Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Samahani wakuu, bado nilikuwa namalizia kiporo cha mapitio ya ushindi wa juzi. the tactical parts za huo ushindi. na hii itazima kabisa kelele za ooo mwakani mtatukoma, mnaona tulivyocheza/kaa na mpira. kumbe ile ilikuwa strategy. kaeni na mpira dkk zote lkn it is to your disadvanatge kukaa na mpira na wala sio advantage. Hicho ndo kichwa cha Maurinho. so mwakani akiona the best strategy ya ushindi ni kwa Chelsea kukaa na mpira, mtaanza kuulizana mbona mwaka jana tulikaa na mpira leo hatuuoni? it all depends na strategy in play siku hiyo!!

now on Arsenal. Arsenal wanapenda kukaa na mpira na kupeana pasi fupi fupi za kasi, (one touches). the drive nyuma yao ni Carzola, yule M-welish anayejiona anajua sana mpira (Ramsey) na nyuma yao kukiwa na yule kiundo mkabaji waliyemgudua recently (Coquellin (sp?)) Giroud bila ay kupata supply toka kwa hao, na kutokea pembeni, it is well as hayupo uwanjani. yule jamaa aliyetgokea Manyu yeye ni kukimbia tu na anaweza akakimbia 10 times only once akawa na faida. huyu nae hana madhara ya maana. Yule Mchile ndo tegemeo lao kubwa na kwenye mechi ya kwanza ndiye pekee aliyeonekana kusimama na kuwatuma wenzake wainuke wasiogope wacheze mpira. Tatizo lingine kubwa la Arsenal ni kuwa ikija mechi na Chelsea, tayari mentally wanakuwa wameshakubali kipigi i.e. kama mbwa kwa chatu. Katika hali kama hii, kicha anatakiwa kuwainua wachezaji wake ili waweze kupambana. tatizo kwa Arsenal tayari babu Wenger body language yake nae ni sawa na ya wachezaji wake. kale katusi ka 'specialist of failures' kanamsumbua sana mukichwa na nafsini...no wonder alitaka kuzichapa kavukavu last time darajani.

Kwa matinki hiyo ili kutowapa Arsenal na kutumia vyema hiyo failed mental status yao, ni bora tuanze kwa mashambulizi ya ajabu tangu min 1. Ndani ya 20 Mins tukiwa na bao 2 basi gamu limeisha kabisa. tukipata bao 2 ndani ya dkk 10, watajua leo zile 6 zinakuja hapa hapa nyumbani (sio ajabu tukaanza kuona mashabiki wenye roho nyepesi emirates wakianza kuondoka inside 15 mins). na ili tuwe na attacking options nzuri zaidi n ivyema Fab arudi kwenye position yake. mbele yake wale Willian, Hazard na OScar wote waanze. sina uhakika na hali za Remy Costa lkn wanaweza kupishana kule mbele baada ya dkk 60 mwingine aingie kumpokea mwenzake. huku nyuma majembe yetu ni yale yale ya siku zote.
 
Asante sn Mkuu Manumbu kwa articles nzuri... Mourinho amedhihirisha kua yeye ni bingwa Wa mbinu....maana ata wachezaji wake wote wamekiri mbinu za José zilifanya kz.

Nilipomsikilia Maurinho 'live' baada tu ya mechi na Man U yani nilitamani kupiga kelele balaa. analysis yake na ile sura yake ya kutaka kucheka na kebehi vilinifurahisha sana. alipoanza kuonesha walichopanga kukifanya: 1. stop their direct balls to Fellaini 2. Stop their wings from making crosses on the inside 3. dont give direct free kicks as they have 3 specialists 4. wait for their mistake to score! kisha akamwambia mtangazaji wachezaji wao wote muhimu tuliwadhibiti na kuwaweka mifukoni mwetu!!! mtangazaji akamwambia lkn man u walikuwa na 71% ya possession maurinho akamwambia hata wangekuwa na 99% that was our strategy. tumecheza kwa strategy kama tulivyopanga!! Yani kwa tulioshuhudia mtanange live na kusikia ile habari mwisho wa mchezo unapata picha nzima ya game lilivyokuwa. inakuwa kama movie au novel. plot inajionesha very clear!!! Yani Maurinho ni kichwa balaa!!!

angekuwa babu wenger hapo, macho yamemtoka na kuyatupa huku na huko, a sign of frustrated body language, mistari usoni imeongezeka, kisa? strategy/plan did not work....ooh refa, oooh begative football, ooo bahati etc!!! mwenzako akikuzidi kichwa si ukubali tu! kwani wote tuna vichwa sawa?
 
Nilipomsikilia Maurinho 'live' baada tu ya mechi na Man U yani nilitamani kupiga kelele balaa. analysis yake na ile sura yake ya kutaka kucheka na kebehi vilinifurahisha sana. alipoanza kuonesha walichopanga kukifanya: 1. stop their direct balls to Fellaini 2. Stop their wings from making crosses on the inside 3. dont give direct free kicks as they have 3 specialists 4. wait for their mistake to score! kisha akamwambia mtangazaji wachezaji wao wote muhimu tuliwadhibiti na kuwaweka mifukoni mwetu!!! mtangazaji akamwambia lkn man u walikuwa na 71% ya possession maurinho akamwambia hata wangekuwa na 99% that was our strategy. tumecheza kwa strategy kama tulivyopanga!! Yani kwa tulioshuhudia mtanange live na kusikia ile habari mwisho wa mchezo unapata picha nzima ya game lilivyokuwa. inakuwa kama movie au novel. plot inajionesha very clear!!! Yani Maurinho ni kichwa balaa!!!

angekuwa babu wenger hapo, macho yamemtoka na kuyatupa huku na huko, a sign of frustrated body language, mistari usoni imeongezeka, kisa? strategy/plan did not work....ooh refa, oooh begative football, ooo bahati etc!!! mwenzako akikuzidi kichwa si ukubali tu! kwani wote tuna vichwa sawa?


Mkuu safari ya kuwasoma Man U ilianzia mbali sn....karibu michezo 6 huko nyuma jamaa alikua akiwasoma kila walipokua wanapita mpk ikafikia kina Carrick wanaanza kusema wanaitaka nafasi ya pili jamaa anawaangalia tu mpk mchezo wao na city Mou ndio akahitimisha...sasa kz ilikua ni kuweka mikakati chini na kuifanyia kz.

Mkuu nisiongee mengi sn...tunasubiri kua mabingwa tu..
 
Usije kule kwa shari zenu mahesabu na nyie kwishnei tukutane msimu ujao........tuachien sport lady wetu tupange na kupangua namna yakuwachapa hawa wapinzani wetu watano waliobaki......

Hahahahah everlenk muone kaka yako.. ananipiga biti.. ila sio mimi ni back-heel ya Oscar na mautundu ya Hazard..
 
Last edited by a moderator:
Wakuu hali ni tete kwa upande wa washambuliaji wetu.

Chelsea sweat over striker Didier Drogba for Arsenal tie




Didier Drogba: Will be hoping to be available for the season's run-in

Chelsea striker Didier Drogba is facing a race to be fit after picking up an injury ahead of Sunday's clash at Arsenal.

The Blues are 10 points clear of the second-placed Gunners and a win against Arsene Wenger's men will mean they can wrap up the title at Leicester three days later.

Manager Jose Mourinho will be desperate to avoid any late Premier League wobbles and the news that the Ivorian has picked up an anjkle injury will be a blow, considering the ongoing doubts over Diego Costa and Loic Remy.

To me Drogba's injury and failure to feature against Arsenal is good news because Cuadrado can still fill well his position. Let's hope he won!t play.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahah everlenk muone kaka yako.. ananipiga biti.. ila sio mimi ni back-heel ya Oscar na mautundu ya Hazard..

Aiseee!! Sikujua sisi ni wakali na maarufu hivi yaani bado mnatudiscuss tu hadi leo!!!! Kumbe tungeshinda tungepoteza wengi humu eeeh!!

Shauri yenu nyie endeleen kudiscuss Manu washika bunduki wameandaa silaha za kinyuklia wakipiga moja tu daraja lote linabaki vipande vipande......
 
Last edited by a moderator:
#smartness ....
11073027_1398252423548303_8342354894553690086_n.jpg
 
Huo uwezo watoe wapi?

Arsenal wangependa kushinda lakini uwezo hawana.

Watajitahidi kupunguza idadi ya magoli.

aiseee!! Sikujua sisi ni wakali na maarufu hivi yaani bado mnatudiscuss tu hadi leo!!!! Kumbe tungeshinda tungepoteza wengi humu eeeh!!

Shauri yenu nyie endeleen kudiscuss manu washika bunduki wameandaa silaha za kinyuklia wakipiga moja tu daraja lote linabaki vipande vipande......
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom