Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,665
- Thread starter
- #201
Hello bro pole sana. Hakuna lisilowezekana kwa Bwana.
Ushauri wangu kwa uzoefu wangu kuhusu ugonjwa wa cancer!, huu ni ugonjwa unaotokana na lifestyle, vyakula na mazingira tunayoishi. Ila kwa sehemu kubwa ni vyakula.
Kwa kuwa unaendelea vizuri baada ya upasuaji nakushauri ujitahidi kabisa kubadilsha lifestyle.
Kwanza acha kabisa vyakula vya protine, hii itakusaidia kuzuia uwezekano wa kuipata tena. Kwa kuwa protine ni chakula cha cancer.
Pili acha kabisa matumizi ya sukari, maziwa, nyama nyekundu, vyakula vya kukaanga. Hii inamaana hakikisha kila unachokula kinakupa virutubisho vya kutosha na vitamin na fiber. Sukari unayoitaji mwilini utaipata kwenye matunda na vyakula vingine. Kula unprossesed food.
Jitahidi kupunguza matumizi ya antibiotic na pain killer, tafuta food supplement maalum kwa magonjwa ya cancer.
Nitajaribu kukaa chini nikuandalie mchanganua wa ingredients unazohitaji kutumia kila siku.
Kwa ushauri zaidi tunaweza kuwasiliana kwa no 0763 578057. Utapona na utaishi maisha ya kawaida
I will keep intouch, nikirudi home ntakupigia, na wote walionipatia number zao, ninauona ushirikiano wenu kwa namna ya tofauti sana.