tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,180
- 27,780
Kifo cha wengi harusi, lakini wenzetu wana nafuu ukilinganisha na sisi, hivyo wacha tuchapwe hata goli nne zaidi katika dakika 45 za kipindi cha pili, maybe this will speed up the process to get rid of Wenger. Kwanini Wellbeck hakuanza leo?
ngoja leo vipigo vitembee vituzindue usingizini. kupigwa ni muhimu kwa manufaa ya baadaye.