Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

[ame="http://www.youtube.com/watch?v=4a3HUicBsg0"]YouTube- Chelsea 4-1 West Ham, 13th march 2010 full match statistics and goal highlights.asf[/ame]
 
Pape, Peasant na wengine wote thx kwa updates tuendelee na burudani ya Tusker baridi kama Kigogo anavyoburudika mida hii.
poa poa! mi chai tu inatosha! sina makuu!
 
Sina hakika kama umemwelewa Pape, anamaanisha lugha iliyotumiwa kwenye hizo clips, nafikiri ni Kichina! Hata mimi kimenitoa baruti.
hapo sasa nimekuelewa asante mkuu,mie huwa sina noma mpira lugha yoyote powa tu kama huo ndio uwezouliopo.saa nyingine wakinikera wachina nazima sauti kabisa lool.
 
Hongereni Wakuu naona Masanilo atakuwa kishashuka Pub kukamata moja moto moja baridi kusherehekea ushindi. Bado tunakula sahani moja nanyi mpaka kieleweke.
 
Hongereni Wakuu naona Masanilo atakuwa kishashuka Pub kukamata moja moto moja baridi kusherehekea ushindi. Bado tunakula sahani moja nanyi mpaka kieleweke.
Thnx! Hivyo ndivyo inatakiwa, sio unalilia kupongezwa wewe tu!...lol
 
...kuuuliza si ujinga,

hivi jumanne mtamchezesha nani pale golini maana naskia 'Cheque' majeruhi, 'Hillarious' majeruhi, ila kama nimesikia jina Turnbull?
huyu ni kijukuu cha aliyekuwa gavana wetu Tanganyika nini?

kwa 'Domicile' status anafaa kwa Maximo, ngoja tum evaluate na Inter ya "the special one" J'4!!! 😀
 
...kuuuliza si ujinga,

hivi jumanne mtamchezesha nani pale golini maana naskia 'Cheque' majeruhi, 'Hillarious' majeruhi, ila kama nimesikia jina Turnbull?
huyu ni kijukuu cha aliyekuwa gavana wetu Tanganyika nini?

kwa 'Domicile' status anafaa kwa Maximo, ngoja tum evaluate na Inter ya "the special one" J'4!!! 😀
Mkuu Mbu hapo kwenye nyekundu laweza kuwa jibu ingawa leo amenitisha sana maana kakubali goli la mbali sana.Ila ushindi itakuwa lazima bila kujali nani yupo langoni kwetu.
 
_47466210_alexgoal766getty.jpg


Alex rises above the West Ham defence to score


_47466929_drogba766.jpg


Drogba restores the lead for Chelsea after a Malouda cross


_47466997_maluoda341pa.jpg


Malouda nets a third

_47467103_drogba2776pa.jpg


Drogba completes a fourth





 
Watani wa darajani check hii ya Jose

QUOTE OF THE WEEKEND:
Jose Mourinho ahead of Inter's Champions League second leg at Chelsea: "Everybody knows Mourinho doesn't lose at Stamford Bridge. My record is unbeatable. It is amazing - we were so strong for such a long time."

ED (Early Doors) feels an overwhelming urge to tack some Mike Tyson on to the end of that: "(Carlo Ancelotti), I'm coming for you man. My style is impetuous. My defense is impregnable, and I'm just ferocious. I want your heart. I want to eat his children.
"
 
Huyu jamaa wa kuweka picha mbona nae alipotea hivi karibuni?
 
Inter boss Jose Mourinho taunts Chelsea chief Carlo Ancelotti
Stamford Bridge is my fortress not yours

article-0-086ED3C9000005DC-779_468x354.jpg




article-0-089D24EC000005DC-998_468x342.jpg


Talking a good game:
Mourinho will take his Inter side to Stamford Bridge with ... .... :


Esteban-Cambiasso-Inter-Milan-Champions-Leagu_2423947.jpg

This man ... ... Esterban Cambiasso ... ... the cam belter.
 
Watani wa darajani check hii ya Jose
Jose Mourinho ahead of Inter's Champions League second leg at Chelsea: "Everybody knows Mourinho doesn't lose at Stamford Bridge. My record is unbeatable. It is amazing - we were so strong for such a long time."

ED (Early Doors) feels an overwhelming urge to tack some Mike Tyson on to the end of that: "(Carlo Ancelotti), I'm coming for you man. My style is impetuous. My defense is impregnable, and I'm just ferocious. I want your heart. I want to eat his children.


QUOTE OF THE WEEKEND: "

Na kama hiyo haitoshi akawaonya tena; ""Tomorrow at the end of the game I will be the Special One ..."

Inter boss Jose Mourinho taunts Chelsea chief Carlo Ancelotti
Stamford Bridge is my fortress not yours

article-0-086ED3C9000005DC-779_468x354.jpg




article-0-089D24EC000005DC-998_468x342.jpg


Talking a good game:
Mourinho will take his Inter side to Stamford Bridge with ... .... :


Esteban-Cambiasso-Inter-Milan-Champions-Leagu_2423947.jpg

This man ... ... Esterban Cambiasso ... ... the cam belter.
He proved his words.
BTW; Invisible mambo yakuondoa hewani JF kwa sababu yakuogopa kufungwa sio fresh kabisa!
 
Poleni jamani sasa matumanini yamebaki FA CUP
 
Huyo Drogba kila msimu anawaponza kwenye Champions league
 
Chel you are real sick...poleni.
Pole Inv, pole Ab, poleni Chelsick wote, get well soon!
 
Chel you are real sick...poleni.
Pole Inv, pole Ab, poleni Chelsick wote, get well soon!
Kulikuwa na system upgrade as usual ngoja waje kina Wacha nasikitika tena hatutamuona Masanilo kwa muda wa wiki nzima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom