Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bora tumetoka, angalau Mwenye timu atatafuta kocha mpya maana huyu mjinga mjinga na formation yakr na defece mechanism yake. Na mjinga njinga kipa na mabeki watimuliwe tu

Leo kawa mjinga mjinga???
 
Ntuzu...poleni wakuu.
Kwa leo PSG deserved kwa kweli.

Hapana mkuu
Diego Costa inabidi sasa awe benched maana hizi ndiyo mechi anazo stahili abebe team lkn yy huwa anapotea

Hajafunga mechi ya ngapi sasa?
 
Last edited by a moderator:
Diego costa ndo katuuza, kuna muda fab alikuwa free badala ya kumpa pasi akabutua, ila sio mbaya we will be back
 
Morinho aliharibu ile sub ya Matic akaingiza Beki akajua game imeisha kumbe bado mbichi kabisaaa,,,jamaa utadhani walikua 12 badala ya 9. Bwahahaha Poleni sana njooni England tuheshimiane sasa.
 
Sheria za mpira inabidi ziangaliwe. Kosa la mtu mmoja linafanya timu icheze pungufu dk 100? Waige Rugbi, tennis, etc.
kwani wewe unatakaje? sheria za hiyo michezo mingine mimi sizifahamu
 
Vipi quadruple bado mna hizo ndoto? Kulaleki na mnaweza kuishia na kikombe cha mbuzi tu...
tukutane ligi kuu,upo nafasi ya ngapi vile?
ambaye hata europa league haupo
 
Nimekosa game. Nasikia Chelsea walisababisha Ibramovich kupewa RED na bado wametolewa Hahahahahaha. Kweli God doesn't like UGLY. Good Job PSG...Mourinho to be fired at the end of the season. Mark my words.
 
Morinho aliharibu ile sub ya Matic akaingiza Beki akajua game imeisha kumbe bado mbichi kabisaaa,,,jamaa utadhani walikua 12 badala ya 9. Bwahahaha Poleni sana njooni England tuheshimiane sasa.

Pale alichemka kabisa Mou
 
Morinho aliharibu ile sub ya Matic akaingiza Beki akajua game imeisha kumbe bado mbichi kabisaaa,,,jamaa utadhani walikua 12 badala ya 9. Bwahahaha Poleni sana njooni England tuheshimiane sasa.

Hapana..zouma katika gemu za karibuni anatumika kama defensive midfielder...refer game ya spurs...nafkiri aliingia ili acheze kiungo na sio beki
 
Diego costa ndo katuuza, kuna muda fab alikuwa free badala ya kumpa pasi akabutua, ila sio mbaya we will be back

Mechi hizi ndiyo chanzo cha Costa kusajiliwa lkn huwa anapotea kabisa

Hapo ingekuwa anacheza na Villa angetupia mbili
 
Bayern alipunguziwa mtu m1 akampiga donestk 7,,,karukaruka kapigwa yeye. Bwahahahahaha
 
Diego costa ndo katuuza, kuna muda fab alikuwa free badala ya kumpa pasi akabutua, ila sio mbaya we will be back

hakuna cha we will be back....tumecheza ovyo wala hakuna msamaha.....diego costa na kipa wameuza timu...kipa anaacha goli sana..kosta nae ni mkorofi mwanzo mwisho...ni upumbavu tu tangu mwanzo mpaka mwisho
 
Chelsea wamethibitisha rasmi bado ni timu ndogo hasa linapokuja suala la Uefa Champions League
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Morinho aliharibu ile sub ya Matic akaingiza Beki akajua game imeisha kumbe bado mbichi kabisaaa,,,jamaa utadhani walikua 12 badala ya 9. Bwahahaha Poleni sana njooni England tuheshimiane sasa.

kwa mimi maono yangu wala hajakose kwasababu huyo zouma aliyeingia hajacheza vibaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom