Chelsea ina wachezaji wazuri ila kocha anazingua kuwachezesha kukaba na kukariri kuwa fulani ndo yeys.
Huyu kipa kaonesha kushindwa mechi nyingi anaachia magoli kizembe. First leg kipa ndo alituua, kwa man city huyu huyu kipa ndo akatuua pia. Yaani Chelsea ikitangulia kwa goli moja lazima tufungwe iwe draw au tushambuliwe sana siku hiyo.
Ona mechi ya Westham tulivyoshambuliwa mwishoni. Everton pia walitushambulia sana.
Costa si mchezaji kabisa yaani bora Remy mara mia. Hazard anatumika sana anajitahidi ila wanamwangusha maana mbele hakuna mtu wa kumpokea ili wafunge. Wing ya juu wanamtegemea sana Ivanovic kutoa Cross.
Kule kina Willian na Oscar walishashindwa,
Terry akapumzike, Cahill akapumzike Cech bado ni kipa bora mara mia zaidi ya huyu Mrembo pale golini.
Tuache cheza mcheza wa kudefend sana. Tutafute wachezeshaji wazuri kama Fabre
Costa tumtoe hata kwa mkopo ili akajifunze.
Mou nae aondoke maana mfumo wake Strikers hawatakuwa wanafunga milele
Mkuu leo Costa hamna kitu? Mbona mwanzoni mwa msimu alimwagiwa misifa tele, sio kwamba Josee hawezi kumtumia au mfumo wake Costa hauelewi?
Cech kumbe bado yupo, mimi nilijua ni majeruhi au kaenda kwa mkopo, nakubali kabisa kwamba Cech ni kipa mzur na ni vema kwa Game ngumu kama hii angeanza yeye, Game ngumu za ndani ndo acheze huyu dogo.