luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,940
Mbaya zaidi mechi ijayo dada zenu leicister then majogoo wawawikie tena. Mtakoma mwaka huu. Kutangulia sio kufikaKuna mechi 18 bado kwenye ligi acha kuwa blind!
Mbaya zaidi mechi ijayo dada zenu leicister then majogoo wawawikie tena. Mtakoma mwaka huu. Kutangulia sio kufikaKuna mechi 18 bado kwenye ligi acha kuwa blind!
Kesho mkuu wacha nilaleWeak link imetokea wapi tena?
Unaanza ulalamishi.
Mfumo wa Conte/Kante umegoma leo au ametumia mfumo mpya kwa majaribio?
Nasubiri bandugu etu, Ntuzu anitafute ili tuongee kandanda.
Inawasaidiaje? Mnashinda..arsenal wins...tottenham wins...mnabaki six! Jipeni matumaini and its just a matter of time Mou atawaweka tena benchi Carrick na Mata..Mkuu hata Arsenal alitucheka sana Man Utd na point zake 10 in between, nafikiri unajua kinachoendelea now.
Tushinde tusishinde tupo nafasi ya sita lakini inayowakaribia kila siku.
Hongereni Tottenham, lakini zaidi Hongereni ManU, Man C, Liverpool pamoja na Arsenal, naona leo kila mmoja wenu kasahau machungu yake,Bahati mbaya leo haikuchezwa london, ilichezwa mwezini
Pole bosi
Tambo na kujiamini kwa timu uishabikiyo ndo tunaita ushabiki na mapenzi ya timu. Kuchambua mechi na kikosi chenu kwa ajili ya ushindi sio kuwa kocha, huo ni unazi kwa timu.Heheheeeee, mulikua na tambo sana, timu zote mukiziona za mchangani, bwamdogo kawashikisha adabu
Mkuu man u habari nyinginemi spars tokea wafungwe na man u niliwadharau sana.............. tutawapga si chini ya goli tatu.

Here I am mkuu
Sio kunishikisha adabu, kafanya kazi aliyotumwa uwanjani, wachezaji wetu hawajafanya kazi itakiwavyo hivyo Dele katjmia makosa hayo hayo. Mpira ni mchezo wa makosa.Heheheeeee, mulikua na tambo sana, timu zote mukiziona za mchangani, bwamdogo kawashikisha adabu
ThxPole bosi
Msinge shinda milele, tena bora mmefungwa na tot lts say ingekuwa Arsenal hivi
Mngewakoma watu hapa
Mwambieni dembele amuachie Kante mpira umekwisha.. nasikia kaenda nae hadi change rooms![]()
Tunajua nini tunafanya, na ndo maana tunafurahia wee subiri soon utarealize nini kilinifurahishaHa ha ha ha ha wewe ni man u unaefurahia ushindi wa Spurs. Nakuonea huruma maana waweza maliza ligi wa sita
Hongereni Tottenham, lakini zaidi Hongereni ManU, Man C, Liverpool pamoja na Arsenal, naona leo kila mmoja wenu kasahau machungu yake,
Wana Chelsea wenzangu, kufungwa ni sehemu ya Mchezo hii sio mechi yetu ya kwanza kufungwa kwa msimu huu, lakini bado tunaongoza league kwa gap kubwa tu la point tano
Kweli kabisa.Alonso is good muachen aendelee atakuwa bora zaidi....You guys mmefanya Tittle race irudi kuto kuwa na mwenyewe na kumbukeni mna mechi na Arsenal na Liva, mwez huu mwishoni.
EPL is getting heated ngoja tuone
Pole sana mkuu,Here I am mkuu