Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nilidhani wazungumzia kiu ya EPL maana nyie mnayo ya miaka mitatu na sisi ya miaka mitano..Nikwambie kitu mkuu...Baada ya Arsenal timu ninayoipenda katika EPL ni The Blues a.k.a Chelsik...Tangu miaka hiyoooooo...Mambo ya akina Dennis Wise,Gianfranco Zola,Gianluca Viali,Ruud Gullit,Ed de Goey,Tore Andre Flo,Graeme Le Saux,Marcel Dessailly,Frank Lebouf,Roberto Di Matteo,Gustavo Poyet,(baadaye) George Weah n.k...Nakumbuka mwaka 1999 hiki kikosi kilimpiga Man Utd bao 5 bila kama sikosei,Man Utd golini walimuweka kipa mmoja mbovu aitwa Massimo Taibi

Ahsante mkuu, umemsahau hapo Dan Petrescu, hilo chama lilikuwa balaa. Karibu home basi unashangaa nini huko Emirates?🙂
 
Bala, welcome home! Usijipe pressure na comedians Fat Arse

Hahaaaaaaaaaaa..Nyumbani kwangu(kwa wazazi) ni Ashburton grove bana(tulikohamia toka Highbury),ndo maana nikawa Arsenal damu..si unajua nyumbani ni nyumbani tu...Stamford Bridge ni kwa wajomba zangu tu home b
 
Frank-Lampard-Chelsea-Premier-League-PA_2412429.jpg




Frank-Lampard-Chelsea-Premier-League_2412274.jpg



 
Nasubiria hapa Match of The Day nione manazi wa Liverpool wanachosema kuhusu mechi ya jana, maana walikuwa hovyo kinoma....Arsenal wanaweza kuwafunga Liverpool hata goli 5 kama watacheza vizuri....labda Liver wabadilike haraka sana.
 
Khe khe khe kipofu kaona mbalamwezi lakini Acheni lote tumbo moto..
 
Lol hawa vijana wamenipa raha sana wameisha turudisha kwa kilele..Na game moja mkononi nzuri sana hii.
 
Kapigwa bao tatu za kifundi na ile NJEMBA ya Stoke-on-Trent, sasa naona anahaha kupata dume type ileile ya Stoke, huyu A. Villa kashemsha, "hakumfikisha".


Richard_Dunne_score_910493a.jpg


Richard Dunne huyo unaona anavyoweka vitu!
 
Sisi wachumba wetu ni hawa jamani. Kwa nini twende mbali wakati totoz ziko kona ya pili tu hapo Emirates! Si unamwona Gallas hapo chini kashachanua anamwita Drogba afanye mambo, duh!


_46907815_saha3_pa766.jpg
 
James_Collins_celeb_910525a.jpg


Peasant upo hapo kwa kujikumbusha angalia jamaa kwenye background.
 
Sport-Caro-1_881500a.jpg


Sasa baada ya rufaa ban inakuja vipi fweza kwishnei? Dirisha litafungwa soon. Pensioners watamudu hadi 2012?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom