi tu.

Uwezekano ni Man. United kuwakuta hapo mlipo.
Man U kutukuta hapana ni ngumu, japo inawezekana kwenye mpira. Ila sitegemei kufungwa tena hapa karibuni. Timu leo imefanya makosa mengi sana ambayo kama watayafanyia kazi tutarudi vizuri.
 
Mkuu mbona tukishinda hutokei hapa???? Yaani hutii team kabisa hadi tufungwe?????
Utanilipa nini?
Siku ambayo huwa sina muda wa kuangalia mechi ndio mnafunga, sasa nitamega wakati ili niangalie mechi nyingi mnazocheza, nione magoli yanayofungwa na wapinzani wenu.

Magoli yaliyofungwa leo hayakuwa na mvuto sana, lakini yanaonesha ni jinsi gani ilivyo rahisi kuifunga Ze blauz. Kelele mtaani zimepungua leo.
 
Hakuna cha kusima atena Kunguru Mjanja, ndio ujue Tairi Yokohama ndio imekwaa msumari. Itachukua muda kuikarabati, kuiwekea kiraka Tairi hiyo kutokana na kubana matumizi ya hapana kazi tu.

Uwezekano ni Man. United kuwakuta hapo mlipo.
Na ni kweli msumari tumekwaa, tutabadili tairi na nakuendelea na safari maana spare tunazo. Hatufungi gari na kuenda kutafuta sehemu ya kuziba pancha tuje tufunge ndo tuendelee na safsri.
 
Na ni kweli msumari tumekwaa, tutabadili tairi na nakuendelea na safari maana spare tunazo. Hatufungi gari na kuenda kutafuta sehemu ya kuziba pancha tuje tufunge ndo tuendelee na safsri.
Mzee wa kupiga sound alishasema magari yenu ya mizigo myaegeshe na mpangilie mawe kunusuru tairi zenyu za Yokohama. Hakuna tena mzigo wa kubeba.
 
Mzee wa kupiga sound alishesema magari yenu ya mizigo myaegeshe na mpangilie mawe kunusuru tairi zenyu za Yokohama. Hakuna tena mzigo wa kubeba.
[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom