Ndio maana kwa watu wasio taka pressure na nini wameamua kuwa wapenzi wa mpira tu and not supporting any club japokuwa upati sana ile ladha.Bcoz Kila siku roho inauma mara umezima simu after match wakati wenzio mpira uukiisha wanakula kuku na bata.Naona Masanilo kaamua kutokomea jumla na kulitelekeza jukwaa jumla...Haya ndo matatizo ya kuzoea vya kunyongwa............