Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea defender Kurt Zouma has revealed he has dreams of winning the Ballon d'Or.

Zouma has impressed at the heart of the Chelsea defence this season and proved his versatility by seemlessly switching into a holding midfield role when called upon this term.

And while his career remains firmly in its infancy, he hopes he can emulate the likes of his compatriot, World Cup winner Marcel Desailly.
 

Attachments

  • 1429544178093.jpg
    1429544178093.jpg
    54.6 KB · Views: 86
Wakuu tufanye tathmini kwa haraka haraka juu ya mchezo wetu na ManU Wa juzi huku tukiangalia tufanye nini ktk game ijayo......

Kwa kuanza mi nasema hivi mchezo wetu na ManU ulikua mgumu sn hasa kutokana na hawa makocha kuwahi kufanya kz pamoja....hii ilikua ni sababu moja kubwa kwa ule mchezo kua mgumu... LvG alikuja darajani akiwa anamfahamu vzr José.. Na José aliweza kumsoma LvG namna atakavokuja na mbinu zake zote na ile hali ya kupambana.....

Kuna sababu nyingine nyingi zilifanya ule mchezo uwe mgumu na ndio maana José alikua na ile approach na kupeleka ManU kuchemsha.

Kwangu Mimi mchezo wetu na Arsenal utakua ni mgumu na mwepesi sio km huu Wa ManU ulikua mgumu sn....ila ninaona kuna uwezekano mkubwa Mou kufanya mabadiliko kidogo hasa kwa Zouma hatoweza kupangwa sambamba na Matic ila naona Obi anaweza kuanza na Willian na Hazard kua wings....
Nisiseme yote niwakaribishe wadau wote Wa the blues ktk kuchambua.

Nacho sisitiza ni kwamba Emirates tunakwenda kuifunga Arsenal... Mou anakuja kivingine...

Karibuni.

Cc kunguru mjanja b5-click the say Mentor Manumbu ligera Root kalou Viol Kituko na wengine wooooote ambao sijawataja....

Mkuu, ntuzu vp lkn mi naanza hv, kuwapunguza arsenal kwanza ni kumkamata Sanchez,cazora, na Ramsey hapo mechi itakuwa imeisha sasa hawa watu ni kuwawekea Ramirez,willy na matic wakuu ninaona kabis mou atampa ramisez majukumu ya kumonita mienendo yoooote ya Sanchez wakuu hii game si ngumu km ya man kamata Sanchez habar imeisha. Nawasilisha
 
Last edited by a moderator:
kunguru mjanja nakusoma Mkuu vzr sn.....

Kwakifupi Mkuu Arsenal hawatotusumbua km ManU vile....huyo Coq ndio kiungo wao mkabaji anacheza sanjari na Ramsey....hao kina Cazarro na Ozil na hawana mazara yoyote...hawa wote watawekwa mifukoni tu...hakuna mbinu ingine nikuwaweka mifukoni na vile vichezaji vyao vyote muhimu unaviweka mfukoni kz inakwisha.....

nakusoma uzuri ntuzu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, ntuzu vp lkn mi naanza hv, kuwapunguza arsenal kwanza ni kumkamata Sanchez,cazora, na Ramsey hapo mechi itakuwa imeisha sasa hawa watu ni kuwawekea Ramirez,willy na matic wakuu ninaona kabis mou atampa ramisez majukumu ya kumonita mienendo yoooote ya Sanchez wakuu hii game si ngumu km ya man kamata Sanchez habar imeisha. Nawasilisha

Ni kweli Mkuu...hii game ni nyepesi sn kuliko ya ManU.. Nakumbuka ata ktk chambuzi zetu nilipendekeze approaching yetu iwe km vile Mourinho alivyofanya...sasa ukiwaangalia hawa Arsenal ni wepesi sn kuliko ManU ingawa najua watataka kutuletea vurugu sn na kutufunga. Lkn swala la muhimu ktk huu mchezo ni nidhamu na umakini unatakiwa uwe Wa hali ya juu. Mbinu za kocha pamoja uwezo Wa wachezaji vikichanganywa pamoja tutapata matokeo mazuri.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli Mkuu...hii game ni nyepesi sn kuliko ya ManU.. Nakumbuka ata ktk chambuzi zetu nilipendekeze approaching yetu iwe km vile Mourinho alivyofanya...sasa ukiwaangalia hawa Arsenal ni wepesi sn kuliko ManU ingawa najua watataka kutuletea vurugu sn na kutufunga. Lkn swala la muhimu ktk huu mchezo ni nidhamu na umakini unatakiwa uwe Wa hali ya juu. Mbinu za kocha pamoja uwezo Wa wachezaji vikichanganywa pamoja tutapata matokeo mazuri.
Ntuzu ujue kuwa
1.arsenal moves the ball better and quicker than man utd
2.arsenal have more options upfront than united(coz united missed Rooney upfront)

You will face more problems from arsenal than united,for the first time in more than ten years I can say confidently arsenal will beat you!
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu ujue kuwa
1.arsenal moves the ball better and quicker than man utd
2.arsenal have more options upfront than united(coz united missed Rooney upfront)

You will face more problems from arsenal than united,for the first time in more than ten years I can say confidently arsenal will beat you!

RRONDO kabla sijaenda mbali sn...nakuuliza hivi watakapokuja Gunners OT watakufunga?
 
Last edited by a moderator:
Tusubiri form yao watakayokuja nayo. May 17 ni mbali anything can happen Kama injuries etc. Usisahau walikuja wakatufunga kwenye FA cup

Sawa mkuu prondo Nakubali waliwafunga, nakubali mpira ni mchezo wa makoso ila sasa nyie pale waliwafunga kutoka na tu na uzembe wa Valencia. Inawezekana uzembe kama ule akaufanya mchezaji wetu sikatai.....ila sasa ni makosa ambayo ni nadra sana. Na arsenal hata wakianza wao kufunga mkuu sisi tunarusisha na kushinda hiyo mechi.
 
Last edited by a moderator:
Sawa mkuu prondo Nakubali waliwafunga, nakubali mpira ni mchezo wa makoso ila sasa nyie pale waliwafunga kutoka na tu na uzembe wa Valencia. Inawezekana uzembe kama ule akaufanya mchezaji wetu sikatai.....ila sasa ni makosa ambayo ni nadra sana. Na arsenal hata wakianza wao kufunga mkuu sisi tunarusisha na kushinda hiyo mechi.

I will be watching
 
Eli79 Kiongozi.....timu yenu ni nyepesi sn haina madhara ktk idara zote....

Ninachopenda kukuambia leo kua sasaivi wengi wanamshambulia Mou kua ana mbinu moja tu....sasa akija Emirates anakuja kuwaonyesha kila aina ya mpira anaweza kuchezesha au kufundisha....

Hili nalitegemea sana utapigwa mpira tofaut kabisa watu midomo waz kama wamekamatwa ugoni,mtakao yumba kiuchumi tutagawana za kwetu so mtafurahi Manchester jamaniii? Ndiyoooooo
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli Mkuu...hii game ni nyepesi sn kuliko ya ManU.. Nakumbuka ata ktk chambuzi zetu nilipendekeze approaching yetu iwe km vile Mourinho alivyofanya...sasa ukiwaangalia hawa Arsenal ni wepesi sn kuliko ManU ingawa najua watataka kutuletea vurugu sn na kutufunga. Lkn swala la muhimu ktk huu mchezo ni nidhamu na umakini unatakiwa uwe Wa hali ya juu. Mbinu za kocha pamoja uwezo Wa wachezaji vikichanganywa pamoja tutapata matokeo mazuri.

Well noted, nataka kumwona will ktk ubora wake, najua wachezaji wengi wa Chelsea wamepanga kujiachia hasa baada ya dk 25 za Kwanza.
 
Last edited by a moderator:
Tusubiri form yao watakayokuja nayo. May 17 ni mbali anything can happen Kama injuries etc. Usisahau walikuja wakatufunga kwenye FA cup

Umekwepa kujibu mkuu....sasa mimi nakusaidia japokua sio shabiki wa Man Utd lkn ninachokuambia leo kua Arsenal akikanyanga OT tena haifungi Man U ata sijui kuwe na majeruhi au shida gani....Man U kwa sasa ni timu amabayo sisi chelsea itatuletea upinzani sn tofauti na hizi timu zingine......

Nikija ktk swala lako la Arsenal kuifunga chelsea hiyo next sunday....sioni km kuna dalili za hatari kutoka ktk kila idara ya arsenal....kuanzia viungo wa kati wingers na ata washambuliaji pamoja na kua arsenal ni wazuri ktk kumiliki mpira.

Ninachoweza kusema ktk mchezo wa arsenal hatuhitaji tena huduma ya Zouma km kiungo mkabaji pale kwa Matic tunahitaji Kiungo mwenye uzoefu wa nafasi hiyo ili tuweze kumiliki mpira na kuuchezea tunavotaka ingawa in mind tutakua defensive kwasababu hatutakiwi kupoteza huo mchezo. Sasa hapa Mou atakuja na Matic na Obi. Hawa wawili watafanya ngome yetu kua ngumu sn na pia km uliona mpira wetu na nyie Man U juzi tulikua tukiwapora mipira tunashindwa kukaa nayo hasa kutona na Zouma sio mzuri sn ktk kuchezea sn mipira kwahiyo tulikua tunapoteza sn mipira na nyie marking yenu ilikua kubwa sn kwa watu hawa Matic, Faby Oscar na Hazard... Hamkutaka kabisa kuwaruhusu hawa watu wachezee mipira kwa uhuru...kwahiyo walipopora mipira kwenu Man U waliwaendea kwa kasi na wengi kuwakaba na kuzuia counter attack na chelsea wakawa wanajikuta mipira inapotea...Sasa kwa arsenal tunahitaji mafundi pale kati amabao wataweza kukaa na mipira na kutoa pasi za uhakika. Na pia tunahitaji kucheza kitimu zaidi kila upande kwa muda wote... ninachoweza kuona Mou atarudi ktk kikosi chake kile kile cha siku zote ila kinahitaji kufanya kazi ya ziada muda wote. Zouma ataanzia bench...au Cahill atakaa benchi na Zouma kupewa jukumu la kumuweka mfukoni Geroud....tunahitaji kutiririsha mipira kutoka kila upande...Hazard na Willian watakuwepo. Faby na Matic na Obi watakuwepo....Gunners wajipange sn aiseee.
 
Ni kweli Mkuu...hii game ni nyepesi sn kuliko ya ManU.. Nakumbuka ata ktk chambuzi zetu nilipendekeze approaching yetu iwe km vile Mourinho alivyofanya...sasa ukiwaangalia hawa Arsenal ni wepesi sn kuliko ManU ingawa najua watataka kutuletea vurugu sn na kutufunga. Lkn swala la muhimu ktk huu mchezo ni nidhamu na umakini unatakiwa uwe Wa hali ya juu. Mbinu za kocha pamoja uwezo Wa wachezaji vikichanganywa pamoja tutapata matokeo mazuri.

mkuu Ntuzu, Mourinho is a coach of tactics and he does so game after game. atakachokifanya ni kuhakikisha kwamba Arsenal hawapewi nafasi ya kucheza mpira. once we control the play, the game will be on our side. we subiri utaona kitakachowapata Arsenal kwanini tuandikie mate wakati wino waja?
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu ujue kuwa
1.arsenal moves the ball better and quicker than man utd
2.arsenal have more options upfront than united(coz united missed Rooney upfront)

You will face more problems from arsenal than united,for the first time in more than ten years I can say confidently arsenal will beat you!

Ni kweli sikuiz mwana v one two vzur kwenye final third lkn Nina mati,cahil na golie wangu tabu itoke wapi?
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu ujue kuwa
1.arsenal moves the ball better and quicker than man utd
2.arsenal have more options upfront than united(coz united missed Rooney upfront)

You will face more problems from arsenal than united,for the first time in more than ten years I can say confidently arsenal will beat you!

mkuu RRONDO i agree Arsenal might have more options upfront but mou has got a thousand and one ways to destroy those "options", control the game and win it. why write using saliva while ink is around the corner? let's wait and see how mou is going to demolish the "specialist in failure" in the upcoming game.
 
Last edited by a moderator:
Umekwepa kujibu mkuu....sasa mimi nakusaidia japokua sio shabiki wa Man Utd lkn ninachokuambia leo kua Arsenal akikanyanga OT tena haifungi Man U ata sijui kuwe na majeruhi au shida gani....Man U kwa sasa ni timu amabayo sisi chelsea itatuletea upinzani sn tofauti na hizi timu zingine......

Nikija ktk swala lako la Arsenal kuifunga chelsea hiyo next sunday....sioni km kuna dalili za hatari kutoka ktk kila idara ya arsenal....kuanzia viungo wa kati wingers na ata washambuliaji pamoja na kua arsenal ni wazuri ktk kumiliki mpira.

Ninachoweza kusema ktk mchezo wa arsenal hatuhitaji tena huduma ya Zouma km kiungo mkabaji pale kwa Matic tunahitaji Kiungo mwenye uzoefu wa nafasi hiyo ili tuweze kumiliki mpira na kuuchezea tunavotaka ingawa in mind tutakua defensive kwasababu hatutakiwi kupoteza huo mchezo. Sasa hapa Mou atakuja na Matic na Obi. Hawa wawili watafanya ngome yetu kua ngumu sn na pia km uliona mpira wetu na nyie Man U juzi tulikua tukiwapora mipira tunashindwa kukaa nayo hasa kutona na Zouma sio mzuri sn ktk kuchezea sn mipira kwahiyo tulikua tunapoteza sn mipira na nyie marking yenu ilikua kubwa sn kwa watu hawa Matic, Faby Oscar na Hazard... Hamkutaka kabisa kuwaruhusu hawa watu wachezee mipira kwa uhuru...kwahiyo walipopora mipira kwenu Man U waliwaendea kwa kasi na wengi kuwakaba na kuzuia counter attack na chelsea wakawa wanajikuta mipira inapotea...Sasa kwa arsenal tunahitaji mafundi pale kati amabao wataweza kukaa na mipira na kutoa pasi za uhakika. Na pia tunahitaji kucheza kitimu zaidi kila upande kwa muda wote... ninachoweza kuona Mou atarudi ktk kikosi chake kile kile cha siku zote ila kinahitaji kufanya kazi ya ziada muda wote. Zouma ataanzia bench...au Cahill atakaa benchi na Zouma kupewa jukumu la kumuweka mfukoni Geroud....tunahitaji kutiririsha mipira kutoka kila upande...Hazard na Willian watakuwepo. Faby na Matic na Obi watakuwepo....Gunners wajipange sn aiseee.

I will be watching
 
mkuu prondo i agree Arsenal might have more options upfront but mou has got a thousand and one ways to destroy those "options", control the game and win it. why write using saliva while ink is around the corner? let's wait and see how mou is going to demolish the "specialist in failure" in the upcoming game.

I will be watching
 
Wakuu hali ni tete kwa upande wa washambuliaji wetu.

Chelsea sweat over striker Didier Drogba for Arsenal tie




Didier Drogba: Will be hoping to be available for the season's run-in

Chelsea striker Didier Drogba is facing a race to be fit after picking up an injury ahead of Sunday's clash at Arsenal.

The Blues are 10 points clear of the second-placed Gunners and a win against Arsene Wenger's men will mean they can wrap up the title at Leicester three days later.

Manager Jose Mourinho will be desperate to avoid any late Premier League wobbles and the news that the Ivorian has picked up an anjkle injury will be a blow, considering the ongoing doubts over Diego Costa and Loic Remy.
 
Former Arsenal skipper Cesc Fabregas reveals desire to end Gunners title hopes

Former Arsenal skipper Cesc Fabregas is aiming to kill off his former team's title hopes as he makes his first appearances at the Emirates Stadium since departing in 2011 for Barcelona, the midfielder told Chelsea's official website.

Fabregas' decision to join Chelsea didn't sit well with his former fans and the Spaniard will be given a frosty reception this Sunday in a top of the table clash between the two sides.

The respective managers' relationship means that Arsenal vs Chelsea is always a heated encounter; the fact that they're also London rivals adds to the occasion. For Fabregas however, the mission is clear – win the game and kill off Arsene Wenger's title hopes.

"It's massive. We are level on games now, we are 10 points in front and we don't want to give them hope to put pressure on us," Fabregas warned.

"We have to put in a good performance because we know the Emirates is always a difficult place to go."

The Blues are grinding out results as they stumble towards a first Premier League title since 2010 but are preparing to face the in-form team in Europe, with Arsenal winning their last nine fixtures in all competitions.

Arsenal also seem to be on a personal mission to exact revenge on all the top sides that inflicted pain on them last year as they dispatched Manchester City and Liverpool convincingly in 2015.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom