Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Bora tumetoka, angalau Mwenye timu atatafuta kocha mpya maana huyu mjinga mjinga na formation yakr na defece mechanism yake. Na mjinga njinga kipa na mabeki watimuliwe tu
 
Bora tumetoka, angalau Mwenye timu atatafuta kocha mpya maana huyu mjinga mjinga na formation yakr na defece mechanism yake. Na mjinga njinga kipa na mabeki watimuliwe tu


Mshaanza kulia Mourinho Out tayari? Hahahaaaa
Ntuzu mkuu pole Sana, unaona CL ilivyo ya maajabu?
 
Last edited by a moderator:
Me ni chelsea fan ila dah..poor tactics from mourinho...anadefend wakat tuna advantage ya nyumbani na psg wapo pungufu..!
 
Bora tumetoka, angalau Mwenye timu atatafuta kocha mpya maana huyu mjinga mjinga na formation yakr na defece mechanism yake. Na mjinga njinga kipa na mabeki watimuliwe tu

Yamekuwa hayo tena?
 
Wapenzi na washabiki wote wa Chelsea pokeeni hongera kwa timu yenu kucheza ovyo kabisa. Mmeununua msiba huu kwa kucheza kwa kujihami.
Huku uswahilini wanasema kusudi haipewi, Pole. Lakini sitafanya roho mbaya kwa Ntuzu, Viol, Mentor, Kalou "poleni"

Sasa tuachieni jukwaa tufanye karamu yetu.

Haya wale, watani wa Chelsea njooni kwenye karamu

Nzi, kuja msalimia Viol... Wacha 1 kuja huku msalimia Kalou, Mbu leta malaria huku.

BAK weye! kalale, lakini tupia picha ya bao la Silva.

The party begins!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom