Uingereza mwaka huu hakuna timu itakayonusa robo fainal.
Next week Monaco na Barca nao wanafanya yao.
tumecheza mpira wa kipumbavu tangu kipindi cha kwanza...tumestahili kutoka
hapana mkuu aliyekuwa anaachia magoli ni yule wa real madrid leo chelsea walikuwa dhaifu sana, pia mwarabu aliwaahidi psg euro 250000 kila mchezaji kama watafanikiwa kuitoa chelsea, ilibidi mrusi akopi swaga
Cheating always pays off. By off I mean ZERO. Sitoshangaa Mourinho kufukuzwa kazi msimu huu au ujao. Manchester United mtamchukuwa.
Cc Nzi, DonDonald, Belo
arifu chukua hiyo man u premier league mna schedule ngumu hamtakwepo nafanya nne umegundua hilo?
Kipa huyu nimelalamikia toka zamani. Mechi nyingi katuua yeye hadaki au anaona mpira haruki.
Washambuliaji wamekua mizigo hata treni haibebi. Mtu kufunga hadi beki ndo afunge.
Chelsea wana relax sana angalia mechi hizi
Mancity, United, psg in out zote wametufunga karibia na mwisho yaani kila tukifunga twajisahau na kufungwa. Wachezaji mipira wanacheza ovyoooooo.
Kocha nae anachangia maana yeye ndo anapenda defencive games.
Nadhani saa ingine aondoke tu
Hata mie nikipewa karatasi ya kupiga kura nitaandika mara mia tisa aondoke huyu jamaa maana mbinu zake ni za kipuuzi sana. Uzuri boss alikuwepo kaona kilichotokea. Kaumia so mwisho wa msimu tutajua kitachotokea. Mou maneno mengi hakuna vitendo kabisa
Kipa huyu nimelalamikia toka zamani. Mechi nyingi katuua yeye hadaki au anaona mpira haruki.
Washambuliaji wamekua mizigo hata treni haibebi. Mtu kufunga hadi beki ndo afunge.
Chelsea wana relax sana angalia mechi hizi
Mancity, United, psg in out zote wametufunga karibia na mwisho yaani kila tukifunga twajisahau na kufungwa. Wachezaji mipira wanacheza ovyoooooo.
Kocha nae anachangia maana yeye ndo anapenda defencive games.
Nadhani saa ingine aondoke tu
hakuna cha we will be back....tumecheza ovyo wala hakuna msamaha.....diego costa na kipa wameuza timu...kipa anaacha goli sana..kosta nae ni mkorofi mwanzo mwisho...ni upumbavu tu tangu mwanzo mpaka mwisho
Unajua maana ya Special One?Kipa huyu nimelalamikia toka zamani. Mechi nyingi katuua yeye hadaki au anaona mpira haruki.
Washambuliaji wamekua mizigo hata treni haibebi. Mtu kufunga hadi beki ndo afunge.
Chelsea wana relax sana angalia mechi hizi
Mancity, United, psg in out zote wametufunga karibia na mwisho yaani kila tukifunga twajisahau na kufungwa. Wachezaji mipira wanacheza ovyoooooo.
Kocha nae anachangia maana yeye ndo anapenda defencive games.
Nadhani saa ingine aondoke tu