Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pole zenu nyingi sana kupaki bus nomaaa!
BAK kwa heshima na taadhima nakuomba ile single yao nisiitoe tutaua watu hapa....... ingawaje jumatatu walikuwa pamoja na wewe nashangaa unawakana.😉😉😉
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mechi hizi ndiyo chanzo cha Costa kusajiliwa lkn huwa anapotea kabisa

Hapo ingekuwa anacheza na Villa angetupia mbili

Kabisa yani cl jamaa hayuko vizuri ila naamini msimu ujao timu itakuwa imekomaa zaidi baada ya kubeba epl na capito 1
 
AA9Esg5.img


Ole ole ole wao .... ..... .... ..
 
Hapana mkuu
Diego Costa inabidi sasa awe benched maana hizi ndiyo mechi anazo stahili abebe team lkn yy huwa anapotea

Hajafunga mechi ya ngapi sasa?

Diego Costa hakuwa makini, kapewa pasi ya goli lakini jinsi alivyobutua hata sikuamini, mpira umeisha anataka kuleta ngumi.
 
Ndiyo maana namwona Maureen ni kocha mjanja mjanja tu...anabahatisha sana games....

Anajihami na kujaribu bahati mara nyingi ngekewa zinamwangukia. Ama sivyo angekuwa kama kina David Moyes, Big Sam. Anyway, kuna muda bahati zinagonga ukuta. Tusubiri Summer atakavyospend pesa kibao kununua wachezaji wa kuwin UCL na Chelsea.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Wapenzi na washabiki wote wa Chelsea pokeeni hongera kwa timu yenu kucheza ovyo kabisa. Mmeununua msiba huu kwa kucheza kwa kujihami.
Huku uswahilini wanasema kusudi haipewi, Pole. Lakini sitafanya roho mbaya kwa Ntuzu, Viol, Mentor, Kalou "poleni"

Sasa tuachieni jukwaa tufanye karamu yetu.

Haya wale, watani wa Chelsea njooni kwenye karamu

Nzi, kuja msalimia Viol... Wacha 1 kuja huku msalimia Kalou, Mbu leta malaria huku.

BAK weye! kalale, lakini tupia picha ya bao la Silva.

The party begins!
kwahiyo karamu yenu ni chelsea kutolewa,tunaongoza premier league,hahahaha,ya leo ni bonus,kwani nye mpo huko???kama hampo huko mtakuwa majitekenya na kucheka
 
hakuna cha we will be back....tumecheza ovyo wala hakuna msamaha.....diego costa na kipa wameuza timu...kipa anaacha goli sana..kosta nae ni mkorofi mwanzo mwisho...ni upumbavu tu tangu mwanzo mpaka mwisho
hapana mkuu aliyekuwa anaachia magoli ni yule wa real madrid leo chelsea walikuwa dhaifu sana, pia mwarabu aliwaahidi psg euro 250000 kila mchezaji kama watafanikiwa kuitoa chelsea, ilibidi mrusi akopi swaga
 
Kipa huyu nimelalamikia toka zamani. Mechi nyingi katuua yeye hadaki au anaona mpira haruki.
Washambuliaji wamekua mizigo hata treni haibebi. Mtu kufunga hadi beki ndo afunge.
Chelsea wana relax sana angalia mechi hizi
Mancity, United, psg in out zote wametufunga karibia na mwisho yaani kila tukifunga twajisahau na kufungwa. Wachezaji mipira wanacheza ovyoooooo.
Kocha nae anachangia maana yeye ndo anapenda defencive games.
Nadhani saa ingine aondoke tu
 
Siwezi kuwakana watani zangu, hawakustahili kabisa kutoa draw huu mchezo walikuwa na advantage chungu nzima lakini hawakuzitumia. Nimesikitika kwa wao kutolewa.

BAK kwa heshima na taadhima nakuomba ile single yao nisiitoe tutaua watu hapa....... ingawaje jumatatu walikuwa pamoja na wewe nashangaa unawakana.😉😉😉
 
kwahiyo karamu yenu ni chelsea kutolewa,tunaongoza premier league,hahahaha,ya leo ni bonus,kwani nye mpo huko???kama hampo huko mtakuwa majitekenya na kucheka

Najua unaumia arifu....ila chukua hiyo..

B_2aI7hVEAAo2XB.png
 
AA9Esg5.img


Ole ole ole wao .... ..... .... ..

Cheating always pays off. By off I mean ZERO. Sitoshangaa Mourinho kufukuzwa kazi msimu huu au ujao. Manchester United mtamchukuwa.
Cc Nzi, DonDonald, Belo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom