Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,527
- 27,919
Wala hata sidhani kama alipanga, nilichoona ni watu huko walikuwa hawamtaki tu lissu awakaribie na ndio maana hutaona picha wala video ya mkutano wa lissu huko chato.Magufuli kaishiwa kupanga watu wakupiga mgombea tishio lake mawe
Kila siku lissu anawatukana watu wa chato, leo naona wameamua kumuonyesha pengine hawapendi dharau