Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nice game Chelsik....Hongereni though vijana walijaribu kubana weeeee,lakini wameachia
 
Teh teh teh teh teh we have same number of games, tunawazidi Fat Arse 5 points na Manure 4......Bwabwa1 upo?
 
Pointi tatu muhimu japo hatujacheza vizuri to be honest.

Mkuu game za msimu huu wa lala salama ni kukamiana sana ila kikubwa ni kuhakikisha point tatu zinakuwa kibindoni.Macho na masikio naelekeza hapo kesho.
 

Ugomjwa unaua, usifuate fuate role model wako ambao si chochote ni uvundo tu. Ongea na Invisible atakujulisha wapi umwone daktari wa JF maana unavyokojoa ni balaa. usione aibu.

BTW umesikia A. Cole amekuwa banned kuendesha gari? sasa sijui itabidi ujipeleke peleke uwe unamuendesha. Khe khe khe khe. More to come ... ... ile knock aliyoipata vipi?​
 
Mkuu mimi nawapa pole kwa kesho nitakuweo sana kwenye jukwaa lenu nikiwapa pole! Draw kwenu ni ushindi!
Kesho si umeniahidi utakuwa upande wetu mkuu(si kutupa pole)....Hata Daudi alidharauliwa mnooo na Goliath lakini mwisho wa siku tunajua nini kilitokea....2-1
 
Bwabwa1 anapenda mambo ya nje ya viwanja! Zungumzia soccer achana na udaku
 
Mkuu game za msimu huu wa lala salama ni kukamiana sana ila kikubwa ni kuhakikisha point tatu zinakuwa kibindoni.Macho na masikio naelekeza hapo kesho.
That's true chief! Team zinakuwa ngumu sana wakati huu wa lala salama kila moja ikiwa na mission yake! Sisi tumeshamaliza mechi yetu, tusubili hao jamaa kesho wakaangane wenyewe kwa mafuta yao wenyewe!
 
Nipe tu kwa ufupi kesho unaitathmini kwa jicho la namana gani au ndo utavuta kamba kwako.

Arsenal 2 Man Utd 1(wafungaji Nasri,Fabregas/Rosicky kwa Arsenal,Rooney kwa Manure) matokeo haya yatakuwa endapo Thomas Vermaelen atacheza(kama S.Campbell ataanzia benchi)😀😀😀😀😀
 
Kesho si umeniahidi utakuwa upande wetu mkuu(si kutupa pole)....Hata Daudi alidharauliwa mnooo na Goliath lakini mwisho wa siku tunajua nini kilitokea....2-1
Draw itakuwa nzuri kwa Chelsea maana wote mtapoteza point, ikishindikana ni bora Arsenal ashinde maana Manure wana kawaida ya kumaliza msimu kwa kasi.
 
Arsenal 2 Man Utd 1(wafungaji Nasri,Fabregas/Rosicky kwa Arsenal,Rooney kwa Manure) matokeo haya yatakuwa endapo Thomas Vermaelen atacheza(kama S.Campbell ataanzia benchi)😀😀😀😀😀
Kama Vermaelen hachezi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom