Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea ina wachezaji wazuri ila kocha anazingua kuwachezesha kukaba na kukariri kuwa fulani ndo yeys.
Huyu kipa kaonesha kushindwa mechi nyingi anaachia magoli kizembe. First leg kipa ndo alituua, kwa man city huyu huyu kipa ndo akatuua pia. Yaani Chelsea ikitangulia kwa goli moja lazima tufungwe iwe draw au tushambuliwe sana siku hiyo.
Ona mechi ya Westham tulivyoshambuliwa mwishoni. Everton pia walitushambulia sana.
Costa si mchezaji kabisa yaani bora Remy mara mia. Hazard anatumika sana anajitahidi ila wanamwangusha maana mbele hakuna mtu wa kumpokea ili wafunge. Wing ya juu wanamtegemea sana Ivanovic kutoa Cross.
Kule kina Willian na Oscar walishashindwa,
Terry akapumzike, Cahill akapumzike Cech bado ni kipa bora mara mia zaidi ya huyu Mrembo pale golini.
Tuache cheza mcheza wa kudefend sana. Tutafute wachezeshaji wazuri kama Fabre
Costa tumtoe hata kwa mkopo ili akajifunze.
Mou nae aondoke maana mfumo wake Strikers hawatakuwa wanafunga milele
 
Fly Emirates in QF, Samsung out. Kwa mantiki hii Arsenal nao wataingia next week.
Cc Haters Belo, Nzi, DonDonald,Mndengereko, RRONDO,Bulldog, Malafyale,Ntunzu nk
 
Chelsea ina wachezaji wazuri ila kocha anazingua kuwachezesha kukaba na kukariri kuwa fulani ndo yeys.
Huyu kipa kaonesha kushindwa mechi nyingi anaachia magoli kizembe. First leg kipa ndo alituua, kwa man city huyu huyu kipa ndo akatuua pia. Yaani Chelsea ikitangulia kwa goli moja lazima tufungwe iwe draw au tushambuliwe sana siku hiyo.
Ona mechi ya Westham tulivyoshambuliwa mwishoni. Everton pia walitushambulia sana.
Costa si mchezaji kabisa yaani bora Remy mara mia. Hazard anatumika sana anajitahidi ila wanamwangusha maana mbele hakuna mtu wa kumpokea ili wafunge. Wing ya juu wanamtegemea sana Ivanovic kutoa Cross.
Kule kina Willian na Oscar walishashindwa,
Terry akapumzike, Cahill akapumzike Cech bado ni kipa bora mara mia zaidi ya huyu Mrembo pale golini.
Tuache cheza mcheza wa kudefend sana. Tutafute wachezeshaji wazuri kama Fabre
Costa tumtoe hata kwa mkopo ili akajifunze.
Mou nae aondoke maana mfumo wake Strikers hawatakuwa wanafunga milele


Wenzako wamefanya investment ya hundreds of millions of Euros, wewe unakuja na hoja dhaifu za kupeleka watu mkopo na kupumzisha wengine.
It's not done that way, hii ndio soka. Makosa madogo unapigwa, hii game siku hizi inachezwa kwa weledi mkubwa sana. Ukikosea kidogo tu unaliwa.
 
Kuna mtu za Chelsea zilifurahi mlipotolewa FA na ile timu yangu ya Shamba, Bradford na zilisema zitapata muda ya kujiandaa vizuri kwa CL.
Mmekuwa mnamsifia Mou kuwa ni kocha wa makocha, sasa leo imetokea bahati mbaya tu.

Mimi nimefurahi sana leo kwa Chelsea kupewa ile dawa ambayo kwa kawaida huwa inapenda kuwapa timu pinzani.

Pelekeni basi gereji, likitoka huko msili-pack ovyo ovyo...waenda kwa miguu, taxi, malori na mabasi mingine pia yanataka kutumia barabara.

Bus limeangukiwa na kontena maeneo ya darajani...abiria wote wamefariki!
RIP
 
Thx mkuu.
Leo PSG amewamwagia maji wamepenzi na washabiki wa Chelsea na naona hata Mou,Domo-Mropokaji amekuwa kama kuku aliyenyeshewa na mvua ya masika.

Mou amekiri timu inayoshindwa ku-defend kona mbili haistahili kusonga mbele. Anajua Chelsea ilibebwa lakini siku ya kufa nyani........... ndio yametimia.
 
Wabrzil wabayaaaaa😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏
 
Mtu 2 kwa watu 11 aibu sanaa mmeonyesha udhaifu kwamba c loloteee 👎👎👎👎👎👎😁😁😁😁
 
Jamaa anaishia ongea kwa media wakati wenzao wanafanya zoezi. Huu ni ujinga ambao hatutakiwi kuukubali kamwe huyu jamaa anatuharibia timu na Costa lake

Kaka, mbona unalalamika sana? Kwani si bado unagombania kombe la ligi au nalo hauna hamu nalo tena?
 
Tiago na mdogo wake David wamevunja daraja
 

Attachments

  • 1426115905887.jpg
    1426115905887.jpg
    58.5 KB · Views: 180
Kitendo cha David Luiz kuwafunga Chelsea ni kizuri sana...it was a bullet of a head!
Mourinho ajifunze...kama alivyojifunza juzi LvG kwa Danny Welbeck!

Mimi sikuona sababu ya Luiz kuuzwa na kubakishwa na watu kama Terry na Cahill, hivi ni kweli hawa wawili wana skillz na power kuliko Luiz?
Jamaa amenikosha sana baada ya kufunga kashangilia na hakuomba msamaha kwa fans wa Chelsea, hivyo ndivyo inavyotakiwa kuwa.
Hongera sana PSG, Chelsea kuweni wapole.
 
CC Wacha1 kazi hizi ngumu rudi bana khe he khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
wote tunashabikia uingereza,ila nye mnafurahi wenzenu watole,tusubiri premier league uzuri wenu tuone kama mtamaliza top 4

Poa. Ila habari ya sasa na Rentboys kutolewa UCL walipocheza na PSG iliyokuwa na mchezaji mmoja pungufu tokea dakika ya 30 sijui ya kipindi cha kwanza....Rentboys ambao kwa muda mrefu walibebwa na refa, walikuwa wamepaki basi, wakisubiri kubahatisha goli, ambalo walifanikiwa kupata mara mbili, lakini mabeki mahiri wa kibrazili walio marafiki toka wakiwa wana miaka 8, Silva na Luiz walizima ndoto za Rentboys, ambao walikuwa wameanza kujilinganisha na best team ever existed in English football history ya Man United iliyoshinda makombe matatu msimu wa 1998/99.

Hii ndiyo habari chifu. Pole kwa habari kutokuwa na vituo, kwani ndivyo inavyopaswa kusomwa.
 
Hebu tazama huu ukuta. Maxwell, Silva, luiz, marquinhos wote wabrazil, tazama akili inavyotumika hapo kuliko nguvu. Baada ya hapo unakutana na muitaliano marco verrat watu wa tuff. Hapo atapata wapi nafac ya kufunga

Ila kwa Luiz na Silva hizi beki ni habari nyingine endapo zikapata Kiungo Mkabaji mzuri wa kuwasaidia.
Jamaa wameonesha uwezo mkubwa sana leo, hakuna Makosa waliyofanya. Wana akili na wana nguvu pia. Nilitegemea asilimia zote mechi ya leo Costa kutulizwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom