Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

eto2_2432069.jpg


Eto'o finishes with aplomb as Chelsea are left with a mountain to climb to progress to the quarter-finals of the competition - Eto anamwaga radhi.



Inter_2432071.jpg


It's pure jubilation for Inter at the final whistle as Mourinho comes back to haunt his former club - Ushindi mzuri bwana.


Drogba_2432070.jpg


Things get worse for the home side as Drogba is shown a straight red card for a stamp on Thiago Motta

Majuto mjukuu. Khe khe kheeeeeeee
 
Jana alikuwepo natafuta picha yake alikuwa kanyong'onyea kama kuku aliyenyeshewa na mvua.

...Poa! 😀

asinywee mchezo? magazeti ya jana yalibeba heading hii;

Ashley Cole 'asked Cheryl Cole to postpone split until after World Cup'

...hebu ampe talaka yake bana, mbona anambania huyo mrembo? nani kamwambia England watatwaa World Cup ilhali inajumuisha 'the likes of' John Terry na Cashley Cole?
 
Aaaaaaaaah Chelsea,duh...Kweli mmetokota mbaya majirani...Nyways,subirini tu mwakani,tuombeeni dua tuwe champs wa UCL🙂🙂🙂....Karibuni kutushangilia Ze Ganaz basi
 
Jana alikuwepo natafuta picha yake alikuwa kanyong'onyea kama kuku aliyenyeshewa na mvua.[/quote]

Huyu hapa mzee wa Zipu wazi...

image003.jpg
 
...'miti inateleza' tu mwaka huu, duu Gundu hili!

John Terry breathalysed as security guard is injured in car accident after Chelsea's defeat to Inter Milan
By Sportsmail Reporter Last updated at 6:12 PM on 17th March 2010

John Terry was breathlaysed after damaging the leg of a security guard he knocked over in his Range Rover following Chelsea's Champions League exit to Inter Milan.

Attempting to drive away from Stamford Bridge late on Tuesday night, Terry's car was surrounded by photographers, leaving him at a standstill.


article-1258596-08BFCAAB000005DC-435_468x242.jpg
On his way: John Terry and wife Toni leave Stamford Bridge last night


Chelsea's security team eventually managed to clear room for Terry to move forward but as he drove on at a snail's pace, his vehicle collided with the man's leg.

Despite a police statement, it is believed that the man's leg was badly bruised - rather than broken - in the incident, and that he also suffered a sprained ankle.

Terry's spokesman Phil Hall confirmed Terry was breathalysed in the early hours of Wednesday morning at his home in Surrey.
Hall said: "It wasn't until he was signalled through that he got away from that melee. And it was an hour later before he knew what had happened.

'The club made contact with John and put the police in touch. They breathalysed him but he hadn't had a single drop to drink so the breathalyser showed nothing.

article-1258596-08BFCA83000005DC-616_468x555.jpg
Down: The security steward holds his injured leg
 
Chelsea tumeanza kuwa nyanya tangu mwaka uanze. Ushindi wetu unakuwa ni wa kubahatisha mno na kwa timu ambazo si mahiri sana kwenye ligi!

Tangu Drogba na Essien waende Angola, kisha Malouda kutishia kujitoa, timu haiko sawa.

Essien, Cech na Ashley kuumia, inaonyesha hatuna wa kuziba manya yao na Ancelloti wala hana muelekeo.

Ballack anachezeshwa kwa kuwa ni Captaion wa Ujerumani, lakini sidhani kama ni mahiri sana ikiwa tayari kuna Lampard, Malouda na centers wengine. Angewekwa Kalou ambaye ni mkimbiaji akawachezesha kina Anelka na Drogba, labda sawa.

Lakini naye Anelka tangu Drogba arudi kaufyata unless plays za kocha ni mbaya.

Tukirudi nyuma,pengo la Ashley linaonyesha udhaifu wa Terry na wenzake na makosa kibao yanayofanywa nyuma.

Ndio Terry kafumaniwa, lakini kuwekwa mkong'oto na mkewe hakuna maana avuje na kuwana maamuzi mabovu kiasi hicho.

Kutolewa na Inter tulistahili, hakuna la kutoa kisingizi cha Marefa mechi ya kwanza Italy au lolote, bali ni kocha na wachezaji!

Ancelloti anaweza kujiunga na Arsene Wenge na Rapha Banitez kuwa na roho mkononi kutafuta kazi na pua itamvimba kama Avram Grant!
 
Jana alikuwepo natafuta picha yake alikuwa kanyong'onyea kama kuku aliyenyeshewa na mvua.


article-0-08BE7CEE000005DC-39_468x424.jpg


Hiding away: Ashley Cole watches Chelsea lose
against Inter Milan during the Champions League second leg
 
Poleni sana asiyekubali kushindwa si mshindani

FL1 nimekukubali kinadada wachache sana ktk michezo hata mijibaba nayo sijui inapendelea nini?

Wazee mnamiss Essien, kiungo kilikuwa ovyo kabisa huyu Lampard wenu siku hizi amekuwa hovyo kabisa hamna kitu hata south anatakiwa atemwe kabisa huyu
 
Chelsea tumeanza kuwa nyanya tangu mwaka uanze. Ushindi wetu unakuwa ni wa kubahatisha mno na kwa timu ambazo si mahiri sana kwenye ligi!

Tangu Drogba na Essien waende Angola, kisha Malouda kutishia kujitoa, timu haiko sawa. Essien, Cech na Ashley kuumia, inaonyesha hatuna wa kuziba manya yao na Ancelloti wala hana muelekeo.

Ballack anachezeshwa kwa kuwa ni Captaion wa Ujerumani, lakini sidhani kama ni mahiri sana ikiwa tayari kuna Lampard, Malouda na centers wengine. Angewekwa Kalou ambaye ni mkimbiaji akawachezesha kina Anelka na Drogba, labda sawa.

Lakini naye Anelka tangu Drogba arudi kaufyata unless plays za kocha ni mbaya.

Tukirudi nyuma,pengo la Ashley linaonyesha udhaifu wa Terry na wenzake na makosa kibao yanayofanywa nyuma. Ndio Terry kafumaniwa, lakini kuwekwa mkong'oto na mkewe hakuna maana avuje na kuwana maamuzi mabovu kiasi hicho.

Kutolewa na Inter tulistahili, hakuna la kutoa kisingizi cha Marefa mechi ya kwanza Italy au lolote, bali ni kocha na wachezaji!

Ancelloti anaweza kujiunga na Arsene Wenge na Rapha Banitez kuwa na roho mkononi kutafuta kazi na pua itamvimba kama Avram Grant!

Mwenyewe sema tulikuambia kwamba hao pensioners hawana lolote kazi kutumia miguvu tu bila akili, naona Abraham o Vich anataka kufanya kweli kuwatimulia mbali khe khe kheeeeeeeeeeeee. swala la kujiuliza atampata Torres kweli?


splash_-_chelsea_1007551a.jpg
 
p76wednesday_585x35_697940a.jpg


Who wanted to win more ... ... .... The loser was ......
Khe khe kheeeeeeeee
 
Kulikuwa na system upgrade as usual ngoja waje kina Wacha nasikitika tena hatutamuona Masanilo kwa muda wa wiki nzima

May ndio inakaribia hesabu zote itabidi zifungwe tayari ngumi za uso zinarushwa Stamford Bridge.

Ila kina Invi kiboko waliindoa mapema kabisa ili tusishtuke....nahisi walishamwona yule sheikh wa magomeni kabla ya mechi.

Teh teh teh si unafahamu yahaya alikuwa contacted earlier on wabongo kwa tunguli utawaweza wanaamini ushirikina hivi chacha wameambiwa wakimpa kura JK watashinda world cup. khe khe kheeeeeee
 
FL1 nimekukubali kinadada wachache sana ktk michezo hata mijibaba nayo sijui inapendelea nini?

Wazee mnamiss Essien, kiungo kilikuwa ovyo kabisa huyu Lampard wenu siku hizi amekuwa hovyo kabisa hamna kitu hata south anatakiwa atemwe kabisa huyu

Ukweli upo kwamba pengo la Essien lipo tena wazi ila game iliyopita kiungo kwa ujumla ilipwaya sana si Lampard pekee ndo wakulaumiwa nadhani ni wote pale ktkt Ballack na Mikel hawakucheza kwa nguvu na kujituma kama tulivyowazoea.Naweza sema ni mchezaji kama vile mmoja tu ndo nilimuona yupo uwanjani na hakupata ushirika wa wenzake.So finally we are out and we waiting when next offered!
 
....where are you Masa boy? we miss you here like nonsense.....😀😀!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom