tumefanya makosa makubwa sana.....goli la pili ni uzembe wa terrt katika kumark mtu..na kuna mda alitaka kusababisha tufungwe bahati kipa aliruka akautoa...kwa upande wa kipa naungana nawe moja kwa moja...hakui hata kuwapanga wachezaji wenzake.. anaacha gol sana, na pia mipira anayotakiwa kuruka na kudaka anaacha kwanza wapige vichwa wachezaji...matokeo yake ndio hayo....costa ni liability katika mechi kama hizi...
wote tunashabikia uingereza,ila nye mnafurahi wenzenu watole,tusubiri premier league uzuri wenu tuone kama mtamaliza top 4calm down arifu....sijui unaandika vitu gani!!!
Kwani leo united ndiyo alikuwa akicheza ama rentboys vs. Arab monies?
Chukua tu na kujikaza kiutu uzima...
![]()
![]()
![]()
Mechi hizi ndiyo chanzo cha Costa kusajiliwa lkn huwa anapotea kabisa
Hapo ingekuwa anacheza na Villa angetupia mbili
Yaani pale alipotolewa Ibra tu ndo mlitakiwa mkomae mpaka mpate goli fasta kabla hawajasettle kisaikolojia.
na baada ya kutoka ibra ndio tukacheza kipumbavu zaidi mara mbili......leo tumestahili kutolewa..tumecheza ovyo sana yaani nimekasirika sana. ..kunamda fab alikuwa na nafasi nzuri ya kufunga akimsubiri costa ammegee pande...jamaa si likabutua kwa guu la kushoto na mpira kuroka nje....
Hebu tazama huu ukuta. Maxwell, Silva, luiz, marquinhos wote wabrazil, tazama akili inavyotumika hapo kuliko nguvu. Baada ya hapo unakutana na muitaliano marco verrat watu wa tuff. Hapo atapata wapi nafac ya kufunga
malalamiko yote humuwote tunashabikia uingereza,ila nye mnafurahi wenzenu watole,tusubiri premier league uzuri wenu tuone kama mtamaliza top 4
Morinho ana dharau sana, PSG alimpiga mtu 4 akasema mazoezi ya Chelsea magumu kuliko league 1 ya Ufaransa.
we huwa hata hueleweki unafuata upepo
Hebu tazama huu ukuta. Maxwell, Silva, luiz, marquinhos wote wabrazil, tazama akili inavyotumika hapo kuliko nguvu. Baada ya hapo unakutana na muitaliano marco verrat watu wa tuff. Hapo atapata wapi nafac ya kufunga
Haya ww uliopo UEFA, EPL kaza buti mkuu mchukue makombe matatutukutane ligi kuu,upo nafasi ya ngapi vile?
ambaye hata europa league haupo
Ha ha ha, kwa kuwa wewe haupo hata kombe la mbuzi(uefa uropa)?. Arsenal itaua mtu.
Kuna mtu za Chelsea zilifurahi mlipotolewa FA na ile timu yangu ya Shamba, Bradford na zilisema zitapata muda ya kujiandaa vizuri kwa CL.tumecheza mpira wa kipumbavu tangu kipindi cha kwanza...tumestahili kutoka
we huwa hata hueleweki unafuata upepo
poa dogo langu maana furaha yako mi nikujibuHaya ww uliopo UEFA, EPL kaza buti mkuu mchukue makombe matatu