Cancer inachukua maisha yangu

Cancer inachukua maisha yangu

Wewe una attention seeking disorder na usipoangalia itakuletelezea kuwa suicide bomber.

Mbona wenye imani tofauti na wewe hawajalalama mtu akisema inshaallah mwenyezi mungu atakusaidia? Mtu amepost habari ya huzuni hapa na kila mtu amesema a kind word kwa upeo wake. Wewe inakuhusuje? Kuna ambao hawaamini kabisa kama kuna mungu na anaweza kumsaidia chochote, mbona hawajapiga kelele. For the sake ya mwenzetu, stop running your silly show in here. Kama una lolote la msaada na unaweza kumuombea kwa imani yako iliyo bora kuliko zote fanya hivyo.

Wewe unamuombea to whoever and whatever you believe in, unamuombea ili iweje? Na kwa nini unakuwa mkali watu wakisema yesu atamponya na lazaro alifufuliwa? Anything encouraging him right now is worth for him. Keep you flawless faith to yourself na uwaache wenye imani zao waziamini manake huenda zinawasaidia wao wenyewe.


Dont bother replying manake sitaendeleza majibishano na wewe hapa. Nenda kule kwenye jukwaa lako la show.

Siku zote Nilidhani una busara kumbe duhh! I was totally wrong!

Sasa hao wanaosema inshallah umeona wanahubiri hapa!

Sitaki kusema mengi manake salvation army mnachafuka mno!!
 
Pole sana mkuu Sangarara naamini Mungu atakuponya roho wa bwana aingie mioyoni mwa madaktari wanao kutibu ili waweze kufanikisha uponaji wako!
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kusumbuka kwa takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my life.

sangara USIOGOPE sijui imani yako ila Mungu niliyemshuhudia kwangu binafsi na kwa wengine ANAWEZA.Yote Yanawezekana Kwake AMINIYE Mungu anaponya taarifa za vipimo zimekutisha nawe ukatishika sasa Mungu aliye kuumba anasema Usiogope yani kila siku anakwambia neno hilo neno la Mungu lina nguvu Ebrania 4:12 ,Isaya 41:10 amini utapona acha woga madaktari ni watu hawezi hata kuumba sisimizi mwamini Mungu atakuponya
 
sangara USIOGOPE sijui imani yako ila Mungu niliyemshuhudia kwangu binafsi na kwa wengine ANAWEZA.Yote Yanawezekana Kwake AMINIYE Mungu anaponya taarifa za vipimo zimekutisha nawe ukatishika sasa Mungu aliye kuumba anasema Usiogope yani kila siku anakwambia neno hilo neno la Mungu lina nguvu Ebrania 4:12 ,Isaya 41:10 amini utapona acha woga madaktari ni watu hawezi hata kuumba sisimizi mwamini Mungu atakuponya

Cc King'asti mi siongezi neno!
 
Last edited by a moderator:
Wewe una attention seeking disorder na usipoangalia itakuletelezea kuwa suicide bomber.

Mbona wenye imani tofauti na wewe hawajalalama mtu akisema inshaallah mwenyezi mungu atakusaidia? Mtu amepost habari ya huzuni hapa na kila mtu amesema a kind word kwa upeo wake. Wewe inakuhusuje? Kuna ambao hawaamini kabisa kama kuna mungu na anaweza kumsaidia chochote, mbona hawajapiga kelele. For the sake ya mwenzetu, stop running your silly show in here. Kama una lolote la msaada na unaweza kumuombea kwa imani yako iliyo bora kuliko zote fanya hivyo.

Wewe unamuombea to whoever and whatever you believe in, unamuombea ili iweje? Na kwa nini unakuwa mkali watu wakisema yesu atamponya na lazaro alifufuliwa? Anything encouraging him right now is worth for him. Keep you flawless faith to yourself na uwaache wenye imani zao waziamini manake huenda zinawasaidia wao wenyewe.


Dont bother replying manake sitaendeleza majibishano na wewe hapa. Nenda kule kwenye jukwaa lako la show.

Asante mkuu,anaboa sana huyu!
Anafikiri watu tuna muda wa kupigizana kelele zisizo maana
..na cjui kinachomuuma/kumsumbua ni nn watu wakisema hayo kwa imani zao
 
pole sana mkuu! Amini aliyepewa mamlaka mbinguni na duniani yupo na anaponya,Yesu anaweza yote!
Najua kibinadamu ni ngumu,bt jipe moyo, Yeremia 33:3, soma neno la Mungu,na anza kukiri kwa kukataa hiyo hali, coz biblia inatuambia 'vile unavyokiri ndo unavyopokea'
 
Kesho ndo nitapata detailed report, but I know it is complicated already. Nitaenda hapo Muhimbili pia.

Sangarara pole sana mkuu!

Then naomba uanze wewe mwenyewe kutoamini kuwa ni complicated. How should you do? Kwaku search information zinazo kupa a second thought contrary to hizo zinazo kuambia its complicated. This is normally a first aid kwa wagonjwa wa jinsi yako. Kwani the disease has something to do with your body capability to over come. Mm siyo daktari ila had once suffered that problem na niliweza kuushinda huo ugonjwa.

Nilianini kabisa haiwezi kuniua so I switched my mind from it being a complicated na nika search information zinazoendana na thinking yangu. Watu wengi wame kupa options zinazokupa a second thought kama ka fanye tena check up, tumia miti shamba, mlilie Mungu etc those are the type of the things you concentrate more other than the report you now have.

Mimi kama mhubiri ninakupa option ya neno la Mungu yaani habari njema. What you have is a bad news lakini kuna habari njema on another side kitakacho amua ni choice yako; whose report are you going to believe? Doctors or God's report as both are words.

The difference is one of the report can be physically tested and the other spiritually tested. The out come much depends on which side you are more strong or experienced. If you are a believer its very easy because you have all it takes to test the word of God. Even if you are not a believer if you choose to believe it is even more easier than to a believer who is weak in faith.

If you would need more help am here available will lead you into testing my options. Last year I used the same advice to help a chines student who suffered blood and it worked. He later on was treated by the chines themselves.

May God's mercy be with you in this time where you need Him most!
 
Sangarara pole sana mkuu!

Then naomba uanze wewe mwenyewe kutoamini kuwa ni complicated. How should you do? Kwaku search information zinazo kupa a second thought contrary to hizo zinazo kuambia its complicated. This is normally a first aid kwa wagonjwa wa jinsi yako. Kwani the disease has something to do with your body capability to over come. Mm siyo daktari ila had once suffered that problem na niliweza kuushinda huo ugonjwa.

Nilianini kabisa haiwezi kuniua so I switched my mind from it being a complicated na nika search information zinazoendana na thinking yangu. Watu wengi wame kupa options zinazokupa a second thought kama ka fanye tena check up, tumia miti shamba, mlilie Mungu etc those are the type of the things you concentrate more other than the report you now have.

Mimi kama mhubiri ninakupa option ya neno la Mungu yaani habari njema. What you have is a bad news lakini kuna habari njema on another side kitakacho amua ni choice yako; whise report are you going to believe? Doctors or God's report as both are words.

The difference is one of the report can be physically tested and the other spiritually tested. The out come much depends on which side you are

But our brother is suffering PHYSICALLY!!

How Could your SPIRITUAL words going to cure PHYSICALL ILLNESS? ?

Haya mahubiri ndio niliyokwambieni hapa sio mahala pake!
Umetoa maneno mazuuri hapo juu!
Halafu chini hapo umeharibu kila kitu!.

Sister King'asti help me please!
Manake utasema natafuta attention again, wakati ww mwenyewe unaona wahubiri wanaongezeka tu!

Sasa hapa mi nikinyamaza si watu wataanza kubatizana hapa?
Nyie toeni pole. Muombeeni Mungu ndugu yetu Halafu Msonge mbele!

Atakae hubiri tena hapa mi namfyatua jumla!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana usikate tamaa ipiganie afya yako kwa kufuata ushauri uliotolewa na wadau tofauti. Mungu na awe nawe.
 
But our brother is suffering PHYSICALLY!!

How Could your SPIRITUAL words going to cure PHYSICALL ILLNESS? ?

Haya mahubiri ndio niliyokwambieni hapa sio mahala pake!
Umetoa maneno mazuuri hapo juu!
Halafu chini hapo umeharibu kila kitu!.

Sister King'asti help me please!
Manake utasema natafuta attention again, wakati ww mwenyewe unaona wahubiri wanaongezeka tu!

Sasa hapa mi nikinyamaza si watu wataanza kubatizana hapa?
Nyie toeni pole. Muombeeni Mungu ndugu yetu Halafu Msonge mbele!

Atakae hubiri tena hapa mi namfyatua jumla!

Well very easy, what did doctors who diagnosed him use to identify and interpret the disease? Is it physical or cognitive? What reference did they use to confirm? Theory (words, documentation) or a physical body?

Labda kamfano tu, je iwapo doctor aliyempima ni kichaa asiyejutambua, au ana lake jambo moyoni, au si expert kama anavyodai au amechanganya majibu etc hiyo report utakuwa sahihi? Sasa kumbe errors za kibinadamu zipo kwanini sasa mtu afe kwa depression huku tukijua kabisa kuna multiple facts? Science yenyewe inakubali kuwa there is nothing called truth ila tunasearch facts zinazoweza kukaribiana na truth.... Sasa iweje mtu uamini report ambayo yaweza kubadilika dakika yeyote nakujiaminisha eti ni physical? Hata rangi interpretation yake inategemea aina ya macho..... Usimuue mwenzako angali anaishi kwa maneno yako yaku nwaminisha kisicho aminika.

Then nothing can be made physical unless its created through words. If can prove this against, I will shut up my big mouth.

Otherwise acha kuwa selfish, penda wenzako jinsi unavyojipenda kama ww unapenda kupewa nafasi ya kutoa ushauri acha na wenzio watoe ushauri wao na umpe nafasi Sangarara apate mawazo mengi jinsi iwezekanavyo aweze kuchagua mema kwa maisha yake.

Barikiwa sana na Mungu!
 
Last edited by a moderator:
But our brother is suffering PHYSICALLY!!

How Could your SPIRITUAL words going to cure PHYSICALL ILLNESS? ?

Haya mahubiri ndio niliyokwambieni hapa sio mahala pake!
Umetoa maneno mazuuri hapo juu!
Halafu chini hapo umeharibu kila kitu!.

Sister King'asti help me please!
Manake utasema natafuta attention again, wakati ww mwenyewe unaona wahubiri wanaongezeka tu!

Sasa hapa mi nikinyamaza si watu wataanza kubatizana hapa?
Nyie toeni pole. Muombeeni Mungu ndugu yetu Halafu Msonge mbele!

Atakae hubiri tena hapa mi namfyatua jumla!



Eti umeyakataa maneno haya- Kama nani eti ? JF owner au Moderator?- I beg to differ; Anyone can offer sympathy in what she/ he believes. I can choose to mediate his case in Buddhism - because its in my frame of reference to do so. It is again however in the hands of the recipient (who is not you) to accept or not. Now , simply because you don't like to hear of Buddhism or Hinduism related wishes, it doesn't refrain others from doing so.

Belief is personal- I may heal from tree leaves to a mere spiritual partitioning, its within ones power to accept: - Let Sangarara comment that at this juncture he only needs "specific recipes"


You said "How Could your SPIRITUAL words going to cure PHYSICALL ILLNESS "- when the president goes to visit victims of bomb explosions and say I Pray that god heals you- arent those words with spiritual power in them? or did you expect physical interventions like fixing a fracture leg ? Definitely not:
This is a free forum and let others wish him well they way they consider best.

Sangarara: Be courageous , its within your will power to be better, The best is to be at peace and seek all posible solutions, since time is not on your hand , consider other experienced doctors opinions like India. But remember peace of mind is the best healer. Pole and May God help you to have peace of Mind.
 
Last edited by a moderator:
Sasa bro kahtaan unakataza watu kumuombea kwa Imani zao, wewe Kama nani? Nafikiri mgonjwa anahitaji upendo na sala za watu wote kwa Imani zote, stop being arrogant bro.
 
Sasa bro kahtaan unakataza watu kumuombea kwa Imani zao, wewe Kama nani? Nafikiri mgonjwa anahitaji upendo na sala za watu wote kwa Imani zote, stop being arrogant bro.

Bro! I never ever stop anybody to make a prayer for our brother here!
Mi ninachokataza ni mahubiri!
We tazama wahubiri wangapi wamekuja kwenye huu uzi!
Mtu anaumwa halafu anakuja mtu hapa!
Mpokee yesuu mpokee yesu!! We umeskia kila mtu anataka kumpokea huyo yesu??
Halafu huku kupokeana kutaisha lini?
Nyie kama mnaweza kuponya kwa jina la yesu mbona kuna wagonjwa wengi tu muhimbili? Hatuwaoni mkimleta huyo yesu?
Wacheni kizengua watu hapa! Ombeni dua tu! Na hayo mengine bakizeni kwenu!
Alllla!
 
Pole sana mkuu...indeed kwa lifestyle za watu wengi siku siku hizi, kuna risk kubwa tu ya kukumbana na cancer at one point in one's life...lakini for certainty, kama ulivyoshauriwa pata opinion nyingine kwanza...most especially ikiwa kwenye hospitali nzuri India.

I wish you a quick turn-around recovery...pole sana.
 
Eti umeyakataa maneno haya- Kama nani eti ? JF owner au Moderator?- I beg to differ; Anyone can offer sympathy in what she/ he believes. I can choose to mediate his case in Buddhism - because its in my frame of reference to do so. It is again however in the hands of the recipient (who is not you) to accept or not. Now , simply because you don't like to hear of Buddhism or Hinduism related wishes, it doesn't refrain others from doing so.

Belief is personal- I may heal from tree leaves to a mere spiritual partitioning, its within ones power to accept: - Let Sangarara comment that at this juncture he only needs "specific recipes"


You said "How Could your SPIRITUAL words going to cure PHYSICALL ILLNESS "- when the president goes to visit victims of bomb explosions and say I Pray that god heals you- arent those words with spiritual power in them? or did you expect physical interventions like fixing a fracture leg ? Definitely not:
This is a free forum and let others wish him well they way they consider best.

Sangarara: Be courageous , its within your will power to be better, The best is to be at peace and seek all posible solutions, since time is not on your hand , consider other experienced doctors opinions like India. But remember peace of mind is the best healer. Pole and May God help you to have peace of Mind.
No doubt its a free forum! But the brother is ill here!
The last thing he wants is "preaching!
Make prayer as much as you want!
But don't come here and tell him! Jesus this and Jesus is coming to town bla..bla... bla..!
Keep those salvation army business in the churches not here!
Now say some prayer like president says to the bomb injured citizens!
"May God help you to recover quicker"
Not "I GUARANTEE IF YOU ACCEPT JESUS YOU WILL BE CURE" thats a lie!
 
pole sana.

Usikate tamaa sana anza matibabu mapema huwezi jua. Rafiki yangu nae ilikuwa inammaliza hasa, alipata mateso hasa, yaani siku haipiti bila hata kuchoma sindano za diclofenac kwa maumivu. but kwa sasa walau hajambo, amefanyo chemotherapy na imepungua. hata mie nilikosa raha nilidhani ningempoteza.

Don't give up yet japo ni ngumu na ni ugonjwa hatari.
Pole sana.
 
No doubt its a free forum! But the brother is ill here!
The last thing he wants is "preaching!
Make prayer as much as you want!
But don't come here and tell him! Jesus this and Jesus is coming to town bla..bla... bla..!
Keep those salvation army business in the churches not here!
Now say some prayer like president says to the bomb injured citizens!
"May God help you to recover quicker"
Not "I GUARANTEE IF YOU ACCEPT JESUS YOU WILL BE CURE" thats a lie!

You know the meaning of guarantee?even in sales and economics-- it goes with " terms and conditions apply" ; terms being faith and submission. If the sentence doesn't apply to you then it ain't a guarantee to you. Why do we say trust God and for sure you will be happy. Now is everybody who trust God happy (Including you?) - it takes ones effort to live that "guarantee"

And who are you to prescribe what we say and we don't, If one says in Krisha's or Jesus name and its a lie what the hell does that bother you. And so I boldly Proclaim In Jesus Name , He may be healed . If you don't believe can choose to ignore . You can say in Star's name , he may be healed, same way if i don't believe I zip my lip.

Back to Mada now.
 
Baada ya kusumbuka kwa
takribani wiki tatu sasa, afya yangu ikiharibika kwa kasi huku mimi
binafsi,vipimo na ushauri wa madoctor ukionyesha ni uchovu tu au tatizo
la kawaida Jana nimekuja kufanya vipimo hapa Nairobi na inaonyesha nina
cancer katika figo langu.

Ninarudi nyumbani kesho, nitajitahidi kuendelea na maisha yangu kama
kawaida, lakini huu ni ukweli mbaya sana, cancer is haunting my
life.

Pole sana ndugu.
Mungu atakutia nguvu katika kipindi hiki kigumu,muamini yeye na amini kuwa atakuvusha salama katika gumu hili.
Usikate tamaa katika kupambana na huo ugonjwa.
Pole sana.
 
Kuanza kimo.. ndio nini mkuu, sijatumia dawa ya aina yoyote ile, taarifa hii nimeipata jana tu.
Pole sana kama hujatumia Dawa yoyote ile unaweza kujaribu Dawa yangu ya Asilia? huenda ikakusaidia kupona.

Fanya hivi kila unapoa amka Asubuhi kabla ya kula au kunywa kitu nenda chooni kakinge mkojo wako mwenyewe kwa

kipimo cha glasi moja kisha unywe kisha kaa baada ya saa 1 kupita waweza kula chakula. Fanya hivyo kila siku asubuhi

kwa muda wa siku 10 kisha nenda Hospitali kapime hiyo kansa yako kwenye Figo utakuta umesha pona akipenda

Mwenyeezi Mungu. Ikiwa bado vidonda havijapona vizuri unaweza kuongeza kunywa huo mkojo wako kwa muda wa siku

21 utapona kabisa inshallah jaribu kisha uje hapa unipe feedback.
 
pamoja na ushauri wa mzizimkavu angalia series moja inaitwa BREAKING BAD inaonyesha mwalimu wa chemistry aliegundulika na cancer ila aliendesha maisha yake kwa ajili ya familia yake na kufanikiwa kwa kiasi kikubwa, kwa ajili ya kuliwaza.
 
Back
Top Bottom