Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

afadhali manaake ilikua hatunywi maji kasi yao leo imepunguzwa hongera new castle
 
Ntuzu ndiyo soka kaka!

Invisible ataendelea kuwa mmoja tu EPL!Piga moyo konde tuendelee mbele!!

Jumamosi ijayo utamfunga Hull City kwako lkn Jumatatu ya Dec 22 nyumbani kwa Stoke City kwa kiwango hiki cha mechi hii na ile ya Sunderland na QPR sidhani kama mtapata matokeo mazuri


Kiwango ni kizuri mkuu na tumeishika game vzr sn sema bahati haikua yetu!
 
Last edited by a moderator:
Simunasemaga "HAKWATI MTU HAPA" sasa leo tuone. Usipo punguzwa 3 hata mbili utapunguzwa. Naiona UNITED ilee inarudi kwenye kiti chake.

Man U hii ya LVG na RRONDO irudi kileleni?This is more than a jok jamani!

Man U hata kwa Sotton Jumatatu hatoki salama
 
Last edited by a moderator:
Afadhali leo tumefungwa ili tuache kucheza kwa TENSION. Kila siku huwa tunacheza under great pressure tukijaribu kutunza rekodi ya kutofungwa tangu msimu huu uanze. Ushindi huu wa Newcastle ni muhimu saea kwetu na utatusaidia kuamka na kucheza mpira kwa uhuru zaidi.
 
Ndiyo raha ya EPL, wachache sana leo hii waliwapa nafasi ya New Castle kushinda mechi hii, hasa ukitilia maanani performance ya Chelsea msimu huu, lakini ndiyo hivyo tena vigogo wamepigwa mueleka ila wameshambulia jamani Duh!!!! Na New Castle wakasimama kiume kulinda lao pamoja na dakika sita za nyongeza. Mechi ilikuwa bomba sana.

Shangaa mimi from unbeaten to beaten,kwakweli ajidhaniaye amesimama aangalie asianguke....duh sasa hapa ngoma inogile balaa kila timu itacheza kwa juhudi na akili.
 
Kiwango ni kizuri mkuu na tumeishika game vzr sn sema bahati haikua yetu!

Ni kweli,Newcastle hawakuwashinda dimbani ila wao walipata nafasi 3 wakatumia 2 vyema tofauti na nyie mlio poteza nafasi kibao!

Naanza kuona tatizo la kumalizia sasa linarudi tena
 
so, we are not INVISIBLE, now lets focus on collecting as many 3 points as possible.
 
unbeaten waachie washika bunduki


cc utafiti

Sisi leo tunampiga stoke, tunafikisha 26, bado points 10 tu tumfikie chelsea, na ndio basi tena huyu anashuka mdogo mdogo.....
 
Last edited by a moderator:
Yap, but from unbeaten to beaten,mnachonga sana ndo maana watu wanafurahia kipigo chenu.....

Hiyo unbeaten ilikuwa extra tu,nia ya league ni kombe,hata kama time zingua leo bado wote mpo nyuma yetu,mtukute ndo mwongee
 
Sisi leo tunampiga stoke, tunafikisha 26, bado points 10 tu tumfikie chelsea, na ndio basi tena huyu anashuka mdogo mdogo.....

Hapo arsenal fans ndo huwa nawapenda yaan umeachwa point 10 bado una matumain
 
Hiyo unbeaten ilikuwa extra tu,nia ya league ni kombe,hata kama time zingua leo bado wote mpo nyuma yetu,mtukute ndo mwongee

kuna mambo mengine ni kwa ajili ya arsenal tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom