Kwa hiyo tutarajie nini game ya Arsenal vs Chelsea??
Pengine Bwana atakuwa nawe, nawe utalijenga hekalu na vita havitakuwapo tena katika utawala wako tafadhal uwe hodari na moyo wa ushujaa ukanilipie kisasi juu ya watesi wangu.......... Kelele hizi zikakome......... Mcheza kwao hutuzwa tafadhali lizingatie hilo....
sala yako imezuiwa njiani na malakia mlinzi wa zouma, terry na cahil.. hadi tarehe 30/4
teh teh teh... polee mamitoh
Hahahaha!!! Wamechelewa malaika keshajibu kwa Sanchez na Giroud hapa natoa sadaka ya kuteketezwa kushukuru kwa hilo.....
Mzima lakini? Duh!! Jukwaa lenu limekuwa chungu kupita kabisa iron lady leo uvumilivu umenishinda kwaheri...................
Hahahaha!!! Wamechelewa malaika keshajibu kwa Sanchez na Giroud hapa natoa sadaka ya kuteketezwa kushukuru kwa hilo.....
Mzima lakini? Duh!! Jukwaa lenu limekuwa chungu kupita kabisa iron lady leo uvumilivu umenishinda kwaheri...................
Pengine Bwana atakuwa nawe, nawe utalijenga hekalu na vita havitakuwapo tena katika utawala wako tafadhal uwe hodari na moyo wa ushujaa ukanilipie kisasi juu ya watesi wangu.......... Kelele hizi zikakome......... Mcheza kwao hutuzwa tafadhali lizingatie hilo....
Kwa hiyo tutarajie nini game ya Arsenal vs Chelsea??
![]()
"Can't hear you from the top of the table"
Eli79 Kiongozi.....timu yenu ni nyepesi sn haina madhara ktk idara zote....
Ninachopenda kukuambia leo kua sasaivi wengi wanamshambulia Mou kua ana mbinu moja tu....sasa akija Emirates anakuja kuwaonyesha kila aina ya mpira anaweza kuchezesha au kufundisha....
Ntuzuuuuu... Umetudharau eeeh!!