Poa 2
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,294
- 1,288
Habari za jioni wapendwa
Moja kwa moja kwenye mada.
Kuna KM mmoja wa CCM aliwahi kuropoka kwamba CCM itaitumia dola kubaki madarakani, sijui kauli hii ina ukweli kiasi gani labda wajuvi wa mambo mnitoe tongo tongo.
Ni kweli raisi wa nchi ambaye ni m/kiti wa Ccm ndiye anaye wateua wakuu wote wa vyombo vya usalama.
Lkn huyu raisi tuliye naye ni zao la katiba si wa kuchaguliwa na wananchi, na kuna tetesi kwamba baada ya kifo cha jiwe wana Ccm waliokuwa madarakani walitaka kupindua meza ili SSH asirithi kiti lkn kuna chombo kimojawapo cha usalama kiliamua kusimamia katiba.
Sasa swali ni kwamba ikiwa ccm ndiyo inayoitumia dola kwanini ilishindwa kupindua meza?.
Je? Kuna kakikundi kadogo ndani ya dola kilichojificha nyuma ccm na kanachoitumia kututawala au kuna kakikundi ndani ya CCM kanaitumia dola kututawala?.
Moja kwa moja kwenye mada.
Kuna KM mmoja wa CCM aliwahi kuropoka kwamba CCM itaitumia dola kubaki madarakani, sijui kauli hii ina ukweli kiasi gani labda wajuvi wa mambo mnitoe tongo tongo.
Ni kweli raisi wa nchi ambaye ni m/kiti wa Ccm ndiye anaye wateua wakuu wote wa vyombo vya usalama.
Lkn huyu raisi tuliye naye ni zao la katiba si wa kuchaguliwa na wananchi, na kuna tetesi kwamba baada ya kifo cha jiwe wana Ccm waliokuwa madarakani walitaka kupindua meza ili SSH asirithi kiti lkn kuna chombo kimojawapo cha usalama kiliamua kusimamia katiba.
Sasa swali ni kwamba ikiwa ccm ndiyo inayoitumia dola kwanini ilishindwa kupindua meza?.
Je? Kuna kakikundi kadogo ndani ya dola kilichojificha nyuma ccm na kanachoitumia kututawala au kuna kakikundi ndani ya CCM kanaitumia dola kututawala?.