Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

I will say this again...mvhezaji pekee wa Chelsea ninayehofia ubora wake ni Alonso. Having said that, sidhani kama tutafungwa siku za hivi karibuni mkuu.
Conte asipokuja na mbinu mpya Leicester hata kama Sliman na Mahrez hawapo lkn anaweza kukufunga!
Sababu Vardy na Mussa wapo na Ranieri ata copy and paste kwa Spurs wlaichofanya leo na itakuwa easy zaidi kwao sababu beki zao zina nguvu kuliko Spurs
 
Haya matokeo haya kunishangaza kabisa kutokana na derby yetu na Spurs huwa ni ngumu miaka yote nakumbuka ule msimu tuliochukua ubingwa walitupiga 5-3 hii iliniuma sana na makosa yalionekana ni mengi mno ila hii ya jana vitu vidogo vya kufanyia kazi bado tupo Top kwenye msimamo
 
Conte asipokuja na mbinu mpya Leicester hata kama Sliman na Mahrez hawapo lkn anaweza kukufunga!
Sababu Vardy na Mussa wapo na Ranieri ata copy and paste kwa Spurs wlaichofanya leo na itakuwa easy zaidi kwao sababu beki zao zina nguvu kuliko Spurs
Mpira aupo hivyo Malafyale kama ingekuwa hivyo kilatimu ingekuwa inashinda. Jana nilichokiona Eriksen alikuwa anasahaulika Sana anacheza mipira yote free mabeki walikuwa wanammark Kane Sana ajaonekana kabisa. Na magoli yote yamefugwa Kwa mtindo mmoja. Goli la kwanza free header la pili Moses, azp na court Kila mtu aliruka bila mawasiliano na kipa alichelewa kutokea
 
Bado Leicester atufanyie kazi,kabla ya wazee kuja kuwamalizia kabisa!...
 
15873405_1507766112596720_8455602200589821681_n.jpg
Duh ! ulichofanya hapo ni sawa na radio iwe na batteries mia ukitoa moja tu haiongei majirani huwa ikifikia hapo pa UCL hunyamaza kimya hapo inakuwa sisi nyie Liverpool pia ungewaongeza forest ndio ungekuwa umefunga ukurasa .
 
Nimeumia sana kupoteza hiyo mechi
Pole sana mkuu lakini hakukuwa na namna ilikuwa ni lazima mpoteze. Spurs wako far better kuliko nyinyi sema mara nyingi wanaangukiwa either kwa kukosa bahati. So far wamepoteza mechi 2 tu mpaka sasa ya Man U na ile ya Chelsea 1st round.
 
Ila EPL ina mambo:
_Chelsea kapoteza lakin bado anaongoza ligi.
_ Mancherster United hata ashinde vipi bado yuko nafasi ya sita.

Kweli kama mwaka wako ni wako tu.
Potezeni mechi 2 zijazo muone moto wake
 
Wakuu poleni sn kwa kupoteza mchezo wetu wa jana....

Nimeona walio chini yetu wamefurahi sn na ghafla uzi umevamiwa na kukimbia sn



Km nilivuyo sema jana huu mchezo hautakua na presha sn kwetu ata km tutapoteza kutokana na timu km Arsenal liverpool kupata matokeo ambayo sio mazuri...


Mpira wa jana ulifanana kila kitu kwa timu zote mbili aina ya uchezaji, mfumo na ata mbinu... Na Spurs hawakua wazuri km walivyokuja darajani kwa round ya kwanza. Spurs wasicheze kwa woga huku wakijaribu kutumia mipira mirefu iliyokua ikipigwa na mabeki wao na Eriksen...

Chelsea waliweza kuwatuliza Spurs na Spurs wakawa ni wa kawaida kwasababu zile pasi za Spurs fupi fupi hazikuonekana kabisa lkn hawa Spurs walitegemea pasi ndefu na ndizo zilizotuumiza.

Nimeona watu wakiwasifia sn Wanyama na Dembele kwamba Walikamata kiungo chote. Hili si kweli. Jana kiungo cha kati cha Spurs kilicheza bila uhuru kabisa kwasababu walikua makini ktk kuimarisha ulinzi na kutumia njia yoyote ile kuwazuia chelsea. Na tumeona rafu kadhaa wamecheza hawa. Chelsea midfielder yao ilikua imerelax vzr na wao wakifanya Marking vzr na kukata passes zote zisifike kwa Kane Dele kitu ambacho kilifanya Kane asionekane uwanjani na kumfanya Eriksen ashuke chini kuchukua mipira ili kapiga pasi ndefu.

Nimeona pia watu wakisema Walker na Rose walicheza sn hili nalo si kweli. Hawa Jamaa walikua ni waoga sn kuja hovyo mbele kwasababu wanajua wakipanda mbele hovyo huko nyuma wataadhibiwa.

Chelsea tulilungukiwa ktk umaliziaji tu. Hapo ndio tulishindwa. Tulishindwa kutengeneza nafasi nzuri na ata hizo chache tulizopata hatukuzitumia vzr. Lkn mchezo wa jana ulikua ni wa kawaida sn na uliojawa mbinu nyingi na kuviziana tu....


So far timu bado iko vzr na bado tunaongoza ligi kwa points 5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom