Mombo Wetu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2008
- 377
- 36
Hizi namba za matokeo zinanifurahisha jinsi zinavyoishia na 49 na 27.
Hapa kwenye idadi ya waliojitokeza ni fundisho kwa wote walioshiriki uchaguzi kuwa voter turn out katika chaguzi zetu ndio determining factor ya nani atashinda kati ya wale wanaochuana kwa karibu. Ina maana hapo iwapo CHADEMA ingeweza kuwahamasisha wapiga kura wengine elfu 9 kati ya 80,280 wasiojitokeza wangeibuka washindi. Kuna sayansi ya uchaguzi ambayo inabidi vyama vya upinzani wajifunze.vitu vidogovidogo sana wanashindwa kufigure out.
Hwajashindwa ku figure out, they learn through practice and practice make perfect. Usituvunje moyo wewe chama chako kiko miaka mingapi madarakani na CHADEMA imeanza lini kwepo kwenye chaguzi ukiangalia who is evolving in the right direction?