You’re entitled to hoping.
Lakini hii shughuli ni kama game 6 Lakers vs Miami, after the 2nd quarter the championship was wrapped kilichobaki ni ilikuwa ni kumalizia muda tu.
Magufuli keshaahinda huu uchaguzi kinachosubiriwa ni ritual tu CDM bora wajikite kwenye majimbo tu lakini nafasi ya uraisi liko wazi ndio maana Magu is very relaxed.
..Magufuli is SICK, he is not relaxed.
..jamaa ni "spana mkononi" ndiyo maana kampeni anafanya kwa kustua-stua.