Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
[emoji12] [emoji14] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]Yule kocha wa Chelski JF? Labda anamalizia kupanga kikosi...
[emoji12] [emoji14] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]Yule kocha wa Chelski JF? Labda anamalizia kupanga kikosi...
Leicester sio spurs ntakukumbusha mchezo huu hauitaji hasiraJifariji tu, next game Vs Leicester city then Liverpool, zote unapigwa bikra ishatolewa
Weak link imetokea wapi tena?Hakuna haja ya usajili January hii.
Pedro for Alonso for all the remaining games. Basi kwangu mimi hiyo ndo weak link tuliyonayo.
Utaolewa ukiendelea kujibu maswali yasiyokuhusu bro. Just saying...Hata mi sijui
Alonso is good muachen aendelee atakuwa bora zaid.Huu ndo ukweli. Ukifungwa kuna tendency ya kuona kila mtu kakosea.
My only cry tangu mwanzo wa ligi ni Marcos Alonso...viatu vya Ashley Cole vinampwaya sana.
Najua games nyingine tunaweza kushinda ila games kama ya Leicester and Liverpool ingependeza Pedro acheze left wing. Ni mtazamo wangu.
I just hope wewe ni shabiki wa Liverpool maana kama ni united pamoja na kufungwa bado nitakucheka sana!
Utapigwa tu, uwa unashinda kiujanja ujanja tuLeicester sio spurs ntakukumbusha mchezo huu hauitaji hasira
I see umeshawapruv wrong pundit wote. We jamaa mkaliThis was bound to happen...the top position is still ours for two more games.
On to the next game...January 14.
Lakini kabla ya hapo...one FA game.
Tatizo lako unakuja huku tukifungwa tu.Weak link imetokea wapi tena?
Unaanza ulalamishi.
Mfumo wa Conte/Kante umegoma leo au ametumia mfumo mpya kwa majaribio?
Nasubiri bandugu etu, Ntuzu anitafute ili tuongee kandanda.
[emoji12] [emoji14] [emoji13] [emoji23] [emoji38]Mchana wa jana kuna makocha wengi walikuwa kwenye jukwaa hili, nadhani kwa udadavuzi waliokuwa wanatoa, Conte mwenyewe akasome chuo.
Heheheeeee, mulikua na tambo sana, timu zote mukiziona za mchangani, bwamdogo kawashikisha adabuNaona mkuu umefurahi hatari leo. Hongera sana kwa dua zako kutimia
Ha ha ha ha ha wewe ni man u unaefurahia ushindi wa Spurs. Nakuonea huruma maana waweza maliza ligi wa sitaLeo zimempata mwewe
We jamaa we kaah unaua atiHamtacheza tena na spurs [emoji12] [emoji12] [emoji12] una kante, matic, Moses unataka kiungo gani tena labda kitunguu saumu
Kumbe kufungwa ni dalili za ubingwa
[emoji12] [emoji14] [emoji13] [emoji23] [emoji38]Ntuzu popote ulipo nilikwambia jifunze kuweka akiba ya maneno
Mtafika tu mkuuKutangulia sio kufika. This is Chelsea.