Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,619
- 2,716
CCM walikuwa na matokeo yao ya mfukoni hata kabla ya kuanza kupiga kura.
Zoezi la kupiga kura ilikuwa ni kuhalalisha uharamia ndani ya Sanduku la kura.
Lakini itawasaidia nini CCM ambao wapo madarakani zaidi ya miaka 60 na bado umaskini umetamalaki kila kona ya nchii hii.
Chama kikongwe eti kipaumbele chake bado ni kupika matokeo ionekane kinakubalika .
Hapo ndiyo kinazidi kujichimbia kaburi.
Zoezi la kupiga kura ilikuwa ni kuhalalisha uharamia ndani ya Sanduku la kura.
Lakini itawasaidia nini CCM ambao wapo madarakani zaidi ya miaka 60 na bado umaskini umetamalaki kila kona ya nchii hii.
Chama kikongwe eti kipaumbele chake bado ni kupika matokeo ionekane kinakubalika .
Hapo ndiyo kinazidi kujichimbia kaburi.