Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,824
Hongereni sana kwa ushindi Chelsea..Nimefurahi mumemuondoa Belo Kileleni
Ahsante. Kumbuka na wewe umeondoka kileleni.Hongereni sana kwa ushindi Chelsea..Nimefurahi mumemuondoa Belo Kileleni
Hahahaha napata raha sana kuwachokoza! waliongoza ligi wakataka ligi iishia pale
Hongereni sana kwa ushindi Chelsea..Nimefurahi mumemuondoa Belo Kileleni
Walikuwa wanashangalia kuongoza ligi kwa siku tatu, sijui wakichukua kombe itakuwa vipi? Kiu ya ubingwa hiyo miaka mitano si haba! Ninawaogopa Manure zaidi kuliko Fat Arse, naombea watoke sare mechi this weekend.Hahahaha napata raha sana kuwachokoza! waliongoza ligi wakataka ligi iishia pale
Ahsante. Kumbuka na wewe umeondoka kileleni.
Walikuwa wanashangalia kuongoza ligi kwa siku tatu, sijui wakichukua kombe itakuwa vipi? Kiu ya ubingwa hiyo miaka mitano si haba!
Siwapendi Manure so hata wanapokaa kileleni donge lanikaa mpaka basi...Thank God mmeshinda na kuwaondoa kileleni leo...Kwa ubingwa mimi nawapa zaidi Chelsea Man Utd siwapi nafasi kabisa(nilishasema tangu awali) ila Chelsea wakiteleza tu Arsenal tunachukua...Jumapili tunamchapa Man Utd(shika maneno yangu Home b),natumaini utakuwa upande wetu katika suala zima la kushabikia mechi hiyo😀😀😀
Mimi hiyo mechi nataka mtoke drwa ili mpoteze wote kwa sababu tofauti yenu ni pointi moja tu....nafikiri Manure ndio watatupa shida zaidi kuliko ninyi maana wana history ya kufanya vizuri nusu ya pili ya msimu. Wakati nyie mwaka juzi mkiwa mnaongoza ligi February mkachemsha ile mechi ya Birmingham City na ikawa ndio turning point, na leo mmchesha Villa (kumbuka ni Birmingham kulekule😉🙂😀) ngoja tuone kama historia itajirudia!Siwapendi Manure so hata wanapokaa kileleni donge lanikaa mpaka basi...Thank God mmeshinda na kuwaondoa kileleni leo...Kwa ubingwa mimi nawapa zaidi Chelsea Man Utd siwapi nafasi kabisa(nilishasema tangu awali) ila Chelsea wakiteleza tu Arsenal tunachukua...Jumapili tunamchapa Man Utd(shika maneno yangu Home b),natumaini utakuwa upande wetu katika suala zima la kushabikia mechi hiyo😀😀😀
Mimi hiyo mechi nataka mtoke drwa ili mpoteze wote kwa sababu tofauti yenu ni pointi moja tu....nafikiri Manure ndio watatupa shida zaidi kuliko ninyi maana wana history ya kufanya vizuri nusu ya pili ya msimu.
Maneno mazito hayo! Ila nitawashangilia walau kidogo.....Thanks for keeping the seat warm....we are in driving seat and the road to PL champs
Sisi hatuna kiu kwa sana maana tuna nyumba ndogo inaitwa FA na sometime Carling Cup....ninyi ndo mna ugwadu maana miaka 5 bila kuona ndani si mchezo!Kila mtu anashangilia kuongoza ligi bana..kuhusu kiu ya kuchukua kombe sio sisi tu,hata nyinyi pia mna kiu bana...Waulize Liverpool wao ndo wana mchanganyijo wa kiu na njaa ya kombe maana wao ubingwa wa EPL wanausikiaga kwenye bomba tu(kama ilivyokuwa kwa Chelsea kabla haijachukuliwa na Abromavich)
Good luck, and I hope you stick to your words.Usikariri kaka...Jumapili tunamchapa Man Utd Emirates
Sisi hatuna kiu kwa sana maana tuna nyumba inaitwa FA na sometime Carling Cup....ninyi ndo mna ugwadu maana miaka 5 bila kuona ndani si mchezo!
Hahahaha, atakuwa kawekwa kinyumba na NJEMBA kutoka Stoke-on-Trent....unacheza na penzi jipya!Bwabwa1 mbona haonekani? hahahahaahah naona amekimbia haweki hata picha mmmmmm