Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,879
wakuu jioni njema..
cc. Mentor, Ntuzu na everlek
Pamoja sn kaka....
Nawe pia jioni njema...
wakuu jioni njema..
cc. Mentor, Ntuzu na everlek
Philip Anthony "Phil" Jones
- Born: February 21, 1992 (age 23), Preston, Lancashire, United Kingdom
- Height: 5' 11" (1.80 m)
- Weight: 157 lbs (71 kg)
- Salary: 2.6 million GBP (2011)
- Current teams: England national football team (Defender), Manchester United F.C. (#4 / Defender)
- Parents: Helen Jones, Mark Jones
Mentor
- Born: January 28, 1987 (age 28), Tanzania
- Height: 5' 11" (1.80 m)
- Weight: 155 lbs (66 kg)
- Salary: ** million TSHS (2015)
- Current work: writer, Chelsea fan, humanitarian, teacher, polisi, insurance broker, etc
- Parents: Baba Mentor, Mama Mentor
Manumbu Mentor agosti 8 na wengine wote tumeona namna Mou alivyopanga mikakati ya kuwadhibiti ManU hasa kwa kukata zile krosi zao na kuhakikisha Fellain hapati mipira na haleti shida na kumdhibiti Rooney hapo kati na nyendo zao zooooote.. Kwa Arsenal, wachezaji gani wanapaswa kuwekewa marking kubwa?
Hahahaaha.....mecheka sana! haya Mentor uanze kusalimia kaka zako humu....
Philip Anthony "Phil" Jones
- Born: February 21, 1992 (age 23), Preston, Lancashire, United Kingdom
- Height: 5' 11" (1.80 m)
- Weight: 157 lbs (71 kg)
- Salary: 2.6 million GBP (2011)
- Current teams: England national football team (Defender), Manchester United F.C. (#4 / Defender)
- Parents: Helen Jones, Mark Jones
Mentor
- Born: January 28, 1987 (age 28), Tanzania
- Height: 5' 11" (1.80 m)
- Weight: 155 lbs (66 kg)
- Salary: ** million TSHS (2015)
- Current work: writer, Chelsea fan, humanitarian, teacher, polisi, insurance broker, etc
- Parents: Baba Mentor, Mama Mentor
wakuu jioni njema..
cc. Mentor, Ntuzu na everlek
Dogo yuko vizuri mkuu. Yeye na Les Coq wameimprove sana msimu huu, tegemea battle ya kiume baina ya Berellin/Debouchy na Hazardpoleni sana;
huyu Berellin anavyokimbi kimbia atakuwa anakimbia na kuangushwa kama zabaletta..
tehe tehe tee the
Dogo yuko vizuri mkuu. Yeye na Les Coq wameimprove sana msimu huu, tegemea battle ya kiume baina ya Berellin/Debouchy na Hazard
kunguru mjanja wewe unahisi nani ataibuka mshindi ?Kweli mkuu Eli79 hao madogo watakaza sana, yeyote atakaeanza ila tunajua mwisho wa siku nani atakuwa mshindi baina ya battle yao....
kunguru mjanja wewe unahisi nani ataibuka mshindi ?
kunguru mjanja nakusoma Mkuu vzr sn.....
Kwakifupi Mkuu Arsenal hawatotusumbua km ManU vile....huyo Coq ndio kiungo wao mkabaji anacheza sanjari na Ramsey....hao kina Cazarro na Ozil na hawana mazara yoyote...hawa wote watawekwa mifukoni tu...hakuna mbinu ingine nikuwaweka mifukoni na vile vichezaji vyao vyote muhimu unaviweka mfukoni kz inakwisha.....
Wakuu tufanye tathmini kwa haraka haraka juu ya mchezo wetu na ManU Wa juzi huku tukiangalia tufanye nini ktk game ijayo......
Kwa kuanza mi nasema hivi mchezo wetu na ManU ulikua mgumu sn hasa kutokana na hawa makocha kuwahi kufanya kz pamoja....hii ilikua ni sababu moja kubwa kwa ule mchezo kua mgumu... LvG alikuja darajani akiwa anamfahamu vzr José.. Na José aliweza kumsoma LvG namna atakavokuja na mbinu zake zote na ile hali ya kupambana.....
Kuna sababu nyingine nyingi zilifanya ule mchezo uwe mgumu na ndio maana José alikua na ile approach na kupeleka ManU kuchemsha.
Kwangu Mimi mchezo wetu na Arsenal utakua ni mgumu na mwepesi sio km huu Wa ManU ulikua mgumu sn....ila ninaona kuna uwezekano mkubwa Mou kufanya mabadiliko kidogo hasa kwa Zouma hatoweza kupangwa sambamba na Matic ila naona Obi anaweza kuanza na Willian na Hazard kua wings....
Nisiseme yote niwakaribishe wadau wote Wa the blues ktk kuchambua.
Nacho sisitiza ni kwamba Emirates tunakwenda kuifunga Arsenal... Mou anakuja kivingine...
Karibuni.
Cc kunguru mjanja b5-click the say Mentor Manumbu ligera Root kalou Viol Kituko na wengine wooooote ambao sijawataja....
Sometimes unachohitaji ni matokeo tu, Mou analijua vizuri hilo..
Tofauti ni kwamba hizi "inform team" usipoziendea kwa hesabu zitakupotezea ubingwa..
Arsenal hatujitaji kupaki basi, hawa tutawafanya vizuri tu kwa mbwembwe..
KTBFFH
Sometimes unachohitaji ni matokeo tu, Mou analijua vizuri hilo..
Tofauti ni kwamba hizi "inform team" usipoziendea kwa hesabu zitakupotezea ubingwa..
Arsenal hatujitaji kupaki basi, hawa tutawafanya vizuri tu kwa mbwembwe..
KTBFFH
Duh!!! Watoto wa Mou mna maneno,nimekosa wino tu kuyabold hayo maneno...........eti tutawafanya......
Sometimes unachohitaji ni matokeo tu, Mou analijua vizuri hilo..
Tofauti ni kwamba hizi "inform team" usipoziendea kwa hesabu zitakupotezea ubingwa..
Arsenal hatujitaji kupaki basi, hawa tutawafanya vizuri tu kwa mbwembwe..
KTBFFH
Kweli kabisa mkuu hawa hawana shida, narudia tena pale tunaenda kwa kazi moja tu kudhihirisha maneno ya baba kwamba "Wenger is a specialist of failure" basi
Hahahahaaa sio kubisha Mkuu....msituletee hizo mind game zako wakati mlikua ktk title race???!?😀😀😀 mmebugi men!