Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Kwa mujibu wa sensa watubwa Kilimanjaro wana maisha mazuri kuliko kagera
 
Umefanya utafiti kabla ya kuongea kiwanda cha balimi maarufu kama via ya kanda ya ziwa kipo mwz na bk mtaa Wa national housing karibu na wizara ya maji hiki hapa chini ya mlima Wa mawe
eb008790dbf6eb099a56c6bdaeda9377.jpg
hilo jengo lenye ranging nyeupe
Kawadanganye ambao hawapajui. ..ilo ni mengi la Kiwanda cha Maji Asilia na Pembeni kuna depot ya Tanzania Breweries
 
Mimi kwa hizi picha sijafika lakini Bukoba panaonekana pazuri.Na obviouslly maeneo yaliyo ukanda wa bonde la ufa ni mazuri even Moshi mazingira yaliyopo ni impact ya bonde la ufa hata wanamezea mate.NAIPENDA TANZANIA.Acheni hoja zinazolenga ukanda na ukabila,Nazichukia sana maana zinalenga kuturudisha nyuma (one step backward!!!)
Siwezi kuchangia hii mada maana moshi sipajui ila kiukweli hakuna sehemu Tanzania ninayoweza kukaa katika vijiji vyake Kama Kagera


Muleba nilitembelea vijiji vyake ( ni asili ya wazazi wangu ingawa sijakulia huko katika maisha yangu),,,,
Nilishanga kuona vijiji vikiwa na Nyumba nzuri , hospitali kubwa , maduka ya kila mahitaji na pia kumbi za starehe Kama bar NA guest house/lodge standard....

Changamoto kubwa ni barabara NA huduma ya maji vijijini (hapa naongelea maji ya bomba NA si maji kwa ujumla wake)

Ukirudi kwa mji wa bukoba ni mzuri kwa viwango vya miji ya Tanzania kama huduma za kijamii ingawa bado ule uasilia wa kuongea kihaya hadi mjini upo ..

Kitu kilichonikera bukoba ni watu kukosa ari na lugha ya kibiashara hasa kwa wanaouza vitu vya viwandani

Kilichonifurahisha zaidi ni kutokuwepo kwa uswahili yaani Kama umeingia bank unahudumiwa vyema hadi utafurahi hivyo, ule uzembe wa kipuuzi pia unakemewa kutokana na asili ya watu wake kwa kutokupenda kulea ujinga
 
Yote ni miji inayosadifu nchi masikini.

Hayana cha kushindana bali yana mengi ya kufanana.
 
Bukoba huwezi kulinganisha na Moshi ata kidogo, Moshi pamezidiwa na Arusha, Dar na Mwanza tu. Mjini Moshi ni pazuri kuliko Mbeya mjini
 
"E="instanbul, post: 19067453, member: 372401"]Viwanda bk ni vingi kuliko moshi asilia water,kagera sugar,yetu chair,Mali juice,tanica,bunena water,tanica water, kyaka milk,diva mafuta nk[/QUOTE]
"kama MNA viwanda vingi mbona halmashauri ya moshi inaingiza mapato mengi kuliko bukoba?
ingia web ya tra uone
pia mkoa wa kagera n mkoa wa 3 kwa umaskini sasa mnajivunia nn
 
Ni bk vc moshi
watu wa bukoba n kujisifu tu Hanna lolote
hata mabasi yanayoenda bukoba mengi n ya watu wa moshi mfano prince muro,osaka , kidia one nk
mabasi yanayopiga route moshi 99.9% n ya wenyej wa moshi niny mmeishia kukimbia kwenu na majigambo tu
 
Haulazimishwi kubadilika kaa na ujuha wako kwani kila mmoja ana aina yake ya upimbi, mtashangaa vijiji na vitongoji vinakuwa majiji nyie mmekaa na ubaguzi wenu
Isitoshe mkiacha kubagua wakuja mtaanza kubaguana wenyewe hadi dhambi hii itakapo maliza koo lako kwa ubaguzi
Dunia nzima watu wanabaguana. Tangu iumbwe. So relax. Ishi.

Istoshe, kutouza ardhi sio ubaguzi bana.
 
Jenga hoja acha kuongea uji.... Kuna uhusiano gn kati ya umasikin na mwonekano mzuri wa mji? Kwan nchi tajir duniani ni zile znye maliasili nyingi jenga hoja kama great thinker hii sio forum ya watoto
pole sana ukweli unauma
huwez fananisha mosh na bukoba, bukoba haina hadhi hata robo ya moshi
ingia web ya tra uone kati ya moshi na bukoba n IPI inakusanya mapati mengi then uje hapa
WATU WA BKB N MAJIGAMBO TU MAENDLEO N 0% HATA MABASI YA KUJA KWENU BKB MENGI N YA WATU WA MOSHI MFANO PRINCE MURO,OSAKA,KIDIA ONE NK
MOSHI MABASI YOTR YA MKOAN N YA WENYEJ MFANO MURO,MACHAME SAFARI,LM,KILMNJARO EXPRESS,DAR EXPRESS HAPPY NATION,HAI EXPRESS,MERIDIAN EXPRESS,NYAKATI,IBRA LINE,MGHAMBA EXP, NIKITAJA HAPa NITATUMIA MIAKA 2 KUMALIZA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom