That is the sprit, lakini isiwe ni kwenye media kuwa kuna makosa madogo yatalekebishwa, kwani kama hamkurekebisha you will never get majombo mengine zaidi ya haya mliyonayo, naogopa mtawekewa mamruki na kusambaratisha chama chenu kabla hamjafikia kiwango kinachotakiwa cha ushindi.
Hii inanikumbusha watu kama Lamwai now in CCM who was a real threat to CCM na sio kama kina Marando walivyosambaratishwa na kuamua kurudi CCM wenyewe bila kupenda.
Hii inanitia mashaka kama kweli watanzania wako serious wanataka kuondoa umasikini au wanataka uendelee, suala la msingi hapa ni kuongeza idadi ya wabunge mjengoni ili walete changamoto kwa wabunge wa CCM waongee mambo ya msingi badala ya blah blah kila siku.
Hii inanikumbusha watu kama Lamwai now in CCM who was a real threat to CCM na sio kama kina Marando walivyosambaratishwa na kuamua kurudi CCM wenyewe bila kupenda.
Hii inanitia mashaka kama kweli watanzania wako serious wanataka kuondoa umasikini au wanataka uendelee, suala la msingi hapa ni kuongeza idadi ya wabunge mjengoni ili walete changamoto kwa wabunge wa CCM waongee mambo ya msingi badala ya blah blah kila siku.