Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,553
hatuwezi kuikimbia timu kama Masanilo alivyoikimbia chelsea ilivyo kuwa inaboronga mkuu.
sisi tunaheshimu matokeo ya mpira yoyote yale.
Ona mwingine huyu hana hata aibu! Mzee wa kutangaza ubingwa
hatuwezi kuikimbia timu kama Masanilo alivyoikimbia chelsea ilivyo kuwa inaboronga mkuu.
sisi tunaheshimu matokeo ya mpira yoyote yale.
Mbona mmekimbia huko kwenye thread yenu mnakuja kutuwangia hapa?.Ngoja tumalize mechi tatu ngumu zilizobakia,sijui mtatukamatilia wapi nina uhakika kabisa hapa jamvini mtatukimbia na wengine mtakuja kutoa hongera hapa.Ona mwingine huyu hana hata aibu! Mzee wa kutangaza ubingwa
Mbona mmekimbia huko kwenye thread yenu mnakuja kutuwangia hapa?.Ngoja tumalize mechi tatu ngumu zilizobakia,sijui mtatukamatilia wapi nina uhakika kabisa hapa jamvini mtatukimbia na wengine mtakuja kutoa hongera hapa.
Chelsea will have 6 points from Fat Arse! Msalimie Mzenj hapo......🙂
You will end up with 3 points at maximum, two more draws at Emirates and....you know what's awaiting you at SB with Drogba back from Africa.
Safari ya kugombea 4th spot imeanza..lolz
Ukiangalia fixture ya Arsenal mechi za karibuni kazi ipo, huenda mkaanza kupotea kama misimu iliyopita
Mzee lazima nisome post zako zote! you do not spare these Fat Arse supporters, Bolini na Bwabwa1 siwaoni tokea jana!
Kulikoni? naona watu wametupiga kambi? hii ni dalili kwamba wanatuogopa, Chelskis na Mannures naona mumeunda coallition teh teh teh, wacha tuondoe hizi mechi 3 njiani baada ya hapo ni mteremko tu mpaka kufika May.
IN ARSENE WE TRUST!!
ha ha ha jamaa drogba naona kakuongezea jeuri na mechi zijazo unacheza na burnley na hull tutakoma humu.Ona mwingine huyu hana hata aibu! Mzee wa kutangaza ubingwa
wamechungulia ratiba wamejua ndio wakati mgumu na waacha waendelee kuweka kambi watakimbia wenyewe humu, usiwe na wasi wasi sio mara yao ya kwanza kuweka kambi na kukimbia humu.Kulikoni? naona watu wametupiga kambi? hii ni dalili kwamba wanatuogopa, Chelskis na Mannures naona mumeunda coallition teh teh teh, wacha tuondoe hizi mechi 3 njiani baada ya hapo ni mteremko tu mpaka kufika May.
IN ARSENE WE TRUST!!
Safari ya kugombea 4th spot imeanza..lolz
Bolini wewe ndio utakuwa unafanya catch up baada ya hizo mechi.Mbona mmekimbia huko kwenye thread yenu mnakuja kutuwangia hapa?.Ngoja tumalize mechi tatu ngumu zilizobakia,sijui mtatukamatilia wapi nina uhakika kabisa hapa jamvini mtatukimbia na wengine mtakuja kutoa hongera hapa.
Kwa sababu mnachonga sana especially Bwabwa1, mkiongoza ligi siku 3 inakuwa kama ndio mmechukua ubingwa baada ya 5yrs!😉😉Kulikoni? naona watu wametupiga kambi? hii ni dalili kwamba wanatuogopa, Chelskis na Mannures naona mumeunda coallition teh teh teh, wacha tuondoe hizi mechi 3 njiani baada ya hapo ni mteremko tu mpaka kufika May.
IN ARSENE WE TRUST!!
Ndio dawa yao hawa, moto kwa moto maana wanachonga sana!😀😀😀Mzee lazima nisome post zako zote! you do not spare these Fat Arse supporters, Bolini na Bwabwa1 siwaoni tokea jana!
Ndio dawa yao hawa, moto kwa moto maana wanachonga sana!😀😀😀
Kwa sababu mnachonga sana especially Bwabwa1, mkiongoza ligi siku 3 inakuwa kama ndio mmechukua ubingwa baada ya 5yrs!😉😉
Tehe tehe ngoja nimwite Wacha1(naona ndo anatuponza mtusakame huyu)
Homeboy unamaana bwabwa1?
Tehe tehe ngoja nimwite Wacha1(naona ndo anatuponza mtusakame huyu)
Wacha1 where art thou???,tumevamiwa huku,kuna watu wanachafua hali ya hewa ya hapa Imarati
Tehe tehe mi sijui🙂🙂🙂....Jamaa ni mzuri sana kwa counter attacks za mashambulizi ya mashabiki wa timu pinzani