Cancer inachukua maisha yangu

Cancer inachukua maisha yangu

Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my life.

Pole ndugu yangu,mi nakushauri kwa uponyaji wa uhakika kama imani hii unayo na nafasi/uwezo kidogo upo,nenda kafanyiwe maombi kwa TB.Joshua.hutarudi kama ulivyo nguvu ya Mungu ni kubwa sana mahala pale
 
Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my life.
Pole sana mkuu. Usikate tamaa kuna watu watakuja humu kukupa ushauri kutokana na uzoefu wao. Mungu atasaidia
 
Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my life.

Pole sana ndugu yetu! Hizi hosp zetu jaman balaa ,Wao ni maralia tu ndo wanaweza,Lab techn nao ni majanga! Kwa iman yako nakushauri kapate maombi,au ikishindikana waitoe Figo hiyo kabla haijaathir na sehem nyingine,Pia kama kuna dawa za kutibu pia tumia!
 
Pole sana baba.
Ungeweza kuwasiliana na madaktari wa india ukawatumia vipimo vyako wakakupa ushauri. Kuna hospitali ya sanitaz dsm, angalia website na uwatumie email, wanafanya correspondence na huwa wataalamu wanakuja dar na kutoa huduma.

Nakubaliana na Kiranga, pata 2nd and 3rd opinion. Dr kapiteni wa tmj nae ni mzuri kwa hizi issues anaweza kuwa wa msaada.

Kila la kheri.

Dada Yangu
Nashukuru kwa ukarimu wako, Kwa sasa naendelea vizuri, siku nimeweka post hii hapa, ni kama niliharibu mambo, siku hiyo jioni hali yangu ilibadirika sana, na ilipofika siku ya Juma tatu figo ilifail kabisa, bahati mbaya Alshaababu walikuwa wameivuruga Nirobi nasikia daktari aliyekuwa akiniangalia alipoteza familia yake pale.

Nashukuru, niliweza kuondoka siku hiyo hiyo kuja huku Israel, Figo ilikuwa imefail kabisa, na ingeweza kunisababishia madhara makubwa zaidi, imeondolewa, na kama unavyoona leo kwa mara ya kwanza nimeweza kuingia JF.

Naweza kusema, Sasa niko salama tena,
 
Dada Yangu
Nashukuru kwa ukarimu wako, Kwa sasa naendelea vizuri, siku nimeweka post hii hapa, ni kama niliharibu mambo, siku hiyo jioni hali yangu ilibadirika sana, na ilipofika siku ya Juma tatu figo ilifail kabisa, bahati mbaya Alshaababu walikuwa wameivuruga Nirobi nasikia daktari aliyekuwa akiniangalia alipoteza familia yake pale.

Nashukuru, niliweza kuondoka siku hiyo hiyo kuja huku Israel, Figo ilikuwa imefail kabisa, na ingeweza kunisababishia madhara makubwa zaidi, imeondolewa, na kama unavyoona leo kwa mara ya kwanza nimeweza kuingia JF.

Naweza kusema, Sasa niko salama tena,

Mungu ni Mwema sana! Hajawahi kushindwa na lolote. Ni jambo la kumshukuru sana Mungu Aliyekuwezesha kutoka Nairobi kufika Israel na kupata matibabu yaliyoweza kukusaidia. Tunashukuru sana kwa wewe mwenyewe kuweza kukiri kwamba hali yako inaendelea vizuri. Mungu Azidi kukupa nguvu ya uponyaji uendelee vizuri na uweze kurudi nyumbani kwako ukiwa na nguvu na afya njema!
 
Mungu ni Mwema sana! Hajawahi kushindwa na lolote. Ni jambo la kumshukuru sana Mungu Aliyekuwezesha kutoka Nairobi kufika Israel na kupata matibabu yaliyoweza kukusaidia. Tunashukuru sana kwa wewe mwenyewe kuweza kukiri kwamba hali yako inaendelea vizuri. Mungu Azidi kukupa nguvu ya uponyaji uendelee vizuri na uweze kurudi nyumbani kwako ukiwa na nguvu na afya njema!

Kiwi
Nimemuachia Mungu Kila kitu, nimesoma post za wadau mpaka nimelia, Mungu ni Mwema sana.
 
Pole sana kama hujatumia Dawa yoyote ile unaweza kujaribu Dawa yangu ya Asilia? huenda ikakusaidia kupona.

Fanya hivi kila unapoa amka Asubuhi kabla ya kula au kunywa kitu nenda chooni kakinge mkojo wako mwenyewe kwa

kipimo cha glasi moja kisha unywe kisha kaa baada ya saa 1 kupita waweza kula chakula. Fanya hivyo kila siku asubuhi

kwa muda wa siku 10 kisha nenda Hospitali kapime hiyo kansa yako kwenye Figo utakuta umesha pona akipenda

Mwenyeezi Mungu. Ikiwa bado vidonda havijapona vizuri unaweza kuongeza kunywa huo mkojo wako kwa muda wa siku

21 utapona kabisa inshallah jaribu kisha uje hapa unipe feedback.

Mkuu Mzizimkavu
Nashukuru kwa ushauri wako, unfortunate sikupata nafasi ya kupractice hii medication, Figo yangu ilifail ghafla, nimefanyiwa operation na kuiondoa, na nitaanza kutumia hii kitu, ni vyema watu wote wakaitumia sababu bin binafsi sikuwahi kufikiria ntapitia majaribu niliyopitia ghafla namna hii.

Ubarikiwe sama.
 
You know the meaning of guarantee?even in sales and economics-- it goes with " terms and conditions apply" ; terms being faith and submission. If the sentence doesn't apply to you then it ain't a guarantee to you. Why do we say trust God and for sure you will be happy. Now is everybody who trust God happy (Including you?) - it takes ones effort to live that "guarantee"

And who are you to prescribe what we say and we don't, If one says in Krisha's or Jesus name and its a lie what the hell does that bother you. And so I boldly Proclaim In Jesus Name , He may be healed . If you don't believe can choose to ignore . You can say in Star's name , he may be healed, same way if i don't believe I zip my lip.

Back to Mada now.

what exactly had happened here?
 
Sangarara pole sana mkuu!

Then naomba uanze wewe mwenyewe kutoamini kuwa ni complicated. How should you do? Kwaku search information zinazo kupa a second thought contrary to hizo zinazo kuambia its complicated. This is normally a first aid kwa wagonjwa wa jinsi yako. Kwani the disease has something to do with your body capability to over come. Mm siyo daktari ila had once suffered that problem na niliweza kuushinda huo ugonjwa.

Nilianini kabisa haiwezi kuniua so I switched my mind from it being a complicated na nika search information zinazoendana na thinking yangu. Watu wengi wame kupa options zinazokupa a second thought kama ka fanye tena check up, tumia miti shamba, mlilie Mungu etc those are the type of the things you concentrate more other than the report you now have.

Mimi kama mhubiri ninakupa option ya neno la Mungu yaani habari njema. What you have is a bad news lakini kuna habari njema on another side kitakacho amua ni choice yako; whose report are you going to believe? Doctors or God's report as both are words.

The difference is one of the report can be physically tested and the other spiritually tested. The out come much depends on which side you are more strong or experienced. If you are a believer its very easy because you have all it takes to test the word of God. Even if you are not a believer if you choose to believe it is even more easier than to a believer who is weak in faith.

If you would need more help am here available will lead you into testing my options. Last year I used the same advice to help a chines student who suffered blood and it worked. He later on was treated by the chines themselves.

May God's mercy be with you in this time where you need Him most!

AME
Thanks for the insightful post, I met God's Mercifulness in abundancy, while my kidney had actully been completely destroyed, today on the 14th of October I became strong enough to come and meet my lovely brothers and sisters here in JF.

I am actually stronger like nothing had happened.
 
Pole sana , zidi kumuomba mungu na pia fuata masharti uliyopewa lakin nakuomba ufanye checkup tena ili uzidi kujilidhisha na hali na pia jitahidi kutokuwaza sana

Sent from my BlackBerry - jamiiforums
 
Pole sana , zidi kumuomba mungu na pia fuata masharti uliyopewa lakin nakuomba ufanye checkup tena ili uzidi kujilidhisha na hali na pia jitahidi kutokuwaza sana

Sent from my BlackBerry - jamiiforums

Thanks BPM
I will pay heed to your advice.
 
AME
Thanks for the insightful post, I met God's Mercifulness in abundancy, while my kidney had actully been completely destroyed, today on the 14th of October I became strong enough to come and meet my lovely brothers and sisters here in JF.

I am actually stronger like nothing had happened.

Kwa kweli ni habari njema sana! sikuchangia huu uzi kabla, sio kwamba sikuuona ila nilikosa cha kuandika baada ya kuona ni jinsi gani maisha yetu yako vulnerable. Ashukuriwe Mungu aliyewapa uwezo hao madaktari kuhusika na uponyaji wako.
 
Pole jamani nimeumia kusoma hii post....Mi kwanza nataka ufute hiyo kauli kua Cancer inachukua maisha yangu nataka uwe na imani kwa dini yako yoyote ile uwe Mkristo au Muislam kua hakuna kisichowezekana kwa Mungu shirikisha watu wako wa karibu wakuombee pamoja na viongozi wa dini hata sisi wanaJF wenzako tutakuombea kwa imani zetu so have faith kua umepona....lakini pia usikate tamaa na kusema umeenda kwenda hospitali za mabingwa wameshindwa,kwa hospitali ulizoenda fuata masharti na tumia dose vizuri kula vizuri.Halafu usikae mpweke na kuacha hiyo hali ya ugonjwa ikukoseshe raha na kukunyima amani endelea na shuhuli zako za maisha kama ni kazi au biashara ila tu usijichoshe ukiona umechoka pumzika sitaki ukae na mawazo live your life and show that disease kwamba you can not be defeated easily.

Have faith sijui nikuite kaka au dada Sangara have faith that you have defeated Cancer live your life and be happy natamani ningefanya kitu kwa ajili yako lakini jua tu kwamba nakuombea ndugu yangu.Nataka siku moja uje utuambie unaendelea vizuri na umepata nafuu.Mungu Mkubwa.

Niite kaka Sangarara
Sikuweza kuingia hapa kusoma dua na maombi yenu kwa Mungu juu yangu, inawezekana kabisa mimi nilishindwa na kukata tamaa, lakini maombi yenu yalifika kwa Mwenyezi Mungu, sina tena kansa, figo iliyoharibika imeondolewa na vimelea vyote vya kansa, niko nauguza kidonda nirudi nyumbani.
 
Nakushauri pia utafute matunda yanaitwa STAFELI. Kula stafeli moja kila siku for one month. then uendelee kula japo mara mbili kwa wiki inasaidia wagonjwa wa cancer. kwa ushauri tembelea google
 
Niite kaka Sangarara
Sikuweza kuingia hapa kusoma dua na maombi yenu kwa Mungu juu yangu, inawezekana kabisa mimi nilishindwa na kukata tamaa, lakini maombi yenu yalifika kwa Mwenyezi Mungu, sina tena kansa, figo iliyoharibika imeondolewa na vimelea vyote vya kansa, niko nauguza kidonda nirudi nyumbani.

Hello bro pole sana. Hakuna lisilowezekana kwa Bwana.

Ushauri wangu kwa uzoefu wangu kuhusu ugonjwa wa cancer!, huu ni ugonjwa unaotokana na lifestyle, vyakula na mazingira tunayoishi. Ila kwa sehemu kubwa ni vyakula.

Kwa kuwa unaendelea vizuri baada ya upasuaji nakushauri ujitahidi kabisa kubadilsha lifestyle.

Kwanza acha kabisa vyakula vya protine, hii itakusaidia kuzuia uwezekano wa kuipata tena. Kwa kuwa protine ni chakula cha cancer.

Pili acha kabisa matumizi ya sukari, maziwa, nyama nyekundu, vyakula vya kukaanga. Hii inamaana hakikisha kila unachokula kinakupa virutubisho vya kutosha na vitamin na fiber. Sukari unayoitaji mwilini utaipata kwenye matunda na vyakula vingine. Kula unprossesed food.

Jitahidi kupunguza matumizi ya antibiotic na pain killer, tafuta food supplement maalum kwa magonjwa ya cancer.

Nitajaribu kukaa chini nikuandalie mchanganua wa ingredients unazohitaji kutumia kila siku.

Kwa ushauri zaidi tunaweza kuwasiliana kwa no 0763 578057. Utapona na utaishi maisha ya kawaida
 
Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my life.

Pole sana mkuu.....ila nikutie moyo kua thats not end of life....u still have a chance so long as unapumua.Namwamini sana T.B Joshua kwa sababu nimeshuhudia mtu/watu wenye tatizo kama lako na wamepona kabisa...totaly healed.Kama uko dar fika benjamini mkapa tower wana ofisi zao pale na utapata solutions.''your fear is your choice''.Get well soon
 
Pole sana mkuu,hata mimi nauguza baba yangu mzazi ana kansa ya utumbo mkubwa,anatamuia dawa za mitishamba toka upareni kwakoa-0784368531/0754688242 mpigie huyo mzee akutayarishie dawa cost haizidi tshs20,000+logistic,pia pata juice za dynapharm-jmall.Ilimradi usitumie chemotherapy

Bongolala
Nashukuru kwa taarifa hii, bahati mbaya sikuweza kutumia fursa hii mapema, wakati madaktari wananiambia figo yangu ilikuwa inashambuliwa na canser, kumbe tayari ilikuwa imeharibika kabisa, mambo yalikwenda ghafla sana, imeondolewa na ninaambiwa sina tena vimelea vya cansa, lakini n kituikirudi lazima nipige hiyo kitu, pamoja na ile ya mzizimkavu.
 
Back
Top Bottom