Kuanzia leo CHATO nawaweka kwenye kundi la wananchi wanaojitambua yaani mmemuonyesha mbeligiji kwa CHATO siyo aridhi iliyolaaniwa ni mwiko kwa mashoga kukanyaga.
Kwanza mmeuthibitishia umma kwamba hizo picha zinazonyesha Lissu apokelewa umati wa wananchi CHATO ni fake, kwani vijana wengi wanaolalamika kupopolewa na mawe wanadaiwa kutoka Katoro hadi Mgombea Ubunge Jimbo la Geita mjini aka chakula ya faru John alikuwepo.
Pili Kama kweli alipokelewa na umati kama huo hakuna mtu ambaye angekuwa tayari kuanzisha vagi la kurusha mawe .
Mwisho
Lissu mwenyewe amekili kwamba wamezomewa chato na alichokiita kundi la UVCCM, asante sana wakazi wa CHATO kwa kumuadabisha mbwa huyu.