Saratani /kansa huwa inatibika.
Ngoja nikupe mfano kwanza ukimpima mgonjwa wa saratani ya matiti utamkuta ana upungufu wa vitamin A, ukienda kumpima mgonjwa saratani ya mapafu utamkuta na upungifu wa vitamin A au vitamin A, imezidi.
Ukija kwa wagonjwa ya saratani ya utumbo au tumbo utakuta wengi wana damu Group A.
Niishie hapa kwa sasa, turudi kwenye tiba
, unapompa mgonjwa wa saratani yoyote vitamin B17, unatakiwa uzingatie pia vitamins , mineral na diet (hapa pia watu wengi wanakosea au wanadharau wanaamini dawa pekee inaweza kuwatibu.
Na diet inalingana na saratani husika sio saratani zote vitamins na mineral watatumia sawa.
Najua watu watanipinga ila ukweli ndio huo, ukitaka upone
View attachment 1146514