M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
hapa tungekuwa na tume huru CCM ingekuwa tayari imejiengua yenyewe kwenye kinyang'anyiro cha urais mwaka huu.
tukutane #BagonzaWhite77
hapa tungekuwa na tume huru CCM ingekuwa tayari imejiengua yenyewe kwenye kinyang'anyiro cha urais mwaka huu.
Upumbavu ni Kipaji kama ulivyo urefu na UfupiHujui kuwa u Rais na umiri jesh hautenganishwi
Upumbavu ni Kipaji kama ulivyo urefu na Ufupi
Mwl Julius Nyerere
Kweli wewe stroke, unawaza kwa kutumia nini?Sahihi,
Nafasi inayoombwa sio ya Uongozi katika Chama , bali uongozi wa Vyombo vyenye mamlaka ya Dola.
Huwezi kuelewa kwa Sababu ya Upumbavu wakosasa ulivyo hamnazo na ww unaamini urefu na ufupi ni kipaji?
Photo editor umeiona wazi hiyo acha ujinga.
Umakini au ni hofu ya demokrasia ndani ya chama?...binafs naona ni kutokujiaminiCCM wapo makini sana kwa kuandika hivyo. Form za kugombeea urais bado zipo na itafika wakati wa mwisho wa kuchukua hiyo form hakuna atakayejitokeza isipokuwa huyo mmoja.Kwa maan hiyo alichopewa JPM sio form za kugombea nafasi ya urais bali ni kitu kingine kabisa amabcho hakihusiani na uchaguzi huu.
Kumbe..........to zero!View attachment 1484543View attachment 1484544
Apigiwe kura na hivyo vyombo kwanini mnashirikisha wananchi?Sahihi,
Nafasi inayoombwa sio ya Uongozi katika Chama , bali uongozi wa Vyombo vyenye mamlaka ya Dola.
Bora yangeandika kugombea vyombo vya NDUNGAI tungejua Ccm INA mtindio Wa ubongpHivi ccm kwanini mnakuwa wapumbvu kiasi hiki.
Hujui lolote halafu unasumbua watu tu hapa.Acha ulaghai wa kitoto wew kibwengu kwamba ww hujui mchakato unaanzia kwenye vyama kuomba nafas then ukipitishwa jina linapelekwa tume.Hapo mmejaa mijinga tupu
Aibu yako kibwengu...endelea na ujinga wako sbb unakupeleka chooniHujui lolote halafu unasumbua watu tu hapa.
Nyerere nae alikuwa anaropoka tu sometimessasa ulivyo hamnazo na ww unaamini urefu na ufupi ni kipaji?
Hebu jisome upya halafu uniambie kama umejielewaDola ina vyombo vitatu (Serikali, bunge na mahakama) isipokuwa kwa mahakama, vyombe vilivyobaki nafasi zake ni za kuchaguliwa. Rais wa Tz ni mkuu wa Serikali na kwa kuwa Serikali inaingia kwa kura hivyo kauli hiyo ni sawa
zero IQ yupo macho anakuonaImenishangaza sana...ngoja lumumba waje waitolee ufafanuzi