Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Kwa foleni ya magari iliyopo Dar es salaam na wakati mwingine barabara za mwendo kasi zinakuwa wazi sioni kama ni sahihi kwa kuzuia polisi au watumishi wa vyombo vya dola ambao wanauharaka wa kwenda kutimiza majukumu ya kudhibiti uhalifu.
Piga picha utafakari kuna ghasia au benki imevamiwa mahala popote Dsm na kuna foleni , askari wakitaka kuchepuka ili kutumia barabara ya mwendo kasi kudhibiti uhalifu ni kosa? La hasha.
Tusipende kufanya maamuzi kisa tu kuna kelele za wapuuzi wachache huko Twita ambao hujiona wajuaji wakati ni wapuuzi tu
Idugunde nikiwa Kayenze Mwanza.
Piga picha utafakari kuna ghasia au benki imevamiwa mahala popote Dsm na kuna foleni , askari wakitaka kuchepuka ili kutumia barabara ya mwendo kasi kudhibiti uhalifu ni kosa? La hasha.
Tusipende kufanya maamuzi kisa tu kuna kelele za wapuuzi wachache huko Twita ambao hujiona wajuaji wakati ni wapuuzi tu
Idugunde nikiwa Kayenze Mwanza.