ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,205
- 1,573
![]()
Sasa baada ya rufaa ban inakuja vipi fweza kwishnei? Dirisha litafungwa soon. Pensioners watamudu hadi 2012?
nani kakwambia tunafungiwa - sahau chief.
Na ndiyo maana hatuna haja ya kusajiri yeyote katika dirisha dogo - just to prove to you - tumeshinda game zote wakati hawa 4 mastaa wetu hawakuwepo - for your information its ONLY chelsea yenye kikosi ya wachezaji 24 - Ready to play.
kukufafanulia zaidi ni kwanza kila position ina wachezaji 2, na kuna wachezaji wengi wanancheza more that one postion -
Sawa chief - swali lingine?