PreGE2025 Camillus Wambura: Jeshi la Polisi halipo tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa amani

PreGE2025 Camillus Wambura: Jeshi la Polisi halipo tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Naf
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura, amesema Jeshi halipo tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa amani. Amesema hayo leo Juni 9, Jijini Dar es Salaam wakati wa sherehe ya kufunga kozi ya maafisa na wakaguzi wa Jeshi la Polisi.

"Sote tunatambua kuwa mwaka huu 2025 nchi yetu inatarajia kufanya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani. Katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu huo Jeshi la Polisi limejipanga vyema katika kuhakikisha kwamba Uchaguzi huu unafanyika kwa Amani na Utulivu kabla, wakati na baada ya Uchaguzi huo"

"Mheshimiwa Rais tunakuahidi Nchi hii ni salama, Nchi hii ina Amani. Jeshi hili la polisi haliko tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa Amani kwa sababu yoyote ile"

Nafikiri tusubiri tu ufunuo aliopewa yule nabii ambaye aliyeonyeshwa kuhusu kutwaliwa kwa mpendwa wetu wa Chato na huu mwingine pia kuhusu kiti Cha mfalme utimie.
 
Abarikiwe mtumishi wa Mungu Camilius Wambura, anaribarikiwe sana aliyepewa macho ya rohoni Dr. Samia Suluhu Hassan, mkuu wa nchi yetu, Amiri jeshi mkuu na kiongozi mkuu wa serikali. Mh. Rais ni zawadi kutoka kwa mwenyenzi Mungu kwa nchi yetu. Ahsante Mungu kwa zawadi hii adhimu, AMEN!
OLE WAKE MWANANCHI ATAKAYE ENDA KUPIGA KURA
OLE WAKE MWALIMU ATAKAYE SIMAMIA UCHAGUZI
OLE WAKE MGAMBO ATAKAYE SIMAMIA UCHAGUZI

No reform no election.
 
Kumuuliza Muislam swali hilo ni kama vile upo coco beach unauliza, baharini wapi?
Waarabu wasenge tu na wanakula mirungii ma bangi na mihadarati mingine kuliko jamii yoyote ile unasemaje kwa hilo?
 
Nafikili ICC ikisha waburuza wawili n.k heshima nchini itarudi ,kila mtu atatambua sheria na kuhitii , bado kuna watu wanachukulia hii nchi kawaida sana, Mungu yupo kazini
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura, amesema Jeshi halipo tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa amani. Amesema hayo leo Juni 9, Jijini Dar es Salaam wakati wa sherehe ya kufunga kozi ya maafisa na wakaguzi wa Jeshi la Polisi.

"Sote tunatambua kuwa mwaka huu 2025 nchi yetu inatarajia kufanya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani. Katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu huo Jeshi la Polisi limejipanga vyema katika kuhakikisha kwamba Uchaguzi huu unafanyika kwa Amani na Utulivu kabla, wakati na baada ya Uchaguzi huo"

"Mheshimiwa Rais tunakuahidi Nchi hii ni salama, Nchi hii ina Amani. Jeshi hili la polisi haliko tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa Amani kwa sababu yoyote ile"

He's very stupid..

Huyu si ndiye aliingiziwa mabilioni ya fedha juzi kati na taarifa zake za kibenki kuvuja mitandaonj..?

All in all ni kuwa, hiyo kauli yake aliyoitoa leo iko viral mitandaoni na kila mtu mwenye akili timamu amemshangaa...

Swali analopaswa kuulizwa ni: Hiki kikundi kinachoteka watu, kutesa na kuua ni kina nani? Kinafadhiliwa na nani? Kwa hiyo hao wauaji kwa kuachwa hivyo ndo wanadumisha amani?
 
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camillus Wambura, amesema Jeshi halipo tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa amani. Amesema hayo leo Juni 9, Jijini Dar es Salaam wakati wa sherehe ya kufunga kozi ya maafisa na wakaguzi wa Jeshi la Polisi.

"Sote tunatambua kuwa mwaka huu 2025 nchi yetu inatarajia kufanya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani. Katika maandalizi ya Uchaguzi Mkuu huo Jeshi la Polisi limejipanga vyema katika kuhakikisha kwamba Uchaguzi huu unafanyika kwa Amani na Utulivu kabla, wakati na baada ya Uchaguzi huo"

"Mheshimiwa Rais tunakuahidi Nchi hii ni salama, Nchi hii ina Amani. Jeshi hili la polisi haliko tayari kumvumilia yeyote atakayeleta uvunjifu wa Amani kwa sababu yoyote ile"

Wambura ni mwizi sasa tutaona kati mwizi na mwenye nyumba nani amevuruga AMANI yetu Tanzania,kwa hiyo sisi tutii Sheria kandamizi zinazotuzuia kulinda Mali ya umma ili wezi akina wambura na washenzi wanzao waendelee kuitafuna nchi na kututeka kila tunapojaribu kusema ukweli,sawa tusubiri ili tuone nani amevuruga AMANI yetu hadi sasa maana Amani haipo sijui anaongelea Amani gani huyu mpuuzi,mmeteka na mmeua watu ndio Amani hiyo.Wambura anajua haya au yy ni standard seven
 
Back
Top Bottom