Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,154
- 128,811
- Thread starter
- #321
Jamani mlioko Geita, tupeni update. Nimevuka Masha Busisi, akazungukwa na wanaMwanza kwa maswali mbali mbali, kwanza nilianza kwa kumpongeza kwa ushindi na sio siri alitamba na the right strategy iliyowapa ushindi.
Kumbe Masha ni mabest na Zitto wote vijana wanaelewana sana.
Pia Masha ameoa nyumba moja na Freeman Mbowe hivyo kelele zote za kampeni ni jukwaani tuu.
Baba yake Masha, Dr. Fortunatus ndio makamu mwenyekiti wa UDP. Hii inamuweka katika position ya rafiki wa wote, mtu wa watu na akiachana na madudu, yuko position fresh sana kwa 2010.
Amewabeza Chadema, kushinda uchaguzi sio kelele za jukwaani na nyimbo za ufisadi, nimeshachusha, wala sio helikopter inayovuta umati wa wasio wapiga kura. Ushindi ni strategies
And he is strategist.
Kumbe Masha ni mabest na Zitto wote vijana wanaelewana sana.
Pia Masha ameoa nyumba moja na Freeman Mbowe hivyo kelele zote za kampeni ni jukwaani tuu.
Baba yake Masha, Dr. Fortunatus ndio makamu mwenyekiti wa UDP. Hii inamuweka katika position ya rafiki wa wote, mtu wa watu na akiachana na madudu, yuko position fresh sana kwa 2010.
Amewabeza Chadema, kushinda uchaguzi sio kelele za jukwaani na nyimbo za ufisadi, nimeshachusha, wala sio helikopter inayovuta umati wa wasio wapiga kura. Ushindi ni strategies
And he is strategist.